
Get clients in any niche!
Delegate the launch of advertising to us — for free
Learn more
12.4

Advertising on the Telegram channel «Chakushangaza»
5.0
5
History
Language:
English
385
0
"Uncover the untold stories of the past and journey through the corridors of history with us. Join our telegram channel for a glimpse into the captivating tapestry of human civilization. 🌍📜 #HistoricalNarratives"
Share
Add to favorite
Buy advertising in this channel
Placement Format:
keyboard_arrow_down
- 1/24
- 2/48
- 3/72
- Native
- 7 days
- Forwards
1 hour in the top / 24 hours in the feed
Quantity
%keyboard_arrow_down
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 8
- 10
- 15
Advertising publication cost
local_activity
$2.40$2.40local_mall
0.0%
Remaining at this price:0
Recent Channel Posts
Rais Thomas Sankara alipata kuwa mwanamapinduzi msema ukweli hata katika mikutano ya Umoja wa Afrika OAU Ambapo alikuwa akiwashauri viongozi wenzake wa Afrika katika umoja huo kukataa kulipa mikopo mikubwa ya IMF na world bank na hii ni kutokana na ongezeko kubwa la riba katika mikopo hiyo na badala yake aliwashauri viongozi hao kuanza kuanzisha viwanda vya kutosha na kuchukua wataalam wetu wakasome ulaya na kisha kurudisha nyumbani utaalam wao.Thomas sankara anakumbukwa kwa maneno yake mazito na kauli mbiu yake ya “ To our homeland or death we shall win” yaani kwa ajili ya taifa letu tupo tayar kufa ili tushinde.Thomas sankara aliamini kuwa Afrika Ina masoko ya kutosha ya kuuza bidhaa zake na kama nchi hizi zitaungana basi umasikini utaisha Afrika.
Thomas Sankara ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake alianzisha viwanda vya nguo na alisisitiza sana wananchi wa Burkinafaso kufanya kazi kwa bidii ili kuikomboa nchi hiyo katika umasikini.
Misukosuko katika uongozi wa Rais Thomas Sankara ilianza kipindi Cha mwaka 1986 ambapo kulitokea mgomo mkubwa wa walimu na hivyo Rais Thomas Sankara aliwafukuza kazi zaidi ya walimu 1200 na kisha kuwapatia mafunzo vijana waliomaliza elimu ya juu ili wakawafundishe wanafunzi katika kipindi hiko cha mpito na hapo ndipo migogoro ilipoanza katika nchi ya Burkinafaso na wasomi wengi wakiupinga uamuzi wake huo.
KUPINDULIWA NA KUUWAWA KWA RAIS THOMAS SANKARA
Wataalam wa siasa wanasema Rais Thomas Sankara alikiona kifo chake na alikisubiri kwa sababu kipindi chote cha kutokueleweka kwake na nchi ya Ufaransa kwasababu Rais Thomas Sankara alipenda kushirikiana na mataifa mbalimbali bila kufungamana na upande wowote.Hali iliyopelekea watawala kutoka Ufaransa kukasirika kwani walitaka waendelee kulitawala taifa hilo katika ukoloni mambo Leo kwa kuhakikisha nchi ya Burkinafaso inaendelea kuwa ni soko la bidhaa kutoka Ufaransa na pia bajeti ya matumizi ya Nchi hiyo ikainufaishe nchi ya Ufaransa.Hivyo basi walimtumia rafiki wa Rais Thomas Sankara Bwana Braise Compare kuandaa mauaji dhidi ya Rais Thomas Sankara na hapo ndipo ikawa mwisho wa Rais Thomas Sankara. Tetesi za mauaji dhidi yake Rais Thomas Sankara alizipata, lakini hakuchukua hatua zozote kwani aliamini ubaya usitokee kwake bali utokee kwa wanaompinga.
Tarehe 15/10/1987 Rais Thomas Sankara aliuawa kikatili na kuzikwa usiku huo huo.Na kisha asubuhi yake Bwana Braise Compare rafiki wa karibu wa Rais Thomas Sankara alijitangaza kuwa Rais wa Nchi ya Burkinafaso.Rais Compare alitawala nchi ya Burkinafaso kwa miaka 27 hadi mwaka 2014.
Familia ya Rais Thomas Sankara ilifungua kesi ya mauaji dhidi ya Rais Thomas Sankara ambapo ilipofika mwaka 2022 ilithibitika katika mahakama ya Burkinafaso kuwa Rais Compare na wenzake 14 warishiriki katika mauaji ya Rais Thomas Sankara na Rais Compare alihukumiwa kifungo cha maisha jela.
Thomas Sankara ndani ya kipindi kifupi cha uongozi wake alianzisha viwanda vya nguo na alisisitiza sana wananchi wa Burkinafaso kufanya kazi kwa bidii ili kuikomboa nchi hiyo katika umasikini.
Misukosuko katika uongozi wa Rais Thomas Sankara ilianza kipindi Cha mwaka 1986 ambapo kulitokea mgomo mkubwa wa walimu na hivyo Rais Thomas Sankara aliwafukuza kazi zaidi ya walimu 1200 na kisha kuwapatia mafunzo vijana waliomaliza elimu ya juu ili wakawafundishe wanafunzi katika kipindi hiko cha mpito na hapo ndipo migogoro ilipoanza katika nchi ya Burkinafaso na wasomi wengi wakiupinga uamuzi wake huo.
