
Get clients in any niche!
Delegate the launch of advertising to us — for free
Learn more
12.5

Advertising on the Telegram channel «Mr Health Public Channel»
Health & Medicine
Language:
English
412
3
Share
Add to favorite
Buy advertising in this channel
Placement Format:
keyboard_arrow_down
- 1/24
- 2/48
- 3/72
- Native
- 7 days
- Forwards
1 hour in the top / 24 hours in the feed
Quantity
keyboard_arrow_down
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 8
- 10
- 15
Advertising publication cost
local_activity
$6.00$6.00local_mall
0.0%
Remaining at this price:0
Recent Channel Posts
imageImage preview is unavailable
TUKUMBUSHANE: Toa Sumu Mwilini, Fanya Detox...🩺↳ Punguza matumizi ya wanga kupita kiasi, hakuna Sehemu Unashauriwa, Unywe chai asubuhi ni lazima upate chapati mbili nzito za kusukuma. 🫵 Badala yake Fanya hivi...👇 ✅ Kula matunda, mboga mbichi, na vyakula vyenye nyuzinyuzi. ✅ Kunywa maji ya kutosha kila siku kusaidia mfumo wa usagaji chakula. ✅ Acha vyakula vilivyosindikwa, vyakula vya mafuta, na sukari, vinavyoongeza sumu mwilini. Ps; Afya Yako, Maamuzi Yako...! 🚀
1788
12:58
19.04.2025
imageImage preview is unavailable
↳ Kuwa na hali ya Msisimko makali kuliko kawaida, hutokana na kupiga punyeto au Kujichua, (Masturbation).
↳ Kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa.
↳ Kuwa na hofu na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa. (Psychological effects)
↳ Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu, na Booster za nguvu za kiume.
↳ Magonjwa ya Mfumo wa uzazi wa Mwanaume, Pamoja na Kurithi.
NB: Kati hali hauhitaji kutumia dawa yeyote ile, Anza kubadilisha mitindo mibovu ya maisha, Mazoezi na Lishe bora...🫵
2397
10:24
13.04.2025
imageImage preview is unavailable
Mimba Inayoua Mtoto Bila Mama Kujua: Siri Inayofichwa Na Damu Yako. 🩸
Wanaume na wanawake wengi wanaishi bila kujua kundi la damu zao – hadi wanapopoteza mimba ya pili kwa maumivu makali yasiyoeleweka…
—Unajua kundi lako la damu?
—Na la mwenza wako je?
—Ni RHESUS POSITIVE au RHESUS NEGATIVE?
Endelea kusoma, huenda ukaiokoa familia yako: Open Thread:⤵
3012
11:23
06.04.2025
imageImage preview is unavailable
Tumekuwa tukishauriwa kutimia Matago kwa wingi na wataalam wa lishe baada ya check up ya mwili.
JE..!? Unazijuwa siri za kula Matango au kunywa juice ya tango..?
Ngoja nikujuze jambo Leo...
Matango yanayo kiwango kikubwa cha vitamini K, C na A, Napia zinapatikana Nyuzi Nyuzi, Madini ya Potasiamu na calcium kwa wingi..
Unywaji juice ya tango wakati wa usiku baada ya chakula cha Usiku hupunguza kwa kiwango kikubwa harari ya kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume na saratani ya mlango wa kizazi kwa wanawake,
Kulingana na madini muhimu katika afya ya ngozi tango husaidia kun'garisha ngizi yako, Ukiwa unakula tango mara kwa mara Nimazuri kwa nguzi yako.
Matango yana flavonoids, ambayo ina nguvu ya kuboresha katika afya ya akili. Inaboresha kazi ya ubongo na huongeza kumbukumbu.
Tango lina nyuzinyuzi nyingi na maji, ambavyo vyote ni muhimu kwa usagaji chakula, Vilevile huzuia kiungulia, Kunywa juisi ya tango kila siku usiku kabla ya kulala husaidia kutibu vidonda vya tumbo.
Je, wewe upo na utaratibu wa kutumia matango hata kwenye saladi..??
