
Monetize Telegram Mini App with Telega.io
Connect your app, set CPM, and watch your revenue grow!
Start monetizing
22.6

Advertising on the Telegram channel «HADITHI TAMU ZA MAPENZI❤️»
5.0
Books, Audiobooks & Podcasts
Language:
English
267
0
Share
Add to favorite
Buy advertising in this channel
Placement Format:
keyboard_arrow_down
- 1/24
- 2/48
- 3/72
- Native
- 7 days
- Forwards
1 hour in the top / 24 hours in the feed
Quantity
%keyboard_arrow_down
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 8
- 10
- 15
Advertising publication cost
local_activity
$7.20$7.20local_mall
0.0%
Remaining at this price:0
Recent Channel Posts
NAKUPENDA SHEMEJI 😍*
*Sehemu ya 3
ipo Whatsapp*
👇👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
1726
23:09
12.07.2025
*EVAN (kaka mpishi) 💙*
❤️Sehemu*1-2
👇👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
1789
23:22
12.07.2025
TOMBOY WA KISHUA ALIVYO MCHANGANYA MJEDA
SEHEMU YA : 01
WHATSAP: https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
"Hili ni tatizo......" Jabir anajisemea moyoni mwake, kila alipomtazama Zamda mapigo ya moyo wake yalienda mbio anashindwa kuelewa kama binti huyu ni demu au Wakiume.
Macho yake yalikuwa ya kirembo zaidi lakn style yake ya kunyoa na pamba alizovaa zilimfanya aonekane kama dume hivi.
Zamda ana boreka kwa namna Mjeda huyu anavyo muangalia,
"Mbwa huyu....." Alijisemea kisha
akaachana na habari za kunywa chai, alilipia bill kwa Cashier kisha akatembea mbele
Mwendo wake wa kunyata ulimuacha hoi Jabir badala ya kuweka sukari kwenye chai alijikuta akiweka kwenye sahani ya vitafuno.
Chai haikuweza kunyweka, analipia bill kisha anaamua kumfukuzia Zamda.
Wimbo wa kabwela ulioimbwa na Stamina ulizidi kusikika kwenye earphones za Zamda alizokuwa ameweka masikioni mwake.
Hakuwa akiisikia sauti ya Jabir, ile anataka kukata kona alisita kidogo baada ya Jabir kumtangizia kwa mbele.
Zamda anafanya ustaarabu kwa kutoa earphones zake masikioni
"Nikusaidie nini....." Aliongea kwa kisauti kizito hivi utadhani ni kidume kweli
"Mbona kama ana chuchu saa sita....japo kavaa suruali pana lakini naweza kuziona hips zake" Jabir alijiwazia kichwani mwake badala ya kuongea shida yake
Zamda alipoona Mjeda huyu hawezi kujieleza alimkataa kimtindo akaendelea na safari yake.
Jabir ndio kushtuka kama kaachwa kwenye mataa. Hakutaka kukata tamaa alimkimbilia kwa mara nyingine
"Sorry naomba unisaidie namba yako ya simu" Jabir aliongea
"Namba yangu ya simu?.....sijaikariri kama nitaanza kuipekua kwenye simu nitachelewa. Nawahi kufanya mazoezi, Mimi ni Kaptein wa timu kama nitakosa nitakuwa nimewa kwamisha wenzangu" Zamda aliongea akata kuondoka
Jabir alimzibia njia kwa kuweka mguu
"Naitwa Jabir, ni Jenerali katika kikosi cha jeshi kilichopo hapa Serengeti. Ni nusu saa kutoka hapa hadi kambini kwetu, naomba usininyime namba tafadhali"
Zamda hakutishwa na cheo chake kikubwa wala magwanda aliyokuwa amevaa. Ratiba iliyokuwa mbele ilikuwa na umuhimu mkubwa kuliko kitu chochote. Anaamua kukanyaga mguu wake juu ya buti la Jabir ili aendelee na safari yake
Jabir alijikuta akivutiwa zaidi na namna Zamda anavyo mchukulia poa
"Namba please!!" Jabir aliongea huku akimshikiria mkono Zamda
"Kama una uhitaji sana na namba yangu nifuate kiwanjani baada ya kumaliza mazoezi nitakupatia" Zamda aliongea kwa kukaza sauti
Jenerali Jabir hakuwa na namna zaidi ya kumfuata.