KUPINDULIWA NA KUUWAWA KWA RAIS THOMAS SANKARA
Wataalam wa siasa wanasema Rais Thomas Sankara alikiona kifo chake na alikisubiri kwa sababu kipindi chote cha kutokueleweka kwake na nchi ya Ufaransa kwasababu Rais Thomas Sankara alipenda kushirikiana na mataifa mbalimbali bila kufungamana na upande wowote.Hali iliyopelekea watawala kutoka Ufaransa kukasirika kwani walitaka waendelee kulitawala taifa hilo katika ukoloni mambo Leo kwa kuhakikisha nchi ya Burkinafaso inaendelea kuwa ni soko la bidhaa kutoka Ufaransa na pia bajeti ya matumizi ya Nchi hiyo ikainufaishe nchi ya Ufaransa.Hivyo basi walimtumia rafiki wa Rais Thomas Sankara Bwana Braise Compare kuandaa mauaji dhidi ya Rais Thomas Sankara na hapo ndipo ikawa mwisho wa Rais Thomas Sankara. Tetesi za mauaji dhidi yake Rais Thomas Sankara alizipata, lakini hakuchukua hatua zozote kwani aliamini ubaya usitokee kwake bali utokee kwa wanaompinga.
Tarehe 15/10/1987 Rais Thomas Sankara aliuawa kikatili na kuzikwa usiku huo huo.Na kisha asubuhi yake Bwana Braise Compare rafiki wa karibu wa Rais Thomas Sankara alijitangaza kuwa Rais wa Nchi ya Burkinafaso.Rais Compare alitawala nchi ya Burkinafaso kwa miaka 27 hadi mwaka 2014.
Familia ya Rais Thomas Sankara ilifungua kesi ya mauaji dhidi ya Rais Thomas Sankara ambapo ilipofika mwaka 2022 ilithibitika katika mahakama ya Burkinafaso kuwa Rais Compare na wenzake 14 warishiriki katika mauaji ya Rais Thomas Sankara na Rais Compare alihukumiwa kifungo cha maisha jela.
12
08:20
09.05.2025
#CHAKUSHANGAZA
Sina shaka kama ni mfuatiliaji wa siasa umeshalisikia jina hili.Thomas sankara alizaliwa tarehe 21/12/1949 huko Yaakov French upper volta (Jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso) katika familia ya Bwana Joseph na mama Margaret Sankara ambayo ni familia ya kimisionari.Thomas Sankara alifahamika kwa jina la utani la The African che Guevara kutokana na misimamo yake mikali iliyomfanya akafananishwa na mwanasiasa gwiji kutoka Amerika ya kaskazini Che Guevara.
Kabla ya kuwa Rais wa Nchi ya Burkinafaso Thomas Sankara alihudumu kama waziri Mkuu katika serikali iliyokuwa madarani hadi kufika mwaka 1983 ambapo Thomas Sankara na rafiki yake wa karibu Sana toka wapo jeshini Braise Compare waliongoza mapinduzi ya kiamani kwa kumtoa madarakani Rais aliyekuwepo madarakani kipindi hicho. Rais Thomas Sankara alihudumu madarakani kuanzia mwaka 1983 Hadi mwaka 1987 alipouawa na rafiki yake wa karibu Braise Compare.Mwanamapinduzi na mwanamwema huyu wa Afrika alitawala nchi ya Burkinafaso kwa kipindi cha miaka mitatu na miezi sita.
Katika kipindi chake alipokuwa waziri Mkuu wananchi wa Nchi ya Upper volta jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso walikuwa wanavutiwa sana na mtindo wake wa uongozi hali iliyoelekea Rais aliyekuwa madarakani kumuwekea vizuizi Thomas sankara hadi hapo alipofanikiwa kufanya mapinduzi.
MAFANIKIO YAKE KATIKA SERIKALI YA BURKINAFASO
Thomas Sankara ni mmoja wa wanamapinduzi aliyekuwa na maono ya kipekee ya kuivusha nchi ya Burkinafaso kutoka katika mawazo ya utumwa na kuanza kujitegemea kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni.Maono yake yalitofautiana na viongozi wengi wa Afrika wa kipindi kile ikiwemo viongozi wenzake katika nchi ya Burkinafaso.
Thomas Sankara mara baada ya kuingia madarakani kama Rais alibadilisha jina la nchi hiyo kutoka kuitwa upper volta la kikoloni na kuiita nchi hiyo jina la Burkinafaso yaani ardhi ya watu wema na wanyoofu.Aidha Thomas Sankara alibadilisha bendera ya nchi hiyo na wimbo wa taifa wa nchi hiyo.
Kwakuwa alidhamiria kuinua uchumi wa Nchi ya Burkinafaso Thomas Sankara alipoingia madarakani alisitisha matumizi makubwa ya serikali kwa vitu visivyo na tija na aliekeza serikali yake itumie gari za kawaida ambazo zitakuwa Hazitumii mafua mengi na gari hizo hazina gharama kubwa.
Rais Thomas Sankara alipoingia madarakani alifanikiwa kuinua kiwango cha ufaulu na uwezo wa kusoma kwa wananchi wa Burkinafaso kutoka asilimia 13 mwaka 1983 hadi asilimia 73 mwaka 1987.
Alianzisha kampeni kabambe ya upandaji wa miti nchi nzima hadi kufikia miti milioni kumi huku akihubiri umuhimu wa utunzaji wa mazingira.
Katika kipindi Cha uongozi wa Rais Thomas Sankara ndipo wanawake wengi zaidi walipata fursa ya kujiunga na jeshi la nchi ya Burkinafaso.
Rais Thomas Sankara alihimiza katika kilimo cha mazao ya chakula na biashara ambapo hadi kufika mwaka 1987 zaidi ya ekari 3800 zilikuwa zinavunwa mazao ya ngano na mpunga wa kutosha kulisha nchi nzima.