3295
07:24
02.04.2025
imageImage preview is unavailable
🟣 Confused by your lab test results? You’re not alone! But now, there’s a smarter way to take charge of your health.
✨ Meet LabsHouseAiBot – your AI-powered tool for clear, reliable explanations of your blood test results.
🔮 Just enter your results, and in minutes, you'll receive personalized insights on key markers like cholesterol, blood sugar, and more. Best of all? You’ll get a custom medical summary of your health!
👉 Try it now: @LabsHouseAiBot—your health transformation starts today! 🚀
2384
06:55
01.04.2025
imageImage preview is unavailable
JE..!? Unajua kwamba tangawizi na mchai chai ni dawa ya asili inayoweza kuboresha nguvu za kiume bila kutumia Booster..?
↳ Tangawizi ni moja ya viungo bora vinavyosaidia kwa nguvu za kiume. Inaongeza mtiririko wa damu, kuboresha mzunguko wa damu kwenye maeneo muhimu, na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
Pia Tangawizi inasaidia kupunguza uchovu, kuongeza nguvu na kudumisha stamina Bed room.
↳ Mchai chai (green tea) pia ni mzuri kwa afya ya kiume, kwani ina virutubisho vingi vya antioxidants, kama polyphenols, ambavyo husaidia kupigana na uharibifu wa seli, kuboresha afya ya moyo na mishipa, na kusaidia katika kupunguza shinikizo la damu.
Hii ina matokeo mazuri kwenye nguvu za kiume kwa kuongeza ufanisi wa mzunguko wa damu.
↳ Kwa kutumia tangawizi na mchai chai kila siku kabla ya kulala, utaongeza nguvu zako za kiume kwa njia ya asili na salama.
PS: Kumbuka, nguvu za kiume ni zaidi ya tu uwezo wako kitandani —Ni afya yako kwa ujumla.
Hivyo, tumia viungo hivi asili, vinavyo patikana sokoni na uwe na nguvu za kiume zinazodumu..!
3257
22:34
23.03.2025
imageImage preview is unavailable
Huu Ndio ukweli..!! Soma kwa Makini Jifunze jambo..!!. Hiki ndio kitu wanachokuficha... . Na watatumia nguvu nyingi usiujue . Na ni uhalisia ambao ukiujua utajuta kwanini umeaminishwa uongo muda mrefu . Najua umeshaweka "Question marks" kama mia! . Ni ukweli gani hawataki niujue....? . Naam...! . Leo nataka nikuambia kitu kimoja na ukiweke akilini maisha yako yote . "Mindset is Everything" . Namaanisha unachowaza ndicho unachokua . NA . Linapokuja swala la Afya yako . Unaaminishwa kwamba una shida A kumbe uhalisia una shida B . Ni kwanini nakuambia hivi... . Siku moja nikiwa natoa Elimu ya afya ya uzazi kwenye V.I.P Group.... . Niliona ujumbe mzuri kwenye WhatsApp yangu . Ujumbe ule ulinisikitisha sana kwa kweli... . KWANI..? . Alikuwa kijana mdogo kabisa umri wa miaka 23 . Ujumbe huo ulisomeka hivi" Nisaidie Mr Health nimechanganyikiwa kaka, yani sahivi hata wanawake nawaogopa" . Ikanibidi apo apo nimpigie . Tuliongea mengi sana yapata nusu saa . Na akaniambia changamoto zinazomuumiza kichwa ni... . Alikuwa ana uzito mkubwa kupita kiasi . Kilo 88 kwa umri wa miaka 23 . PIA . Kujichua kulikuwa ni tabia aliyoshindwa kuiacha na hajui wapi pa kuanzia ili aache . Nilipenda "Mindset" yake kwani hakukimbilia kununua madawa . Niliweka Saikolojia yake vizuri na pia nikampangia ratiba nzuri ya mlo na mazoezi... . Ilichukua miezi miwili hadi kupata matokeo ambayo wengi wanataka wayapate kwa usiku mmoja