Timu ya Serengeti girl's inayo iwakilisha vyema Tanzania katika swala zima la mpira wa vikapu, inaachia tabasamu baada ya kumuona Zamda Kaptein wao.
"Kaa pale kwenye benchi..." Zamda alimuambia Jabir kisha akamrushia kibegi chake. Kabla hajafika mbali alimgeukia
"Ni marufuku kukagua kibegi changu...." Zamda alitoa mkwara
Jabir aliachia tabasamu kimtindo, isingekuwa rahisi kwa Zamda kufanya mazoezi na suruali. Aliingia katika chumba cha kubadilisha nguo
Dakika 8 zilimtosha, macho ya Jabir yanapigwa butwaa baada ya kumuona Zamda akiwa kavalia kipensi na kitop.
Umbo lake la kike lilionekana ilivyo, maumbile ya Jabir hayakuwa na adabu kabisa kwani kila alipomtazama Tomboy huyu yalianza kunesa nesa.
Kadri Zamda alivyozidi kufanya mazoezi ya hivi na vile ndivyo Jenerali Jabir alizidi kuteseka.
Kama utani hivi alifunga bao kwenye suruali yake kabla hata ya kuonjeshwa.
Zamda anamfuata akiwa hoi, alichukua kibegi chake kisha akamrushia business card yenye namba yake
"Unaweza kusepa, naingia kuoga sitoki saizi" Zamda aliongea akataka kuondoka lakini alipunguziwa mwendo kwa kutegewa buti
Itaendelea 💥
02
"Hata kama utakaa mwaka huko bafuni nitakusubiria" Jabir aliongea akijaribu kuonesha uso wa tabasamu
"Nafikiri hauna kazi za kufanya, ni juu yako kukaa au kuondoka...." Zamda aliongea kisha akaondoka kwa haraka
Kila Jabir alipoangalia saa yake dakika zilikuwa zinatembea bila Zamda kutokea.
Alianza kuingiwa na wasiwasi ukizingatia muda wa yeye kurudi Kambini ulikuwa umekaribia.
Anaamua kujizima data, taratibu alianza kupiga hatua kuelekea bafuni
969
17:50
16.07.2025
"Samahani msaada tafadhali, naomba kusaidiwa mlamgo umejilock...." Zamda alipaza sauti huku akigonga mlango
Wenzake wote walikuwa wameondoka tayari, na bahati mbaya kibegi chake chenye simu alikiacha kwa nje
Jabir alipiga hatua tatu akausogelea mlango, ni kweli ulikuwa umejilock
"Rudi nyuma hatua 5, nahitaji kuuvunja...." Jabir aliongea
Zamda alirudi nyuma, kisha akatoa taarifa kazi iendelee.
Jabir alipiga ngumi moja tu mlango ukafunguka.
Zamda alitoka chapu akiwa kavaa tayari.
"Ahsante kwa kunisaidia...." Zamda aliongea
"Ahsante ya maneno huwa haina nguvu sana" Jabir aliongea
"Fala huyu anataka nimtekenye kwa mpalange ndio ajue nimeshukuru kwa dhati ama vipi" Zamda aliongea kwa sauti chini huku akibetua midomo yake
Jabir alimsikia lakini anamua kufunika kombe mwana haramu apite.
"Vipi wenzio hawajakuuliza kuhusu Mimi kwa sababu nimekusubiria kwa muda mrefu...." Jabir aliongea
"Wameuliza!" Zamda aliongea huku akitembea kwa kasi kidogo
"Enhe ukasemaje!"
"Wewe ni Kaka yangu, wameomba namba zako... pindi utakapo nitafuta kwenye simu nitaitupia namba yako kwenye group. Kazi itabakia kwako kuchagua ... timu yetu inawatoto wa kali"
"Endapo nitakutafuta kwenye simu naomba usigawe namba yangu, tafadhali sana...."
"Okay, kwanini usipite njia yako.... ukweli kutoka moyoni unanipa wakati mgumu... shida ilikuwa ni namba tayari umepata" Zamda aliongea
"Sasa ndio utembee kama una fukuzwa! kwani natisha sana" Jabir aliuliza huku akitabasamu kimtindo
"Korodani zako zingekuwa usoni ungetisha kweli lakini upo kawaida kama Wanaume wengine" Zamda aliongea
Jabir aliachia kicheko, bajaji isiyokuwa na abiria ilisimama mbele yake. Anaamua kumlipia Zamda nauli asepe
"Nitakutafuta my dear..." Jabir
Zamda hakujibu chochote, kuitwa dear tena mara hii tu hakupendezwa kabisa.