Thomas sankara aliamini kuwa Nchi ya Burkinafaso inaweza kuendelea bila kuchukua mikopo kutoka IMF na world bank ambapo mikopo hiyo mingi ina masharti magumu kwa ustawi wa nchi.
Mwanamapinduzi Thomas sankara hakuweza kuwavumilia wala rushwa waliobainika katika uongozi wake na aliwafukuza mara moja katika serikali.
Rais Thomas Sankara aliamini katika usawa wa kijinsia kati ya wanawake na wanaume na hivyo katika serikali yake aliyoiunda aliweza kuwapatia nafasi zaidi wanawake sio tu katika wizara inayohusiana na mambo ya wanawake Bali hadi katika wizara nyeti za nchi hiyo tofauto na ilivyokuwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa kipindi hicho.
Rais Thomas Sankara alikuwa muumini mkubwa wa uwazi na demokrasia na mara zote alipenda wananchi wa Nchi ya Burkinafaso watoe maoni yao bila woga wowote tofauti na viongozi wengi wa Afrika wa kipindi kile.
Sina shaka kama ni mfuatiliaji wa siasa umeshalisikia jina hili.Thomas sankara alizaliwa tarehe 21/12/1949 huko Yaakov French upper volta (Jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso) katika familia ya Bwana Joseph na mama Margaret Sankara ambayo ni familia ya kimisionari.Thomas Sankara alifahamika kwa jina la utani la The African che Guevara kutokana na misimamo yake mikali iliyomfanya akafananishwa na mwanasiasa gwiji kutoka Amerika ya kaskazini Che Guevara.
Kabla ya kuwa Rais wa Nchi ya Burkinafaso Thomas Sankara alihudumu kama waziri Mkuu katika serikali iliyokuwa madarani hadi kufika mwaka 1983 ambapo Thomas Sankara na rafiki yake wa karibu Sana toka wapo jeshini Braise Compare waliongoza mapinduzi ya kiamani kwa kumtoa madarakani Rais aliyekuwepo madarakani kipindi hicho. Rais Thomas Sankara alihudumu madarakani kuanzia mwaka 1983 Hadi mwaka 1987 alipouawa na rafiki yake wa karibu Braise Compare.Mwanamapinduzi na mwanamwema huyu wa Afrika alitawala nchi ya Burkinafaso kwa kipindi cha miaka mitatu na miezi sita.
Katika kipindi chake alipokuwa waziri Mkuu wananchi wa Nchi ya Upper volta jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso walikuwa wanavutiwa sana na mtindo wake wa uongozi hali iliyoelekea Rais aliyekuwa madarakani kumuwekea vizuizi Thomas sankara hadi hapo alipofanikiwa kufanya mapinduzi.
MAFANIKIO YAKE KATIKA SERIKALI YA BURKINAFASO
Thomas Sankara ni mmoja wa wanamapinduzi aliyekuwa na maono ya kipekee ya kuivusha nchi ya Burkinafaso kutoka katika mawazo ya utumwa na kuanza kujitegemea kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni.Maono yake yalitofautiana na viongozi wengi wa Afrika wa kipindi kile ikiwemo viongozi wenzake katika nchi ya Burkinafaso.
Thomas Sankara mara baada ya kuingia madarakani kama Rais alibadilisha jina la nchi hiyo kutoka kuitwa upper volta la kikoloni na kuiita nchi hiyo jina la Burkinafaso yaani ardhi ya watu wema na wanyoofu.Aidha Thomas Sankara alibadilisha bendera ya nchi hiyo na wimbo wa taifa wa nchi hiyo.
Kwakuwa alidhamiria kuinua uchumi wa Nchi ya Burkinafaso Thomas Sankara alipoingia madarakani alisitisha matumizi makubwa ya serikali kwa vitu visivyo na tija na aliekeza serikali yake itumie gari za kawaida ambazo zitakuwa Hazitumii mafua mengi na gari hizo hazina gharama kubwa.
Rais Thomas Sankara alipoingia madarakani alifanikiwa kuinua kiwango cha ufaulu na uwezo wa kusoma kwa wananchi wa Burkinafaso kutoka asilimia 13 mwaka 1983 hadi asilimia 73 mwaka 1987.
Alianzisha kampeni kabambe ya upandaji wa miti nchi nzima hadi kufikia miti milioni kumi huku akihubiri umuhimu wa utunzaji wa mazingira.
Katika kipindi Cha uongozi wa Rais Thomas Sankara ndipo wanawake wengi zaidi walipata fursa ya kujiunga na jeshi la nchi ya Burkinafaso.
Rais Thomas Sankara alihimiza katika kilimo cha mazao ya chakula na biashara ambapo hadi kufika mwaka 1987 zaidi ya ekari 3800 zilikuwa zinavunwa mazao ya ngano na mpunga wa kutosha kulisha nchi nzima.
Thomas sankara aliamini kuwa Nchi ya Burkinafaso inaweza kuendelea bila kuchukua mikopo kutoka IMF na world bank ambapo mikopo hiyo mingi ina masharti magumu kwa ustawi wa nchi.
Mwanamapinduzi Thomas sankara hakuweza kuwavumilia wala rushwa waliobainika katika uongozi wake na aliwafukuza mara moja katika serikali.
Rais Thomas Sankara aliamini katika usawa wa kijinsia kati ya wanawake na wanaume na hivyo katika serikali yake aliyoiunda aliweza kuwapatia nafasi zaidi wanawake sio tu katika wizara inayohusiana na mambo ya wanawake Bali hadi katika wizara nyeti za nchi hiyo tofauto na ilivyokuwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa kipindi hicho.
