
Get clients in any niche!
Delegate the launch of advertising to us — for free
Learn more
22.9

Advertising on the Telegram channel «HADITHI TAMU ZA MAPENZI❤️»
5.0
Books, Audiobooks & Podcasts
Language:
English
267
0
Share
Add to favorite
Buy advertising in this channel
Placement Format:
keyboard_arrow_down
- 1/24
- 2/48
- 3/72
- Native
- 7 days
- Forwards
1 hour in the top / 24 hours in the feed
Quantity
%keyboard_arrow_down
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 8
- 10
- 15
Advertising publication cost
local_activity
$7.20$7.20local_mall
0.0%
Remaining at this price:0
Recent Channel Posts
566
21:18
21.02.2025
" Huyu jamaa kakasirika Sasa na Mimi nimekosea kweli Sasa hapa nafanyaje haya makaratasi yaliyoloana . Mwanaheri alifikiria akapata njia ya kukausha zile karatasi . Alichukua feni mdogo iliyokuwa mezani akaiweka vizuri Kisha akatandaza karatasi zilizolowana Kisha akaiwasha , pembeni kulikuwa Kuna karatasi ambazo hazokulowa zilipeperushwa na upepo wa feni na kuzagaa ofisi nzima
" Mamaaa hii Nini Tena Tariq akikuta hivi siatanimeza . Alizima feni Ile anainama kuokota mlango ulifunguliwa wakaingia Tariq na Sameer walisimama walishangaa imekuwaje karatasi zizagae kila sehemu🤔🤔🤔
Itaendeleaaaa
995
04:35
19.02.2025
BINTI KIJAKAZI💖7
" khaa unaongea Nini wewe kijakazi na hapa unafanya nini? Alafu naomba ufahamu hii Ni ofisi ya mpnzi wangu naingia na kufanya nitakalo hivyo usinipangie sawa .
" Heyy naomba msinipigie kelele ofisini kwangu mwanaheri nenda kaendelee na kazi zako na hiyo kahawa siitaki tena, nenda kamwambie mtu wa usafi aje asafishe .
" Afadhali niepukane na hii Shari. Mwanaheri alimpiga kikumbo Naina akaondoka ,Naina alimfuata Tariq
" Baby umeleta kituko gani hapa kazini kwako?
" Hebu kaa kwanza . Naina alikaa kwenye kiti
" Anafanya Nini hapa ?
" Ni mfanyakazi wa hapa
" mmh Yani kutoka kijakazi wa kuosha viombo na kudeki mpaka kuwa mfanyakazi wa ofisini kwa elimu ipi hasa au ndio kubebana ?
" Unakosea Sana kusema hivyo mpnzi wangu kwanza tatizo lako na huyu dada Ni Nini?
" Sipendi uwekaribu nae.
" Kwani unahisi akiwa karibu na Mimi Nini kitatokea ?
" Hakuna Ila sipendi tu . Tariq alitabasamu Kisha akamsogelea Naina
" MKE wangu mtarajiwa Naina hebu achakuwa na mawazo mabovu siwezi kutamani mwanamke yoyote kila ninachotaka nakipata kwako . Naina alijisikia Raha kuambiwa vile .
" Si ndio hapo Sasa huyo mwanaheri mwenyewe hanikuti hata nusu kwa urembo.
" Wewe Ni mrembo mpnzi wangu ndio maana umenikamata
Tariq alikuwa anampasifa mwanamke wake ili ajione Bora kuliko mwanaheri lakini ukweli Ni kwamba mwanaheri alikuwa amejaaliwa shepu tofauti na Naina .
" Sasa mpnzi nimekupitia tukapate chai pamoja
"Mmmm kwa Sasa haitawezekana mama ndio kwanza nimeingia ofisini na Nina kazi kibao za kufanya so wewe nenda kanywe .
" Ok lakini naomba lunch tutoke wote.