Alitoa uelekeo sehemu anayoenda, anafika nyumbani akiwa na njaa kupita kiasi.
Ni mtoto wa kishua sana hata kupika tu ugali kwake ni mtihani
Alisogea mezani akafunua hotpot, hakupendezwa na chakula kilichokuwa kimeandaliwa.
Aliingia ndani akavaa pamba kali za kiume zaidi kisha akaweka kofia kichwani.
Alijipulizia manukato yenye harufu iliyotulia...akiwa anajiangalia kwenye kioo simu yake iliita.
Ilikuwa ni namba ngeni, kwa haraka tu aligundua ni Jabir
Hakutaka shobo naye hivyo aliiacha simu ikaita mpaka ikakata.
Jenerali Jabir akiwa Kambini kwake alijikuta akipata hasira kwa namna simu yake inavyo chukuliwa poa na Zamda.
"Kama alikuwa hataki mawasiliano na Mimi asingenipatia namba yake, endapo masaa mawili yatapita bila kupata muitikio wowote kutoka kwake naifuta namba yake" Jabir alijisemea
Masaa mawili yalikatika bila kutafutwa na Zamda, aliifuta namba akiwa mwenye hasira kupita kiasi.
Upande wa Zamda alikuwa ametulia zake katika hoteli ya five stars akipata chakula.
Wadada wengi walimuangalia kwa macho ya matamanio wakihisi ni kidume.
Baada ya kupoza njaa yake ndipo alikumbuka kuhusu Jabir
Alimpigia kisha akaweka simu sikioni, simu iliita mpaka ikakata. Huwa anatabia ya kupiga simu mara moja kuepuka kuwa kero.
Ile anaweka simu yake mezani alishtuka baada ya kumuona Jabir. Kilichomtisha zaidi ni namna macho ya Mwanaume yakivyokuwa mekundu kupita kiasi sababu ya hasira
Itaendelea 💥
03
"Ulinipatia namba ya simu kwa ajili ya mawasiliano, kwanini nakupigia hupokei wewe msichana...." Jabir alifoka
"Ukimpigia mtu simu ukaona hapokei unaachana naye akitulia lazima akutafute....nkmekupigia sasa hivi hapa hujapokea hivyo usipanic" Zamda alichukulia mambo poa asijue hasira ya Jabir imepitiliza kiasi
Meza alipinduliwa ikadondoka kule, Jabir alimshika mkono Zamda kisha akatoka naye nje kibabe zaidi.
Alimbania kwenye ukuta kama mtu anayesubiria kusubiriwa
"Nimetoka Kambini muda huu sababu yako, kama ungepokea simu yangu sidhanj kama ningekuwa hapa....." Jabir aliongea huku akitetemeka mwili wote, kila akiiangalia midomo ya Zamda alitamani kuilamba
"Umenibana kama mtuhumiwa! kupokea simu ya mtu ni hiari....niachie nahisi kukosa hewa" Zamda aliongea huku mapigo ya moyo wake yakienda juu, kwa namna alivyokuwa amebananishwa alipoteza kujiamini
887
17:50
16.07.2025
"Naomba ni zilambe lips zako kidogo tu kisha niondoke" Jabir aliongea huku akizidi kutetemeka
"Kule nenda umepindua meza ya watu.... nina uhakika kuna vitu vimepasuka" Zamda aliongea vitu vingine akijitia hajasikia kitu alichoambiwa
"Kwani hivyo vitu vilivyo pasuka vina umuhimu sana kuliko kitu nilicho kuomba au nimeongea sauti ndogo sana hata usisikie!.... nitarudia kusema naomba ni zilambe lips zako japo kidogo tu" Jabir aliongea kwa sauti ya juu kidogo, hata Wateja waliokuwa wanaingia kwenye hoteli hii walisikia
"Hizi ni lips na si ice cream..." Zamda aliongea, ni mara yake ya kwanza kubananishwa hivi.
Mara nyingi Wanaume wanao mtokea huwa wana nidhamu kupita kiasi ila huyu wa sasa ni kiboko
Jabir baada ya kuona hapatiwi jibu linalo eleweka aliamua kuzilamba lips zake.