Rais Thomas Sankara alikuwa muumini mkubwa wa uwazi na demokrasia na mara zote alipenda wananchi wa Nchi ya Burkinafaso watoe maoni yao bila woga wowote tofauti na viongozi wengi wa Afrika wa kipindi kile.
11
08:20
09.05.2025
#CHAKUSHANGAZA
Cleopa David Msuya alizaliwa tarehe 4 Januari 1931 katika kijiji cha Chomvu, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Makerere kuanzia mwaka 1952 hadi 1955. Baada ya hapo, alijihusisha na kazi za maendeleo ya jamii na huduma kwa wananchi vijijini kuanzia mwaka 1956 hadi 1964.
Kuanzia mwaka 1964, Msuya alihudumu kama Katibu Mkuu katika wizara mbalimbali: Wizara ya Maendeleo ya Jamii na Utamaduni (1964–1965), Wizara ya Ardhi, Makazi na Maendeleo ya Maji (1965–1967), Wizara ya Mambo ya Uchumi na Mipango (1967–1970), na Wizara ya Fedha (1970–1972).
Mnamo tarehe 18 Februari 1972, aliteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na alihudumu hadi alipohamishiwa kuwa Waziri wa Viwanda mnamo tarehe 3 Novemba 1975. Baada ya kuhudumu kwa miaka mitano kama Waziri wa Viwanda, aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu mnamo Novemba 1980, nafasi aliyoshikilia hadi Februari 1983. Baadaye alirudi tena kuwa Waziri wa Fedha kutoka Februari 1983 hadi Novemba 1985.
Mnamo tarehe 6 Novemba 1985, alipewa jukumu jipya akiwa Waziri wa Fedha, Mambo ya Uchumi na Mipango hadi Machi 1989. Kisha alirudi kuwa Waziri wa Fedha tena kuanzia Machi 1989 hadi Desemba 1990, na baadaye kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara kutoka Machi 1990 hadi Desemba 1994.
Mwaka 1994, aliteuliwa tena kuwa Waziri Mkuu kwa mara ya pili, na pia kuhudumu kama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi Novemba 1995. Katika uchaguzi wa Bunge wa mwaka 1995, alichaguliwa tena kuwa Mbunge na alihudumu hadi alipojitokeza kustaafu rasmi tarehe 29 Oktoba 2000.
Baada ya kustaafu, Msuya aliendelea kuwa mwanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kufikia mwaka 2006 alikuwa bado ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM. Pia alikuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Maendeleo la Kilimanjaro.
Mnamo Oktoba 23, 2019, akiwa na umri wa miaka 88, Cleopa Msuya aliteuliwa na Rais Hayati John Pombe Magufuli kuwa Mkuu wa Chuo cha Ardhi (Chancellor wa Ardhi Institute).
Mzee Msuya amefariki Jana tarehe 07/05/2025 katika hospitali ya NZENA alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Moyo ,alikuwa akiugua mda mrefu amepita JKCI na London Uingereza, Bwana Ametoa Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe ,wa ina lillah raajun
Cleopa David Msuya alizaliwa tarehe 4 Januari 1931 katika kijiji cha Chomvu, Usangi, wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Makerere kuanzia mwaka 1952 hadi 1955. Baada ya hapo, alijihusisha na kazi za maendeleo ya jamii na huduma kwa wananchi vijijini kuanzia mwaka 1956 hadi 1964.
Kuanzia mwaka 1964, Msuya alihudumu kama Katibu Mkuu katika wizara mbalimbali: Wizara ya Maendeleo ya Jamii na Utamaduni (1964–1965), Wizara ya Ardhi, Makazi na Maendeleo ya Maji (1965–1967), Wizara ya Mambo ya Uchumi na Mipango (1967–1970), na Wizara ya Fedha (1970–1972).
Mnamo tarehe 18 Februari 1972, aliteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na alihudumu hadi alipohamishiwa kuwa Waziri wa Viwanda mnamo tarehe 3 Novemba 1975. Baada ya kuhudumu kwa miaka mitano kama Waziri wa Viwanda, aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu mnamo Novemba 1980, nafasi aliyoshikilia hadi Februari 1983. Baadaye alirudi tena kuwa Waziri wa Fedha kutoka Februari 1983 hadi Novemba 1985.
Mnamo tarehe 6 Novemba 1985, alipewa jukumu jipya akiwa Waziri wa Fedha, Mambo ya Uchumi na Mipango hadi Machi 1989. Kisha alirudi kuwa Waziri wa Fedha tena kuanzia Machi 1989 hadi Desemba 1990, na baadaye kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara kutoka Machi 1990 hadi Desemba 1994.
Mwaka 1994, aliteuliwa tena kuwa Waziri Mkuu kwa mara ya pili, na pia kuhudumu kama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi Novemba 1995. Katika uchaguzi wa Bunge wa mwaka 1995, alichaguliwa tena kuwa Mbunge na alihudumu hadi alipojitokeza kustaafu rasmi tarehe 29 Oktoba 2000.
Baada ya kustaafu, Msuya aliendelea kuwa mwanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kufikia mwaka 2006 alikuwa bado ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM. Pia alikuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Maendeleo la Kilimanjaro.
Mnamo Oktoba 23, 2019, akiwa na umri wa miaka 88, Cleopa Msuya aliteuliwa na Rais Hayati John Pombe Magufuli kuwa Mkuu wa Chuo cha Ardhi (Chancellor wa Ardhi Institute).