" Sawa .
" Ok bye ngoja niwahi kazini .
" Ok uwe na kazi njema . Waliagana Naina alitoka pale ofisini na kuelekea alipo mwanaheri ,alikuta queen anamuelekeza vitu kwenye kompyuta alisimama na kuangalia kwa dharau Kisha akasema
" Hivi kwanini unasumbuka kumuelekeza huyu kijakazi naona Kama unajisumbua huyo kazowea kazi za nyumbani . Mwanaheri alimuangalia Kisha akamwambia Queen
" Queen naomba tuendelee achana na huyo fungu la kukosa . Queen alimshangaa mwanaheri alivyomjibu mpnzi wa boss wao bila hata uwoga .
" Tutaona Mimi na wewe Ni Nani fungu la kukosa na ninakupa mwezi huu mmoja wa kukaa hapa . Naina alifyonza akaondoka Queen alimgeukia vizuri mwanaheri
" Unashida gani na huyu dada?
" Simuelewi siku ya kwanza kukutana naealianza kunionyesha mauza uza yake Kani kuta mtu mwenyewe hata sijali lakini akiendelea nitampa kile anachokitaka maana sinaga shoo mbovu.
" Ilakumbuka ni mke wa boss unatakiwa usishindane nae .
" Mimi huyo nivumilie ujinga akiniletea mdomo Wala sitamuacha Nampa vidonge vyake na akiendelea nitamchukua na huyo mwanaume wake anaemfanya anamuonea vivu. Queen alicheka Sana
" Mwanaheri unanifurahisha utamuweza huyo boss hata kucheka hacheki
" Kwani namchukua kwa mapnzi Ni kwaajili ya kumkomesha huyo hayawani wake.
" Hebu acha kunifurahisha tuendelee na Mambo yetu. Waliendelea kuelekezana
Siku moja mwanaheri alipeleka faili kwaajili ya boss kuweka saini Tariq alikuwa bize na kazi nyingine akamwambia aliweke pembeni Kisha amuwekee maji kwenye grass, mwanaheri alikuwa mbali kimawazo akamimina maji yalijaa kwenye grass na kumwagikia mezani na Wala hakushituka aliendelea kumimina mpaka aliposhituliwa na Tariq.
"Wewe huoni Kama una mwaga maji? Mwanaheri alishituka karatasi zilizokuwa karibu zililowana alizitoa na kuzikunguta wakati anawahi karatasi nyingine zisilowane aliitingusha Ile grass ya maji ,maji yote yakamwagika na Ile grass ikadondoka chini na kupasuka. Muda wote Tariq alikuwa anamuangalia hakumsaidia kusogeza chochote.
" Jamani boss nisaidie Basi kutoa hizo huko kabla maji hayajafika . Tariq alisimama akatoa laptop yake Kisha akaongea kwa hasira
" Hivi wewe upo serious kweli na kazi ?
" Ndio Ni bahati mbaya tu
" Yani wewe kila siku unafanya ujinga alafu unasinguzia bahati mbaya, naomba unisikilize Kama huwezi kufanya kazi kwenye ofisi yangu njia nyeupe unaweza ukaondoka. Mwanaheri hakujibu alijua kakosea aliendelea kufuta Yale maji na Tariq alitoka nje .
941
04:35
19.02.2025
" Hapana .
" Toa kahawa yako nahitaji kupikiwa kahawa Kama aliyokuelekeza Queen. Mwanaheri alibeba Ile kahawa akawa anaondoka alipofika mlangoni akataka kufungua mlango ghafla ule mlango ulifunguliwa kwa nguvu na kusababisha viombo alivyobeba vianguke na kuvunjika , Tariq alisimama na kuanza kufoka
" Hivi kwanini hufanyi Mambo yako kwa uangalifu?
" Kosa sio langu ongea na huyu mwanamke wako anaeingia ofisini kwa watu bila hodi nyoo..