Zamda alijitia hataki lakini kadiri alivyozidi kuoneshwa romance inavyokuwa alikuwa mpole....
Jabir anapata faraja baada ya kuona Zamda katulia, hakutaka kuiacha nafasi ya leo ipite. Anaamua kuuzingatia ule msemo usemao "leo ni leo usingoje kesho"
Anachukua chumba katika hoteli hii, huwezi kuamini Zamda alikuwa katulia tuli. Ganzi iliyowekwa na Jabir kwenye lips zake baada ya kulambwa ilikuwa ni zaidi ya ujazo wa Pepsi big.
Alianza kutolewa nguo moja baada ya nyingine.
Jabir alizidi kuchanganyikiwa, uchu za kumzagamua Zamda ulikuwa juu sana.
Mate yana mdondoka baada ya kukiona kitumbua cha Zamda kikiwa kimevimbiana ilivyo kwenye chupi yake.
Kama atakuwa na papara ya kukishuhudia laivu huenda akafunga bao bila kufanya chochote.
Alipoza kiherehere chake akaanza kuvua nguo zake moja baada ya nyingine....anamalizia kwa kutoa boksa
Moyo ya Zamda unapasuka kwa mlipuko, mara ya mwisho kuona mashine ilikuwa ni kipindi anamaliza form 4 na ndio ilikuwa siku aliyopoteza bikira yake. Toka hiyo siku hakuwa na tamaa na Wanaume tena
Jenerali Jabir alimsogelea Zamda huku umbile lake likinesa nesa.
"Niahidi utaweka kichwa tu...." Zamda aliongea akiwa na uoga kupita kiasi
Alipoona Jenerali Jabir hatoi ahadi alifunika papuchi yake na mikono
Itaendelea 💥
04
"Nitaweka kichwa tu naomba uniamini...."
"Boyfriend wangu wa form 4 alisema hivi pia lakini kilichonikuta siwezi kusimulia....."
"Naomba uniamini...."
"Ngoja nimpigie simu Bibi umpe hii ahadi Mimi sikuamini....dudu lako linatisha, kwanini lina misuli hivyo kama mkono wa John Cena" Zamda aliongea huku akiachia machozi
Jabir hakutarajia kama Tomboy huyu atakuwa muoga hivi, ilimlazimu kumshawishi kuna namna Zamda alielewa
Jenerali Jabir alikuwa mwaminifu kwa kuwekwa kichwa tu akijua kama atafanya tofauti ndio itakuwa mwisho wake wa kupewa mzigo.
Amekuwa chovya chovya wa mabuyu mengi ya asali lakini hili la leo hakutamani amalize
"Woohoo usimwage ndani please..." Zamda aliongea baada ya kuona jamaa karibia kumaliza.
Alipomaliza tu alimsukuma kule huku mapigo ya moyo wake yakienda juu kuliko kawaida.
"Ahsante kwa kunipa penzi lako...." Jabir aliongea akiwa kashikiria kichwa chake, baada ya kusukumwa alijigonga ukutani
Ahsante yake ilikuwa ni kelele kwa Zamda hakuelewa imekuaje akagawa K yake aliyoilinda kwa muda mrefu.
Hakutaka hata kuoga alianza kuvaa nguo zake haraka, hakujali kuhusu kugeuza chupi aliamini akifika nyumbani kila kitu kitakuwa sawa.
Kila Jabir alipotaka kumshika aliporomoshewa matusi mazito sana. Kama ni Mwanaume mwenye roho ndogo kama za ndugu zetu wa mkoa fulani basi angeua
"Nipe namba ya akaunti yako nitakutumia pesa..." Jabir hakukata
"Unahisi kila Mwanamke unayekutana naye anakuwa na uwezo wa kumiliki akaunti....sikia bro sijui unanipimaje kwenye mizani yako lakini Mimi hapa sina njaa kama unavyo fikiria nina uwezo wa kukulipa mshahara kila mwisho wa mwezi" Zamda aliongea huku machozi yakimtiririka
"Naelewa unajisikia vibaya kwa kutembea na Mwanaume usiye na hisia naye...lakini mapenzi ndio huanza hivi" Jabir aliongea
Zamda hakuwa na muda wa kusikia risala zake kwani baada ya kumaliza kuvaa nguo zake alimpush kule, kisha yeye akaondoka
Kwa uchungu aliokuwa nao hakuona sababu ya kupanda usafiri wa aina yoyote ile, alijisogeza kwao kwa kukimbia
1399
17:50
16.07.2025
"Bibiiiiiiiiiiii...." Aliangua kilio baada ya kufika getini kwao
Bibi yake anatoka ndani akiwa kavaa nguo za kulalia, alimuamuru Mlinzi afungue geti haraka
Kitendo cha kumuona tu Mjukuu wake aligundua kapitiwa na mashine.