Mzee Msuya amefariki Jana tarehe 07/05/2025 katika hospitali ya NZENA alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Moyo ,alikuwa akiugua mda mrefu amepita JKCI na London Uingereza, Bwana Ametoa Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe ,wa ina lillah raajun
19
05:11
09.05.2025
imageImage preview is unavailable
#CHAKUSHANGAZA
PICHA ya pamoja ya JAY Z na BEYONCE watu mashuhuri kutokea marekani walipofika kwenye uzinduzi wa wodi ya wagonjwa waliojenga katika hospitali ya mwananyamala iliyopo kinondoni DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 mwaka 2006
PICHA ya pamoja ya JAY Z na BEYONCE watu mashuhuri kutokea marekani walipofika kwenye uzinduzi wa wodi ya wagonjwa waliojenga katika hospitali ya mwananyamala iliyopo kinondoni DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 mwaka 2006
#CHAKUSHANGAZA
PICHA ya pamoja ya JAY Z na BEYONCE watu mashuhuri kutokea marekani walipofika kwenye uzinduzi wa wodi ya wagonjwa waliojenga katika hospitali ya mwananyamala iliyopo kinondoni DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 mwaka 2006
PICHA ya pamoja ya JAY Z na BEYONCE watu mashuhuri kutokea marekani walipofika kwenye uzinduzi wa wodi ya wagonjwa waliojenga katika hospitali ya mwananyamala iliyopo kinondoni DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 mwaka 2006
227
02:13
04.05.2025
#CHAKUSHANGAZA
Usaliti wa Rafiki: Kifo cha Thomas Sankara
Muuaji wa Rais wa zamani wa Burkina Faso, Thomas Sankara, hakuwa mtu wa mbali. Alikuwa rafiki yake wa utotoni, Blaise Compaoré. Wawili hawa walikua pamoja tangu wakiwa watoto, waliishi pamoja na hata kulelewa pamoja na baba yake Sankara. Urafiki wao ulikuwa wa karibu kiasi kwamba waliishi kama ndugu wa damu.
Baadaye, walijiunga pamoja na jeshi la Burkina Faso na kuendeleza ukaribu wao. Thomas Sankara alipofanikiwa kuwa Rais wa nchi hiyo, alimchagua rafiki yake huyo mkubwa, Blaise Compaoré, kuwa Makamu wa Rais wake. Uaminifu na upendo wa kindugu ulitawala kati yao—angalau ndivyo Sankara alivyodhani.
Siku tano kabla ya mauaji ya Sankara, walifanya sherehe pamoja; walikunywa na kucheza wakisherehekea tukio fulani muhimu. Lakini katika usiku huo wa furaha, Sankara alipokea taarifa ya siri kutoka kwa maafisa wa usalama wake kwamba Blaise Compaoré alikuwa ameandaa mpango wa kumuua.
Thomas Sankara aliisikia taarifa hiyo lakini hakuweza kuiamini. Vipi rafiki yake mkubwa? Mtu waliyeshirikiana maisha tangu utotoni? Mtu aliyemwamini sana kiasi cha kumfanya Makamu wake? Aliamini kuwa haiwezekani mtu wa karibu kiasi hicho awe na nia ya kumuua.
Lakini dunia hii imejaa usaliti. Hatimaye, tarehe 15 Oktoba 1987, Thomas Sankara aliuawa katika mapinduzi yaliyoongozwa na mtu aliyempenda kama ndugu – Blaise Compaoré. Sankara alipigwa risasi 11 kifuani na 4 kichwani na vijana waliotumwa na Compaoré.
Baada ya kutekeleza usaliti huo, Blaise Compaoré alichukua uongozi wa Burkina Faso na kuwa Rais kwa miaka 27. Hadi leo, bado anaishi nchini Ivory Coast na hajawahi kulipa gharama ya usaliti wake.
Huu ndio ukweli mchungu wa dunia: mara nyingi, anayekuangamiza si adui wa mbali, bali rafiki wa karibu.
Pumzika kwa amani, Thomas Sankara.
Usaliti wa Rafiki: Kifo cha Thomas Sankara
Muuaji wa Rais wa zamani wa Burkina Faso, Thomas Sankara, hakuwa mtu wa mbali. Alikuwa rafiki yake wa utotoni, Blaise Compaoré. Wawili hawa walikua pamoja tangu wakiwa watoto, waliishi pamoja na hata kulelewa pamoja na baba yake Sankara. Urafiki wao ulikuwa wa karibu kiasi kwamba waliishi kama ndugu wa damu.
Baadaye, walijiunga pamoja na jeshi la Burkina Faso na kuendeleza ukaribu wao. Thomas Sankara alipofanikiwa kuwa Rais wa nchi hiyo, alimchagua rafiki yake huyo mkubwa, Blaise Compaoré, kuwa Makamu wa Rais wake. Uaminifu na upendo wa kindugu ulitawala kati yao—angalau ndivyo Sankara alivyodhani.
Siku tano kabla ya mauaji ya Sankara, walifanya sherehe pamoja; walikunywa na kucheza wakisherehekea tukio fulani muhimu. Lakini katika usiku huo wa furaha, Sankara alipokea taarifa ya siri kutoka kwa maafisa wa usalama wake kwamba Blaise Compaoré alikuwa ameandaa mpango wa kumuua.
Thomas Sankara aliisikia taarifa hiyo lakini hakuweza kuiamini. Vipi rafiki yake mkubwa? Mtu waliyeshirikiana maisha tangu utotoni? Mtu aliyemwamini sana kiasi cha kumfanya Makamu wake? Aliamini kuwa haiwezekani mtu wa karibu kiasi hicho awe na nia ya kumuua.
Lakini dunia hii imejaa usaliti. Hatimaye, tarehe 15 Oktoba 1987, Thomas Sankara aliuawa katika mapinduzi yaliyoongozwa na mtu aliyempenda kama ndugu – Blaise Compaoré. Sankara alipigwa risasi 11 kifuani na 4 kichwani na vijana waliotumwa na Compaoré.