Itaendeleaaaaa
1061
21:41
16.02.2025
BINTI KIJAKAZI💖6
Mwanaheri na yule Kaka walizubaa kwa kushangaana mpaka Tariq akajikohoza kidogo ndipo wakashituka na kuachiana wakamgeukia Tariq yule Kaka aliachia tabasamu na kumfuata Tariq pale alipokuwa kasimama wakakumbatiana wote walionekana kuwa na furaha
" Niambie umeingia lini? Tariq alimuuliza
" Nimeingia Jana jioni
" Nilikukumbuka Sana bro Ila Sameer wewe Ni waajabu Sana unakujaje Bila kunipa taarifa?
" Ni story ndefu Kaka ndio maana nikasema mapema Sana nije kukuona . Mwanaheri alikuwa amesimama akiwashangaa mpaka Tariq akamuuliza
" Mwanaheri unashida gani mbona umeganda hapo? Sameer akadakia
" Samahani dada subiri. Mwanaheri alisimama
" Samahani kwa haraka zangu nikajikuta nakuvamia vipi hukuumia popote?
" Wala sijaumia nipo sawa
" Oooh Safi Sana naitwa Sameer nimefurahi kukutana na wewe mrembo mwanaheri. Tariq alikuwa anamjua vizuri Sana rafiki yake Ni mgonjwa wa wanawake utambulisho na maneno yasingeisha ilibidi aingilie
" Mwanaheri nenda kwa Nakaaya. Mwanaheri alienda kwa Nakaaya huku akijinusa nguo zake
" Huyu Kaka amejimwagia hii pafyumu maana sio kwa kuniachia harufu ya marashi yake. Queen akamuuliza
" Mbona unaongea mwenyewe?
" Kuna Kaka mmoja mzuri amenigonga nilipotaka kuanguka akanidaka Kama wale mastering wa kwenye movie. Queen alicheka
" Bila Shaka Ni Sameer huyo?
" Ndio huyohuyo umejuaje?
" Nilipishana nae .
" Yani sijaamini Kama kanidaka nilikuwa naenda chini
" Kwa bahati ukakutana na steering wa kihindi kuwa makini nae hachekewi .
" Sasa namchekea namjua na ndio kwanza nimemuona leo
" Tuachane na hayo sogea hapa nikuelekeze maana Mambo mengi na muda Ni mchache
Sameer na Tariq waliingia ofisini kwa Tariq
" Nimefurahi Sana kukuona
" Hunishindi Mimi vipi kazi zinaendaje?
" Kama unavyoona tunapambana .
" Naona Mambo sio mabaya ofisi inazidi kupendeza naona na warembo wapya .
" Hujaacha Mambo yako?
" Naachaje Sasa wakati watoto wa zuri Kama mwanaheri ndio ugonjwa wangu
" Unatakiwa kubadilika tabia za uznzi hazifai
" Eeeee kwakuwa wewe umepata kwa kujistiri ndio unajifanya baba ushauri.
" Bado sijaowa Ila Mambo ya kuchanganya wanawake sio hurka yangu na wewe tafuta mmoja wakuweza kufunga nae ndoa .
" Sawa Ila huyu mwanaheri nazani anafaa kuwa tulizo la moy wangu.
" Acha ujinga huwezi kumvuruga binti wa watu nenda kawavuruge hao uliowazowea .
" Kwahiyo hutaki na wafanyakazi wako?
" Sameer naomba tubadilishe mada tuongee Mambo ya maana . Waliacha kuongelea Mambo ya wanawake na kuongea Mambo yao mengine .
Mwanaheri alianza kuelekezwa kazi za kufanya pamoja na kutumia kompyuta .
" Mwanaheri unatakiwa kuwa makini Sana na Mambo niliyokuelekeza .
" Sawa nimekuelewa na yote nitazingatia lakini nataka kujua kwanini nifanye hizi kazi ambazo ulikuwa unafanya wewe ikiwa na wewe upo?