Hakutaka kuzungumza naye akiwa na harufu ya janaba.
Alimpeleka bafuni, kamlea kama yai hivyo hakuona shida kumuogesha
"Nilikuambia ukaishi Ulaya kwa Mjomba wako lakini ulinigomea, Wanaume wa Kiafrika ni makatili sana....hawajui kumtia Mwanamke kwa upole...ukiwakabidhi uchi hujisahau kabisa hivyo huwa wana sasambua kama fisi akiwa buchani...." Bibi aliongea
"Hajanibaka, tumefanya makubaliano lakini sielewi kwanini moyo wangu upo katika majuto makubwa" Zamda aliongea
"Naamini si mpenzi wako, ni Mhuni mmoja tu uliyekutana naye kwa usiku mmoja ni lazima ujisikie hatia lakini usiumie sana kwa sababu kila kiumbe anayeitwa Mwanamke amepita huko"
"Sitarajii kukutana naye tena...nina uhakika alikuja kwangu kwa ajili ya sex tu..... imagine tumekutana siku mbili tu...sitaki kuamini kama Mimi ni mjinga kiasi hiki. Nimekuwa mgumu sana, sielewi kwanini nimekuwa mrahisi" Zamda aliongea huku akiongeza kilio.
Alipoingia chumbani kwake aliboreka baada ya kukuta Jabir kampigia zaidi ya mara 20. Anazima simu kisha akalala, saa kumi na moja juu ya alama alianza kufanya mazoezi ya kukimbia akiwa na mbwa wake. Alihitaji kuweka sawa mwili wake.....siku ya leo alikimbia masafa marefu sana.
Alijikuta amekaribia katika mipaka ya kambi ya Wanajeshi wa Serengeti.
Bendera zilizokuwa zinaonekana zilimzuia kuendelea, akiwa anapumua kwa kasi alishtukia akipatiwa maji.
Aligeuka haraka amuone mtu anayetoa huu msaada
IKUWA WHATSAPP💥
👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
1859
17:50
16.07.2025
*MJEDA TARATIBU BASI*
*1-5* IPO WHATSAPP https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
*SEHEMU YA KWANZA*
Naona tu mnaitana, kama ni majambazi poleni, cha thamani hapa ni roho yangu tu, simu niliyonayo nikipigiwa nikapokea tu imeisha charge, siwezi uza ata Kwa buku, mfukoni sina hela, Wala hata hio harufu ya Hela tu sina, nguo nazo nimeazima tu, ata hii roho yangu yenyewe inadhambi sijatubu, ata nikibatizwa ayo maji yatachemka moto Kwa hizi dhambi....
Niliongea Kwa kujihami, jamaa walikuwa wawili wamevaa vipensi uku wako vifua wazi,walinitizama mmoja akajibu, binti unajua hapa uko wapi? Na Kwa nini umeingia eneo lisilokuhusu umetumwa?...
Heee we jambazi vipi, Yaani nitumwe Kwa majambazi kwamba �� roho yangu siipendi au? Yaani roho yangu hata kama inadhambi siwezi iweka rehani, na MSISAHAU hii ni nchi huru, maeneo mazuri yote mnayatumia kuteka watu, afu eti nchi Ina jeshi looh ��...
" Binti unaelewa unachokiongea Yaani ukituangalia sisi unaona ni majambazi sio?
Sasa nyie nao Kuna Cha kuuliza, picha inajieleza kabisa, mnajaza vifua kutukaba mwisho vifua vipasuke, izo nguvu mlipaswa kutumia na wanawake zenu, mdomo koma mniache niende sina kitu jamani...
Binti naona kwanza tumekustahi mno, hapa uko Kambi ya jeshi, na tuna nguo chafu nafikili utazing'arisha, na but usisahau,
Nilijikuta nacheka Kwa sauti, Kuona majambazi wamejigeuza kuwa wajeda, ha ha ha ha, mbavu zangu jamani, Yaani nyingi mwe wajeda, ivi mnawajua vizuli wajeda nyie, Yani wale viumbe wa mapigo na mwendo ��, kwanza kukutana nao tu ni nuksi nahisi hata ningekuwa...