Baada ya kutekeleza usaliti huo, Blaise Compaoré alichukua uongozi wa Burkina Faso na kuwa Rais kwa miaka 27. Hadi leo, bado anaishi nchini Ivory Coast na hajawahi kulipa gharama ya usaliti wake.
Huu ndio ukweli mchungu wa dunia: mara nyingi, anayekuangamiza si adui wa mbali, bali rafiki wa karibu.
Pumzika kwa amani, Thomas Sankara.
248
16:08
03.05.2025
#CHAKUSHANGAZA
Hili ni jino la aliyekuwa mpigania uhuru na waziri mkuu wa zamani nchini Congo. Hayati Patrice Lumumba aliyeuawa mwaka 1961 kwa kupigwa risasi, kuzikwa kisha mwili wake kufukuliwa tena muda mfupi baadae katika tukio ambalo liliratibiwa na Askari wa kikoloni wa Ubelgiji wakiongozwa na Bw. Gerard Soete ambaye miaka 40 baadae alikiri kwa kusema. "Nilimkata Lumumba vipande 34! Niliukata kata mwili wa Lumumba, sehemu ngumu ya mwili wake tulitumia msumeno! na kisha kuumwagia tindikali katikati ya usiku wa manane wa Afirka. Hakuna kilichobakia zaidi ya meno machache na harufu kali. Nilioga mara tatu na kila wakati nilijiona mchafu!" Alihitimisha hivyo mzungu huyo mwenye roho mbaya ambaye nae kwa sasa ni marehemu.... Rest in Peace Patrice Lumumba. Ulidhurumiwa uhai kikatili mno kwa ajili ya nchi yako na Afrika kwa ujumla. Jina lako bado linaishi kwenye mioyo yetu wapenda amani na wakarimu wa Afrika. Ndio maana mpaka leo kuna barabara zetu na mitaa inaliheshimisha jina lako. Kuna barabara inaitwa LUMUMBA hapa Dar es salaam. Ni kumbukumbu yako....Rest In Paradise ..PATRICE emery LUMUMBA😭😭
Hili ni jino la aliyekuwa mpigania uhuru na waziri mkuu wa zamani nchini Congo. Hayati Patrice Lumumba aliyeuawa mwaka 1961 kwa kupigwa risasi, kuzikwa kisha mwili wake kufukuliwa tena muda mfupi baadae katika tukio ambalo liliratibiwa na Askari wa kikoloni wa Ubelgiji wakiongozwa na Bw. Gerard Soete ambaye miaka 40 baadae alikiri kwa kusema. "Nilimkata Lumumba vipande 34! Niliukata kata mwili wa Lumumba, sehemu ngumu ya mwili wake tulitumia msumeno! na kisha kuumwagia tindikali katikati ya usiku wa manane wa Afirka. Hakuna kilichobakia zaidi ya meno machache na harufu kali. Nilioga mara tatu na kila wakati nilijiona mchafu!" Alihitimisha hivyo mzungu huyo mwenye roho mbaya ambaye nae kwa sasa ni marehemu.... Rest in Peace Patrice Lumumba. Ulidhurumiwa uhai kikatili mno kwa ajili ya nchi yako na Afrika kwa ujumla. Jina lako bado linaishi kwenye mioyo yetu wapenda amani na wakarimu wa Afrika. Ndio maana mpaka leo kuna barabara zetu na mitaa inaliheshimisha jina lako. Kuna barabara inaitwa LUMUMBA hapa Dar es salaam. Ni kumbukumbu yako....Rest In Paradise ..PATRICE emery LUMUMBA😭😭
222
13:30
03.05.2025
Afu leo mnitumie basi vocha ili nimalizie hii story.... hamuoni hata huruma nimeandika gazeti lote hilo...0627408679
Tumeni laki laki hizo
Tumeni laki laki hizo
448
10:31
01.05.2025
(SEHEMU YA 16 {A}) Mamalaka za usalama za uingereza ikatoa zawadi nono kwa yeyote atakayeweza kufanikisha kupatikana kwa MR. BASIL kwa kuhaidi kutoa paundi 20,000 lakini mpaka leo hii hakuna aliyeweza kusaidia upatikanaji wake na kuweza kupata zawadi nono hiyo.
Msemaji wa SCOTLAND YARD alinukuliwa na vyombo vya habari akiongelea akili kubwa aliyoifanya huyu MR. BASIL,
1)- Kuweza kumteka akili READER kwa kuweza kutengeneza urafiki wa uongo ili kuweza kumtumia vizuri katika tukio lake kwa kuwa alishajua huyu ana rekodi ya uwizi huko nyuma na kuweza kumsaidia kumtafutia wahalifu wengine.
2)- kujifanya anapokea pensheni kama mstaafu wa uingereza ili ajulikane yeye ni raia wa pale ili mradi dili likibumbulika aweze kutusumbua sisi wapelelezi katiak uchunguzi wetu na kwa hili amefanikiwa na mpaka sasa wao kama shirika wanaamini alikuwa ni MRUSI.
3)- kutowaambia wenzake jina lake halisi na kujifanya kuwa jina la BASIL ni jina alilokuwa akitumia zamani akiwa kijana kwasababu alikuwa mtumbuizaji, kwahiyo jina lake halisi lilimezwa na jina la A.K.A ya BASIL.
4)- SCOTLAND YARD wanaamini miaka yote BASIL alivyokuwa na wenzake hakuwa na sura yake halisi, wanaamini ile sura ambayo wazee wenzake walikuwa wakiiona ilikuwa danganya toto tu ili kama baadae wakikamatwa waelezea muonekanao ambao sio yeye.