" Mwezi ujao naondoka naenda kujiendeleza kimasomo boss kakuteuwa wewe uwe secretary wake .
" Mmmh sawa ngoja nijitahidi kujifunza niepukane na makasiriko . Wakiwa wanaongea Tariq alipiga simu na kuhitaji apelekewe kahawa.
" Boss anahitaji kahawa .
" Kamchukulie so nilishakuelekeza jinsi ya kuandaa. Mwanaheri alinyanyuka akaenda kuandaa alipokuwa tayari aliionja akakunja uso
" Mmm mbona chungu hivi ataweza kunywa . Akachukua sukari akaweka Kisha ajaonja Tena
" Hapa angalau sio Kama mwanzo kwanza sijui wanapendea Nini vitu vichungu Kama mwarobaini. Mwanaheri alibeba na kupeleka ofisini kwa boss Kisha akamimina kwenye kikombe akachanganya na maziwa kidogo .
" Kuna kingine Cha kukuhudumia boss
" Nikihitaji nitakuita kwa Sasa unaweza kwenda . Mwanaheri alipiga hatua mpaka mlangoni kabla hajafungua mlango alisikianaitwa
" Wewe ndio umepika hii kahawa?
" Ndio kwani Ina Nini boss?
" Kwanini umeweka sukari?
" Niliona chungu Sana nikaamua kujiongeza nikaweka sukari ili uchungu upungue.
" Hivyo ndivyo Queen alivyokuelekeza ?
1024
21:41
16.02.2025
" Mmmh kumbe mama merry alisema kweli hapa na Mimi nijifanye bize nikileta kujuana anaweza akanishushua mbele za watu . Siku moja mwanaheri akiwa kamaliza kufanya usafi akawa amekaa nje na wenzake wanapiga story alifika secretary wa Tariq
" Mwanaheri unaitwa na boss
" Boss gani?
" Mwanaheri acha utani hebu nifuate unajua kasimama dirishani anatuangalia . Mwanaheri alinyanyua macho akamuona Tariq kasimama dirishani anaangalia walipo , secretary na mwanaheri wakaongozana kuelekea ofisini kwa Tariq
" Kwani ananiitia Nini?
" Sijui kaniambia tu nije kukuita Kama Kuna ulilolikoroga unalo maana anaonekana ana hasira Sana
" Kwahiyo hizo hasira zake anataka akamalizie kwangu?
"Sijui Ila Kama ulimkosea lazima hasira amalizie kwako . Walifika wakaingia na kumkuta bado kasimama dirishani
" Boss mwanaheri huyu hapa
" Nenda kaendelee na kazi zako . Yule secretary alitoka, Tariq akaenda kukaa kwenye kiti chake
" Mwanaheri unaweza kutumia kompyuta?
" Nimeitumia wapi mpaka nijue naishia kuziangalia kwa macho tu sijui inafunguliwaje Wala inazimwaje.
" Sawa kuanzia kesho utaachana na kazi ya usafi wa eneo ulilopangiwa utasafisha ofisini kwangu pamoja na kufanya kazi nyingine zinazohusu huku ofisini kwangu.
" Sawa lakini hayo mengine siyajui
" Kila kitu utaelekezwa na Nakaaya secretary wangu .
" Sawa .
" Unaweza kwenda . Mwanaheri alinyanyuka akatoka ofisini kwa Tariq
"Kuwekana hofu tu nikajua sijui nimefanya kitu gani kikubwa kumbe maongezi yanyewe Ni yale. Wakati mwanaheri anaongea mwenyewe akapamiana na Kaka mmoja alipotaka kuanguka yule Kaka akamdaka wakawa Kama wameku🤣🤣🤣🤣mbatiana na wakati huo Tariq alikuwa anatoka ofisini kwake anashuka kulekule waliko mwanaheri na huyo mkaka😁😁
ALAFU BOSS MBONA KAMA VILE🤔🤔🤔AU BASI MIE MWENZENU HAPO KWENYE KUTUMIA COMPUTER MHHH🤣🤣🤣KUTOKA KWENYE KUSAFISHA VYOO MPAKA KUSAFISHA OFISINI KWA BOSS NYIE HAMUOGOPI🙄🙄🙄
Itaelendeaaaa..