Kabla sijamalizia kuongea, nikawa nasikia wengi wanaimba tena kibaya zaidi wanamagwanda na hawako mbali, nyie nilihisi mkojo, umekaba mpaka Koo, sio tu kibofu...
Niliwatizama Kwa hofu mno, mmoja alinionea huruma masikini akanipa ishara nipotee, wee ata sikusubuli kuoneshwa njia, nilijua awa viumbe hawapendi maswali, binamu yangu aliuliza njia wakamuonesha njia ya kuingia zaidi kambini, alitusimulia akiwa mahututi, anapigania roho na Israel wanavutana, yote ayo ni adhabu za wajeda, nikajiongeza kichwani, sitouliza hapa ni miguu nisaidie...
Dua yangu, ilikuwa nikuombea miguu, mnisamee hata sijajitambilisha...
Naitwa Mariam, nimemaliza chuo Cha ualimu nasubili ajira, Leo nilikuwa na mawazo chungu nzima, nikaamua nikatulie zangu mahali peke yangu, huku ni Kwa mjomba wangu nimelelewa na mjomba Toka nikiwa na miaka 8, wazazi wangu wote walifaliki, na huku tulipohamia ni wageni kabisa...
Mjomba kajenga huku Musoma Makoko, tuna siku nne Toka tuhamie, Sasa mwenzenu nikaamua kwenda mahali nikapuge upepo wa ziwa, nikiwa nimetulia zangu nahasira mpaka saivi sijapata ajira, ghafla nahisi mijemba inakuja inakishindo nikajua mamaaaa wamekuja majambazi hao, nikaona niwasaidie tu kujieleza wasipoteze muda kunikaba mtu ambae ata mia mbovu sina, kumbe mwenzenu nimeyabananga, ni wazee wa mitutu, nilivyooneshwa ishara ya kupotea nyie hamkuwepo ila Mungu wenu alikuwepo....
Nilikimbia Kwa mara ya kwanza Toka nizaliwe Leo ndo nimegundua kumbe ninakipaji Cha kukimbia bila kuchoka tena Kwa kasi kubwa bila kupumzika��...
Itaendelea...��
WHATSAPP: https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
1656
06:39
20.07.2025
"1~~5"
SWEETHEART💋😘 01
(Ma oxygen yooooo🙌)
Joy mama aliniita kwa sauti kubwa baada ya kurudi kwenye mihangaiko yake ya kila siku, ilikuwa mida ya saa nne kasorobo usiku.
Shikamoo mama nilimsalimia nikakaa chini nimsikilize leo kaja na lipi maana sio kwa kuniita huko
Marahaba vipi mmeshindaje hapa nyumbani?... mama aliniuliza
Tumeshinda salama pole na kazi mama nilimwambia
Asante umemaliza mtihani sasa hivi upo tu nyumbani huna kazi nataka uende kwa baba yako labda ukiwa karibu na yeye ataona aibu atakusomesha.
mh niliishia kuguna tu ....
Sasa mimi naongea unaguna nini? mama aliniuliza
Mama mtu toka nipo mdogo hata kutuma hela ya soksi hakuna, hata kusema mwanangu likizo hii njoo dar hakuna ndio niende sasa hivi kweli mama mbona mimi nimeridhika na maisha yetu haya 🥹..
Joyce natamani ufike mbali mama yako sina uwezo endapo ukifaulu hela nitatoa wapi ? lakini ukiwa huko ataona tu aibu na nishampigia simu kesho kutwa utaenda nauli hii hapa najua ukifanikiwa wewe na mimi pamoja na wadogo zako tumefanikiwa....
Lakini mama ndio ghafla ghafla hivi 🤔. nilimuuliza
Hakuna muda wa kupoteza mwanangu angalia mbele
Nilishusha pumzi nilikubali kishingo upande kwa kweli
Kesho nilijiandaa na safari mama alinipa simu ndogo yenye laini na namba ya simu ya baba na yake..
kesho kutwa asubuhi niliondoka kwa upande mwingine nilifurahi kusafiri kwenda dar es salaam jiji lenye maghorofa na mataa....