5)- MR BASIL miaka yote hiyo mitatu hakuwahi kuongea na simu. Alikuwa akituma sms tu na hii alijua kabisa baade sisi tungeitumia sauti yake katika uchunguzi wetu.
Hiyo picha hapo juu aliyevaa jaketi la zambarau ndo MR BASIL mwenyewe.
INAENDELEA...!!!!
Tunakaribia kumaliza...story yetu ...muwe mnatoa basi maoni tuone kama mnafatilia wadau...
Msemaji wa SCOTLAND YARD alinukuliwa na vyombo vya habari akiongelea akili kubwa aliyoifanya huyu MR. BASIL,
1)- Kuweza kumteka akili READER kwa kuweza kutengeneza urafiki wa uongo ili kuweza kumtumia vizuri katika tukio lake kwa kuwa alishajua huyu ana rekodi ya uwizi huko nyuma na kuweza kumsaidia kumtafutia wahalifu wengine.
2)- kujifanya anapokea pensheni kama mstaafu wa uingereza ili ajulikane yeye ni raia wa pale ili mradi dili likibumbulika aweze kutusumbua sisi wapelelezi katiak uchunguzi wetu na kwa hili amefanikiwa na mpaka sasa wao kama shirika wanaamini alikuwa ni MRUSI.
3)- kutowaambia wenzake jina lake halisi na kujifanya kuwa jina la BASIL ni jina alilokuwa akitumia zamani akiwa kijana kwasababu alikuwa mtumbuizaji, kwahiyo jina lake halisi lilimezwa na jina la A.K.A ya BASIL.
4)- SCOTLAND YARD wanaamini miaka yote BASIL alivyokuwa na wenzake hakuwa na sura yake halisi, wanaamini ile sura ambayo wazee wenzake walikuwa wakiiona ilikuwa danganya toto tu ili kama baadae wakikamatwa waelezea muonekanao ambao sio yeye.
5)- MR BASIL miaka yote hiyo mitatu hakuwahi kuongea na simu. Alikuwa akituma sms tu na hii alijua kabisa baade sisi tungeitumia sauti yake katika uchunguzi wetu.
Hiyo picha hapo juu aliyevaa jaketi la zambarau ndo MR BASIL mwenyewe.
INAENDELEA...!!!!
Tunakaribia kumaliza...story yetu ...muwe mnatoa basi maoni tuone kama mnafatilia wadau...
440
10:28
01.05.2025
(SEHEMU YA 15)
Wapelelezi wakatuma undani(details) za mhusika kwa mamlaka za juu waangalie kama ana rekodi yoyote ya uwizi na kukuta anayo huko zamani na kuona kuwa huyu atakuiwa ni mhusika kwa asilimia 90 katika tukio lile na hivyo wakaaanza kumchunguza kwa kuangalia matumizi yake kabla ya tukio na baada ya tukio na kukuta kuna utofauti mkubwa sana na hivyo wakajiridhisha ndiye aliyehusika.
KUKAMATWA, KUSHTAKIWA NA KUFUNGWA
Baada ya wapelelezi kujiridhisha polisi wakaagizwa kukamtwa kwa Yule mzee ambaye alikuwa ni KENNY COLLINS, polisi walifika kwake na kumkamata na kumfikisha kituo kikuu cha mji wa London na kuanza kumhoji COLLINS na alikiri kuhusika na tukio na kuweza kuwataja wenzake.
Wenzake walivyokamatwa wakataja wengine mpaka wakajikuta wametimia saba kati ya nane waliohusika katika mpanago mzima wa tukio la uvunjaji, sasa kazi ikabaki kumkamata mastermind wa tukio zima MR. BASIL ambaye ndo aliwatoa jasho polisi sana kumsaka kumjua ni nani na yuko wapi ili wamtie nguvuni.
Kwani hata wale wazee walidai kuwa genius walijuana naye miaka ya karibuni na hakuwaga rafiki wa tangu ujanani kama walivyo hao wazee wengine, kwahiyo wao wenyewe hawajui anakaa wapi zaidi ya kuwa wanakutana bar tu na wanaachana hukohuko na pia hawana uhakika kama alikuwa ni raia wa uingereza kama wao na mtu ambaye alikutanisha hawa wazee na MR. BASIL aliuwa ni READER amabaye yeye mwenyewe naye anasema amemjua kupitia unywaji na sio kama alikuwa rafiki yake kama ilivyokuwa kwa hao wazee wengine.
Kikubwa SCTOLAND YARD waliomba wapewe utambukisho wake na READER akawaambia waende kuangalia rekodi za video katika pub ya THE CASTLE lakini kumbe mwenzao MR BASIL alichagua ile pub akiwa ashajua kuwa haina mfumo wa kamera na wapelelezi wakaambulia patupu, akili kubwa ya MR BASIL hiyo.
Wapelelezi wakatumia njia ya kuchora kwa kuelezewa na wale wazee namna alivyokuwa BASIL na walifanikiwa kumchora kama alivyokuwa ila hiyo haikusaidia chochote kwani utambulisho walioweza kuuchora haukuleta mtu huyo kama yuko duniani mwenye hiyo sura iliyochorwa na kuwaumiza vichwa sana SCOTLAND YARD.
Mamalaka za usalama za uingereza zikatumia njia ya kutangaza zawadi nono.
INAENDELEA..!!!
Wapelelezi wakatuma undani(details) za mhusika kwa mamlaka za juu waangalie kama ana rekodi yoyote ya uwizi na kukuta anayo huko zamani na kuona kuwa huyu atakuiwa ni mhusika kwa asilimia 90 katika tukio lile na hivyo wakaaanza kumchunguza kwa kuangalia matumizi yake kabla ya tukio na baada ya tukio na kukuta kuna utofauti mkubwa sana na hivyo wakajiridhisha ndiye aliyehusika.