842
17:27
14.02.2025
BINTI KIJAKAZI 💖 5
Mwanaheri aliingia ndani Mai aliendelea kusimama akishangaa
" Kwani huyu ana moyo wa jiwe hajaumia hata kidogo ndio kwanza anaulizia sare mmmh sijawahi kuona nilijua atakuwa mdogo kwa wivu lakini ndio kwanza yamenishuka Mimi mleta habari looh.
Ilifika siku ya jumatatu mwanaheri na mama yake waliamka mapema wakajiandaa Kisha wakaelekea kazini kwa Tariq ,ilikuwa ni mapema Sana ofisi zilikuwa hazijafunguliwa ikabidi mwanaheri akae na mlinzi mpaka utakapofika muda wa wafanyakazi kufika ofisini . Ilipofika mida ya saa mbili na nusu mlinzi alimshitua mwanaheri ambae alikuwa bize anachati na simu yake ndogo
" Dada boss ndio huyo alieingia na Hilo gari
" Ahaaa Asante . Mwanaheri alipiga hatua kumfuata gari la Tariq lilipo park Mara simu yake ikaanza kuita alisimama na kutoa ndani ya mkoba wake akapokea
" Hallow
" Nilikuwa nakwambia leo ndio siku ya kwenda kuchukua sare ya harusi
" Jamani Sasa Mimi sipo nyumbani nisaidie kitu kimoja kanichukulie hiyo sare yangu jioni nitakuja kuchukua kwenu
" Mmm au ndio umeshaanza kuogopa maana watu wanataka kuhakikisha Kama kweli utachukua sare .
" Acha upu😔uzi tangia lini Mimi nikaogopa wewe kanichukulie Mambo mengine tutaongea badae Sasa hivi nipo sehemu muhimu Sana . Mwanaheri alikata simu akamuona Tariq anaingia kwenye lango kuu la kuingilia ofisinialitembea harakaharaka alipofika hakujua kaingia wapi alianza kuangaza macho kila Kona akimtafuta kwa ndani lilikuwa Ni jengo kubwa kila mtu alikuwa Yuko bize hata waliokuwa wanatembea walionekana kuwa bize
" Sasa hapa naelekea wapi? Akiwa anatafakari Nini chakufanya Kuna Dada mmoja alimfuata na kumsalimia
" Habari dada?
" Salama
" Nimekuona umesimama kwa muda sijui ulikuwa unashida gani ?
" Namtafuta Tariq
" Unamaanisha boss Tariq?
" Huyohuyo
" Una miadi nae?
" Jamani dada mbona maswali mengi Mimi naomba unionyeshe alipo Basi Mambo mengine nitaongea nae yeye
" Sawa lakini Kama hauna miadi nae huwezi kuonana nae .
" Mmh mbona kazi hebu mpigie simu mwambie nipo hapa namsubiri .
" Hebu nifuate nikampigie kwanza simu . Mwanaheri walipiga hatua chache Mara akamuona Tariq anatoka kwenye lift
" Basi dada endelea na kazi zako mtu mwenyewe yule pale
Tariq alikuwa anaongea na simu mwanaheri alimfuata akasimama pembeni yake ,Tariq alimuangalia akaendelea kuongea na simu
" Sasa ndio nini kunisimamisha hivi so angekata hiyo simu yake kwanza anipe maelekezo ya kazi . Alijisemea mwanaheri baada ya kusimama kwa muda kidogo . Tariq alipomaliza kuongea na simu alimuonyeshaa ishara amfuate . Waliongozana mpaka sehemu kwa Dada mmoja
" Habari Queen
" Salama boss .