Niliingia usiku sana mida ya saa sita kasorobo nilipiga ile namba akapokea baba nilimsalimia nikamwambia nimeshafika....
Akaniambia nisitoke nimsubiri hapo hapo anakuja, kweli baada ya dakika mbili alikuwa tayari ameshafika
nilikuwa nishaanza kumsahau maana nilimuona muda mrefu tangu nipo darasa la pili kipindi hicho amekuja kujenga barabara...
Tulisalimiana tukashuka kwenye basi nikaenda kuchukua mizigo tukaingia kwenye gari aina ya Prado.
mh yaani mzee ana pesa, gari kali halafu nilikuwa naishi maisha ya tabu nilijiuliza pasipo na majibu.
njiani kila mtu alikuwa kimya hadi baba alipovunja ukimya...
Joyce umekua sana nilikuacha mdogo sana vipi mama anaendeleaje? baba aliniuliza
Ajambo anakusalimia sana nilimjibu
Salamu zimefika karibu huku ndio nyumbani kwangu Dar naishi na familia yangu natumaini utawafurahia kuna ndugu zako kaka na dada zako pia mama yako mkubwa hivyo sidhani kama utajisikia mpweke...
Asante sana baba nashukuru nilijibu
Tulifika kwenye nyumba ina geti baba alipiga honi geti likafunguliwa akaingiza gari tukashuka...
alikuja mdada kutupokea alinikaribisha ndani...
Scola muandalie maji aoge,ale apumzike muda umeenda now tutaongea kesho..
Sawa baba yule dada alijibu akaenda kunionyesha chumbani kwake niliweka begi nikaenda kuoga nikaomba nilale maana nilichoka sana sikutaka hata kula....
Asubuhi na mapema niliamka nikaoga nilitoka sebuleni nikamkuta baba amekaa na mwanamke niliwasalimia nikakaa kwenye sofa...
Joyce..... Baba aliniita
Abeh......
Itaendelea
FULL STORY
👇👇 https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I
1407
23:33
21.07.2025
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI,
KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
sehemu ya , , 1
Dunia imebeba mengi sana achana na majumba na magari pamoja na miti na watu wake , kuna vingi vimebebwa ndani ya mioyo ya watu , kuna Siri nzito zimejificha ndani ya moyo wa mwanadamu ,
Nasema hivyo kwa kuwa yamenikuta mwenzenu , nilipojaribu kuupima uvumilivu wa mke wangu kipindi cha shida , sikujua kuwa binaafamu anapande mbili , na kila upande haufanani hata kidogo,
Nilioa miaka mi4 iliyopita tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume , mimi namke wangu tuliishi kwa kupendana sana na nikampa mtaji wa kufungua duka la vipodozi maeneo ya Kinondon Manyanya , namimi nafanya kazi ya Reli TAZARA ,
Nilikuwa mchapakazi mzuri tu kiasi kwamba mpaka mabosi walinipenda na kuniongezea mshahara ,maisha yakawa mazuri tu mimi na mkewangu tukafanikiwa kujenga nyumba yetu kupitia ule mshahara wangu na pesa alizopata mke wangu kwenye duka lake la vipodozi ,
Tukahamia kwenye nyumba yetu mimi na mke wangu pamoja na mtoto wetu , maisha yakawa nafuu na ya furaha Sana ,
Siku moja niliitwa ofisini na kuambiwa na wakuu wangu wa kazi kuwa ofisi imenizawadia kiwanja na imenipa likizo ya miezi mi 3 kama zawadi ya mfanyakazi bora , nikashangaa sana na nikazani labda wamenifukuza kazi maana likizo ya miezi mi3 ni mingi sana , wakanitoa hof wakaniambia ukirudi utakuwa chini ya Station meneja , yaani akitoka meneja wa stesheni naingia mimi , nikafurahi sana , nilikwenda kukiona kiwanja na wakanikabidhi na pesa kidogo za likizo yangu ,