Tu.. . Nimekusimulia story hii kwa lengo moja . Nalo ni rekebisha mtazamo wako kuhusu afya yako ya uzazi na yote yanawezekana . Usikimbilie kutatua tatizo ambalo hujui chanzo chake ni nini . Na hiyo ndiyo sababu Leo nimekuandikia makala hii . Kwa sababu: . Kupitia Miongozo Programme ya "AFYA BORA YA UZAZI " . Ndani ya miezi miwili tu utakuwa na urijali mara kumi zaidi . Utapata mafundisho mazuri kabisa ya Saikolojia na lishe imara . Itakayokutengeneza kama farasi wa kiume . Na Habari njema ni kwamba hujachelewa . Ps; Chukuwa Miongozo yako sasa ya Programme ya "AFYA BORA YA UZAZI" Fungua Link soma kwa makini na utulivu tukutane WhatsApp........👇 https://mr-health-huduma-ya-afya-kiganjani.gr-site.com/
3590
08:19
13.03.2025
imageImage preview is unavailable
KULA VYAKULA VYA ASILI KUNA FAIDA NYINGI KIAFYA.... 🩺➖ Vyakula vyenye antioxidants kama matunda na mboga mboga husaidia kupunguza hatari ya saratani. ➖ Vyakula vya asili mara nyingi vina kalori chache na mafuta kidogo, hivyo kusaidia kudhibiti uzito wa mwili. ➖ Vyakula vya asili, hasa vile vyenye nyuzi kama mboga na matunda, husaidia kuboresha mmeng'enyo wa chakula na kuzuia tatizo la kuvimbiwa. ➖ Virutubisho vinavyopatikana kwenye vyakula vya asili vinaweza kusaidia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili, hivyo kuzuia maradhi mbalimbali. NB: Epuka vyakula vyenye sukari nyingi, Mafuta mengi, Vyakula vya viwandani, Ni hatari kwa afya yako, Punguza wanga.. Follow OR Perish...✍
3561
05:45
09.03.2025
imageImage preview is unavailable
Bawasiri na Gym: Ukweli Mgumu Ambao Wengi Hawajui..!Watu wanaojihusisha na kubeba vyuma "Gym" au kufanya kazi nzito mara nyingi hukumbwa na tatizo la bawasiri. Hii ni kwa sababu ya shinikizo kubwa kwenye misuli ya sehemu ya haja kubwa wakati wa kunyanyua mizigo mizito..... Shinikizo hili huweza kusababisha mishipa ya damu kuvimba, na hatimaye kusababisha maumivu, kuwashwa, na hata kutokwa na damu wakati wa haja kubwa.... Ili kuepuka bawasiri, ni muhimu sana kufuata mbinu hizi....Kwa afya yako..... 1️⃣Nyanyua vyuma kwa mbinu sahihi, Zingatia elimu kutoka kwa mkufunzi (Trainer) wako wa mazoezi. 2️⃣Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi ya kutosha (fiber). 3️⃣Kunywa maji ya kutosha. 4️⃣Kuepuka kujikakamua kupita kiasi wakati wa haja kubwa.....✍️
4115
21:32
03.03.2025
imageImage preview is unavailable
SIRI NZITO...Nikasema Nisilale kabla ya kuwasanua Vijana wangu....💪🍆↳ Moja ya sababu ya one minute man ni (Overstimulation) kwenya kichwa cha uume. (Penis hypersensitivity) "Ukiachana na Saikolojia na Udhaifu wa Misuli ya uume" ↳ Fanya hivi...Anza na kutumia (Rough Rider) Bao la kwanza...Hakikisha una osha uume na maji baridi before round ya pili. NB: CODE ni kwa wale wenye tatizo la (premature ejaculation), Yaani One minute man, kabla ya kuanza tendo, haujapiga hata takol mbili shwaaa 💦
4322
21:11
25.02.2025
close
Reviews channel
No reviews
Channel statistics
Rating
12.5
Rating reviews
0.0
Сhannel Rating
5
Subscribers:
15.9K
APV
lock_outline
ER
13.5%
Posts per day:
0.0
CPM
lock_outlineSelected
0
channels for:$0.00
Subscribers:
0
Views:
lock_outline
Add to CartBuy for:$0.00
Комментарий