" Naomba umuelekeze sehemu ya kufanya usafi
" Sawa karibu dada
" Asante
" mwanaheri utafuata maelekezo utakayopewa na Queen.
" Sawa.
Tariq aliondoka akamuacha mwanaheri na Queen
" Naomba unifuate nikupeleke kwa kiongozi wa usafi . Mwanaheri na Queen waliongozana mpaka kwa mama mmoja ambae alikuwa anamalizia kusafisha choo
" Shikamoo mama merry
" Marahaba .
" Huyu Ni mtu wako nimeambiwa nikuletee na boss utampangia sehemu ya kufanya usafi .
" Ahaaa karibu Sana binti
" Asante .
" Haya ngoja niwaache si unajua Tena Mambo ya hapa
" Wahi dada kafanye kazi huyu kafika. Mama merry alianza kumuelekeza sehemu atakazokuwa anafanya usafi na pia alimsisitiza kuwahi kufika unatakiwa wamalize usafi mapema kabla wafanyakazi hawajafika .
" Zingatia kufanya kazi kwa makini boss wetu Ni mkali Sana
" Huyo Tariq ana ukali gani Sasa?
" Mmh labda Ni mpole huko nje lakini hapa kazini huwa hacheki na mtu .
" Mimi namuona yupo kawaida .
" Sawa lakini nimeshakutahadharisha mapema.
Zilipita wiki mbili tangia mwanaheri alipoanza kazi ,watu wengi walimzowea kutokana na uchangamfu wake. Mwanaheri alimshangaa Sana Tariq walipokuwa kazini alikuwa Kama vile hamfahamu pia alikuwa mkali kwa mfanyakazi atakaefanya uzembe kazini
689
17:27
14.02.2025
" Hahahaha mama acha Basi kwani hunijui mwanao kwanza huyo wa kunisusha nani ,cheo changu Cha ukamanda ajipange. Wakiwa bado wanaongea alikuja mtu akawa anamuita mwanaheri
" Mmmh kumekucha mwanaheri hutoki hapa ?
" Sasa sitoki vipi hujui hata anaeniita Ni Nani na anashida gani unanizuia , acha nikamsikilize kwanza mbona huniamini hivyo mama yangu? Mwanaheri alitoka akamuona shga yake Maimuna kajibanza mlangoni
" Wewe Mai na mvua hii unataka Nini ?
" Wewe nae nimeshindwa kuvumilia shga yangu ikabidi nitoke na hiki kimvua nije nikuletee umbea .
" Hayo ndio nayataka hebu nipe mambo.
" Ni kuhusu Said yule bwana uliekataa posa yake ....
" Mfyuuu Sasa habari za Sadi Mimi zinanihusu Nini ?
" Tulia Bibi nikupe kitu kamili kikukae rohoni . Ni hivi Sadi kamchumbia Asma mahari imeshatolewa na harusi yao mwezi ujao na sale imeshakatwa upo nyonyo?
" Weweeeee Sasa hapo sio pakukosa na Mimi nataka hiyo sale . Mai aliduwaa huku akimshangaa
" Nini unanishangaa sare ipo kwa Nani ?
" Mwanaheri inamaana huumizwi na hili
" Khaaaaa ndio maana ukaja mbio na umbea wako ukajua utaniharibia siku Sasa nakwambia hivi sijashituka Wala sijaumia hata kidogo kwenye hiyo harusi nitaenda na sare nashona na pilau lao nakula Tena ikiwezekana na kubeba nitabeba na hizi taarifa kawafikishie wambea wenzio najua mlikaa mkanijadili , kwaheri nenda kwenu usije ukapata homa na hii mvua kajitulize nyumbani kwenu kwaher😌😌😌
Itaelendeaaaa
837
17:35
12.02.2025
BINTI KIJAKAZI 💖 4
Siku moja jioni mvua ilikuwa inanyesha mama mwanaheri alishindwa kuondoka akawa anasubiri mvua ikatike , Tariq alimuona akamuuliza
" Mbona umejibanza hapa?