Nikarudi nyumbani nikiwa na raha tele , nilikuta mke wangu bado hajarudi ila mtoto wangu yupo amesharudi shule , nilikaa chumbani kwangu nikiwa siamini nikaangalia benk kujua nnashingapi nikagundua zinatosha kabisa kujenga nyumba ya kisasa ya vyumba 3 na vyoo humo humo ,nikajisemea hapa simwambii mke wangu kama nimepewa likizo , ila ntamwambia NIMEFUKUZWA kazi halafu nijenge nyumba haraka ndani ya miezi mitatu iwe tayari yaani hata kama itakuwa bado basi naamini ni mambo madogo madogo tu , kisha nitampa nyumba hiyo kama zawadi ya uvumilivu wake kwangu ,
Basi nikajifanya mnyonge kupita kiasi hata mke wangu aliporudi alinishangaa na kuniuliza kulikoni ,
Nikamwambia mke wangu NIMEFUKUZWA KAZI,
Mke wangu akashangaa na kuniuliza kosa la kufukuzwa kazi , nikamjibu kuna mizigo ya watu imeibiwa sasa wananihisi ni mimi , mke wangu akawa na simanzi sana na akawa kama ananionea huruma nami nikajiambia "hapa kweli nimepata mke ,"
Basi tuliongea mengi siku hiyo nikamwambia itabidi nikatafute Kaz sehemu nyingine nayeye akanipa moyo kuwa nisijali ntapata kazi nyingine ,
Bas siku ya kwanza ilipita nikaenda benk na kutoa pesa zote na kurudi nazo nyumbani Nakumbuka zilikuwa kama milion 30 hiv nikazihifadhi kwenye droo ya kabati moja na funguo nikawa nazo mimi , mke wangu aliporudi nikajifanya nalia huku nasikitika sana aliponiuliza tatizo nikamwambia ofisi wameamua kuchukua pesa zangu zote benk ili kufidia mizigo yao iliyopotea ,niliongea huku najifuta machozi, mke wangu alistuka sana na kuanza kulia nayeye , tukabembelezana na kupeana moyo kuwa ndo maisha ,
Basi kesho yake mke wangu akaenda dukani kwake na mimi nikajifanya natoka ili nikatafute kazi ,
Nilienda kule kwenye kiwanja changu na kutafuta mafundi na ujenzi ulianza mala moja ,
Nilikuwa nawahi kurudi na kupika chakula cha usiku na mke wangu akija tunakula na akiniuliza vp umepata kazi namwambia bado kazi ni ngumu ,
Basi maisha yakaendelea huku mke wangu ndo akawa anatoa pesa ya matumizi pale nyumbani ,
Zilipita wiki mbili tu mke wangu akaanza kuchelewa kurudi nyumbani , na kila nikimuuliza anadai wateja ni wengi , sio kawaida yake na akirudi anadai amechoka ,nikavumilia tu ,
Wiki ya tatu ilipoanza nikasema leo sipiki nataka mke wangu akirudi ndo apike maana nimemis kula chakula chake , nikanunua mboga na kuziweka , aliporudi akaniuliza vip umeshapika ,nikamwambia bado nataka leo upike wewe maana nimemis chakula chako ,
223
08:54
26.07.2025
Cha kushangaza mke wangu alibadilika sura na kuniuliza kwani mume wangu we unakazi gani hapa nyumbani , yaani unanisubili mimi nitoke kazini nije nipike, ?
Nikamjibu kwa upole tu nikamwambia lakini mke wangu nimemis chakula chako ,
Mke wangu akaniambia sasa mi nimechoka na siwezi kuingia jikoni mda huu kama ni mtoto nenda kamnunulie chips ale tulale ,aliongea hivyo na kweli akaingia chumbani ,
Nikabaki nimejiinamia tu nakujiuliza hii ni wiki ya tatu tu je hiyo miezi mi 3 itakuwaje
ITAENDELEA👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I
229
08:54
26.07.2025
close
Specials
BETTING AND GAMBLING

Channels
13
205K
lock_outline
CPM
lock_outline$$ 1 097.88
$$ 988.11
-10%
Reviews channel
keyboard_arrow_down
- Added: Newest first
- Added: Oldest first
- Rating: High to low
- Rating: Low to high
5.0
1 reviews over 6 months
Excellent (100%) In the last 6 months
c
**ffeenold@******.io
On the service since June 2022
21.05.202520:36
5
Everything is fine. Thank you!
Show more
New items
Channel statistics
Rating
22.6
Rating reviews
5.0
Сhannel Rating
3
Subscribers:
19.1K
APV
lock_outline
ER
3.6%
Posts per day:
0.0
CPM
lock_outlineSelected
0
channels for:$0.00
Subscribers:
0
Views:
lock_outline
Add to CartBuy for:$0.00
Комментарий