" Nasubiri mvua ipungue niondoke . Baada ya kuambiwa hivyo Tariq alipiga hatua chache akiingia ndani Mara akasimama na kurudi pale aliposimama mama mwanaheri.
" Naweza nikakupeleka nyumbani kwako?
" Kama una safari yakutoka sawa .
" Sawa Basi twende. Tariq alijifunika mwamvuli na mama mwanaheri akajifunika kitenge chake wakaenda mpaka parking ya magari wakapanda kwenye gari la Tariq safari ya kuelekea kwa mama mwanaheri ikaanza. Kwenye gari Tariq alianza kumuuliza maswali mama mwanaheri
" Hivi mwanao anajishuhurisha na nini?
" Mmmh unamuulizia mwanaheri?
" Ndio
" Yupoyupo tu mtaani Hana kazi ya maana
" Na amesoma Yani anajua kusoma na kuandika?
" Ndio anajua kasoma mpaka form 4 Ila ndio hivyo sikuwa na hela ya kumuendeleza kimasomo.
" Ok nikimpatia kazi kwenye ofisi yangu anaweza kufanya ?
" Ndio baba nitashukuru Sana ukifanya hivyo utakuwa umenisaidia mno .
" Basi nitaenda kuongea nae Kama atakubali ataanza kazi maana tuna uhaba wa wafanya usafi pale kazini
" Hiyo kazi inamfaa kabisa.
Mama mwanaheri akawa anamuelekeza ilipo nyumba yake walipofika alisimamisha gari wakashuka ,Tariq alichukua mwamvuli wake akajifunika wakaingia kwenye geti dogo lililotengenezwa kwa mabati walimkuta mwanaheri akiwa katikati ya mvua akiwakaloana , mama yake akamwambia
" Wewe mjnga unafanyanini kwenye mvua ? Mwanaheri aligeuka kumuangalia mama yake alishituka kumuona Tariq akaanza kuvuta vuta nguo yake kwa aibu maana ililowa na kung'ang'ania mwilini ikawa inaonyesha baadhi ya mau*bile yake mama yake alimrushia kile kitenge alichokuwa kajifunika mwanaheri akajifunika haraka
" Tariq karibu ndani.
" Asante. Mama mwanaheri na Tariq waliingia ndani na kumuacha mwanaheri akiwa kasimama anawaangalia
" huyu boss mtoto kafuata Nini hapa kwetu Tena mama kamuingiza ndani nitapitaje kwanza hata siingii ngoja niendelee kuchota zangu maji . Mara akasikia anaitwa na mama yake
" Mwanaheri unafanya Nini huko hebu njoo bwana .
" Nachota maji
" Nimekwambia toka kwenye mvua ingia ndani haraka . Mwanaheri aliingia ndani akiwa kalowana akapita pale sebleni akaingia chumbani akabadilisha nguo Kisha akatoka sebleni .
" Mwanaheri mwanangu nimekuja na Tariq anataka kuongea na wewe .... Kabla hajamalizakuongea mwanaheri akadakia
" Mama Kama kuhusu kuwa kijakazi Mimi sitaki kabisa maana najijua mwenyewe naweza nikamfanya vibaya yule mwanamke wake anaeshindania tuzo ya map*nzi . Tariq alitamani kucheka alijikaza akaishia kutabasamu
" Sio kazi hiyo nataka nikupe nafasi ya kufanya usafi kule kazini kwangu je upo tayari? Kabla mwanaheri hajajibu mama yake akamjibia
" Lazima awe tayari
" Sawa vipi Kama muhusika hatakuwa tayari
" Mama kasema kwanini nikatae na vipi kuhusu mshahara utanilipa shilingi ngp?
" Hilo tutaliongea naomba jumatatu ufike pale ofisini kwetu.
" Sasa nitapajuaje hapo kazini kwako ? Mama mwanaheri akamjibu
" Tutatoka hapa mapema nitakupeleka ndio na Mimi niende kazini .
Baada ya makubaliano Tariq aliwaacha akaondoka
" Mwanaheri mwanangu safari hii nakuomba usichezee hii kazi imekuja kwako kama bahati .
" Nimekuelewa .
" Sio unielewe kwa juu juu nielewe vizuri maana umeshakuwa mkubwa inabidi ubadilike achana na Makundi ya kijinga kila siku kusutana huko mitaani haitakusaidia chochote
" Nimekuelewa mama yangu kipnzi hiyo kazi nitafanya lakini na Mimi naomba kitu kimoja tu
" Kitu gani hicho?
" Hapo kwenye Mambo ya kusutana hapo mtu akiingia kwenye anga zangu au akienda kusema umbea sitaacha kumsuta kwasababu mash.oga zangu wenyewe wananielewa Mimi ndio kamanda mwenye vyeo kwenye kusutana
" Yani wewe ipo siku utaelewa kwanini nakataza haya Mambo ya kusutana kibao kimoja kitakuja kukugeukia ukisutwa na kupigwa sitaingilia hatanikute unasutwa hapo nitakupita Kama sikujui
742
17:35
12.02.2025
" wewe kijakazi mdogo hebu subiri . Mwanaheri alisimama huku akitafakari jibu la kumpa alipogeuka akiwa kakunja uso akakutana uso kwa uso na Tariq . Tariq alijua mwanaheri hajapenda kuitwa vile akamgeukia Naina akamwambia
" Huyu sio mfanyakazi wetu alikuja kumsaidia mama yake.
" Oooh samahani binti wa kijakazi . Naina aliongea huku akiwa anaukumbatia mkono wa Tariq .
" Nawasikiliza wapendanao. Tariq alitoa hela akampatia mwanaheri.
" Hii utafanya Kama nauli . Mwanaheri aliipokea na kumshukuru
" Asante.
" Hela kidogo unatoa Asante kubwa hivyo. Naina aliropoka
" Tariq naomba Sana umfundishe adabu huyu limbukeni wa mapnzi naona anajiona kamaliza kukupata kijana mtanashati Kama wewe Ila ipo siku wapo warembo wanaovutia watakukamata na kumuacha akibweka Kama anavyobweka hapa . Mwanaheri alimaliza na tabasamu Kisha akaondoka
" Tariq unamsikia huyu mjinga anavyonikashifu na wewe husemi kitu
" Unataka nifanye Nini na wewe ndio ulieanza ukorofi. Tariq alirudi ndani Naina akasimama kumuangalia mwanaheri aliekuwa anampungia mkono🥰🥰🥰
Itaelendeaaaa
919
21:01
10.02.2025
close
Specials
BETTING AND GAMBLING

Channels
13
114K
lock_outline
CPM
lock_outline$$ 379.02
$$ 341.09
-10%
Reviews channel
keyboard_arrow_down
- Added: Newest first
- Added: Oldest first
- Rating: High to low
- Rating: Low to high
5.0
2 reviews over 6 months
Excellent (100%) In the last 6 months
c
**ffeenold@******.io
On the service since June 2022
13.01.202500:29
5
Everything is fine. Thank you!
Show more
New items
Channel statistics
Rating
22.9
Rating reviews
5.0
Сhannel Rating
2
Followers:
12.1K
APV
lock_outline
ER
2.8%
Posts per day:
0.0
CPM
lock_outlineSelected
0
channels for:$0.00
Followers:
0
Views:
lock_outline
Add to CartBuy for:$0.00
Комментарий