KUKAMATWA, KUSHTAKIWA NA KUFUNGWA
Baada ya wapelelezi kujiridhisha polisi wakaagizwa kukamtwa kwa Yule mzee ambaye alikuwa ni KENNY COLLINS, polisi walifika kwake na kumkamata na kumfikisha kituo kikuu cha mji wa London na kuanza kumhoji COLLINS na alikiri kuhusika na tukio na kuweza kuwataja wenzake.
Wenzake walivyokamatwa wakataja wengine mpaka wakajikuta wametimia saba kati ya nane waliohusika katika mpanago mzima wa tukio la uvunjaji, sasa kazi ikabaki kumkamata mastermind wa tukio zima MR. BASIL ambaye ndo aliwatoa jasho polisi sana kumsaka kumjua ni nani na yuko wapi ili wamtie nguvuni.
Kwani hata wale wazee walidai kuwa genius walijuana naye miaka ya karibuni na hakuwaga rafiki wa tangu ujanani kama walivyo hao wazee wengine, kwahiyo wao wenyewe hawajui anakaa wapi zaidi ya kuwa wanakutana bar tu na wanaachana hukohuko na pia hawana uhakika kama alikuwa ni raia wa uingereza kama wao na mtu ambaye alikutanisha hawa wazee na MR. BASIL aliuwa ni READER amabaye yeye mwenyewe naye anasema amemjua kupitia unywaji na sio kama alikuwa rafiki yake kama ilivyokuwa kwa hao wazee wengine.
Kikubwa SCTOLAND YARD waliomba wapewe utambukisho wake na READER akawaambia waende kuangalia rekodi za video katika pub ya THE CASTLE lakini kumbe mwenzao MR BASIL alichagua ile pub akiwa ashajua kuwa haina mfumo wa kamera na wapelelezi wakaambulia patupu, akili kubwa ya MR BASIL hiyo.
Wapelelezi wakatumia njia ya kuchora kwa kuelezewa na wale wazee namna alivyokuwa BASIL na walifanikiwa kumchora kama alivyokuwa ila hiyo haikusaidia chochote kwani utambulisho walioweza kuuchora haukuleta mtu huyo kama yuko duniani mwenye hiyo sura iliyochorwa na kuwaumiza vichwa sana SCOTLAND YARD.
Mamalaka za usalama za uingereza zikatumia njia ya kutangaza zawadi nono.
INAENDELEA..!!!
516
06:06
29.04.2025
(SEHEMU YA 14)
Wakaamua kutumia niia ya kuseti njia zote za mawasiliano nchini uingereza kuweza kudaka mawasiliano yoyote ambayo yatakuwa yanahusu uwizi uliotokea ila hii nayo haikufua dafu kwani ilipita kama wiki tatu hakuna mawasiliano yoyote yaliyokuwa yakihusiana na uwizi uliotokea na hivyo kufanya kazi kuwa ngumu kuwatrace, hizi njia zote MR BASIL alishaziandika kwenye nakala yake alizowapa wazee wenzake.
Hapa sasa wakaamua kutumia njia nyingine ya kuangalia kamera za jiji ambazo zinazunguka mitaa na barabara zote za karibu na bohari salama huku wakioanisha na rekodi za video za nje ya bohari salama ili kuona kama watapata chochote kusaidia uchunguzi wao.
Wapelelezi wakaanza kuangalia rekodi za video kwa makini sana kuona wataambulia kitu, katika uangaliaji wakagundua kuwa kuna gari moja siku ya tukio lilikuwa linapita barabara pembeni kabisa na eneo la tukio mara nyingi nyingi kuliko magari mengine yote yaliyokuwa yanapita siku hiyo, wakaanza kujiuliza ni kwanini hili gari lilipitapita mara nyingi siku ya tukio wakanza kupata wasiwasi nalo.
Mmoja wa wawapelelezi akasema kwanini tusiangalie rekodi za nyuma kama lilikuwa linapitaga mara nyinginyingi isije kuwa ni kawaida ya hili gari, wakakubaliana na kuangalia rekodi za nyuma na kukuta halijawahi kupita hapo kwa rekodi za mwezi mzima uliopita, ikawa kama mwanga kwao.
Wakaamua kuoanisha na rekodi za video za nje za bohari salama kama hilo gari lilifika hapo, la haulaa kuangalia rekodi zile wakakuta lile gari usiku wa tukio liliingia ndani ya bohari salama na kuegeshwa sehemu ya mgari na akashuka mtu akiwa amevalia kama watu wa manispaa kama yale magari mengine waliyoyaona [yale magari mengine waliona watu wa manispaa wakishuka wakiwa wamevalia nguo za kazi ila walishindwa kuwajua kwasababu ya gari walizotumia zilikuwa za kukodi na kuwa ngumu kuwatrace, kwani wakiwatrace yanakuja majina ya makapuni ya kukodisha magari]. Roho zikawa zinawadunda wakiomba huyu mshtumiwa awe ametumia gari lisilo la kukodi kama la wale wenzake, kwenye zile rekodi za video plate namba ilionekana vizuri na kuzichukua kuziingiza kwenye mfumo na zikajibu kwa kuleta jina la mtu binafsi na undani wake kwa ujumla. INAENDELEA
Wakaamua kutumia niia ya kuseti njia zote za mawasiliano nchini uingereza kuweza kudaka mawasiliano yoyote ambayo yatakuwa yanahusu uwizi uliotokea ila hii nayo haikufua dafu kwani ilipita kama wiki tatu hakuna mawasiliano yoyote yaliyokuwa yakihusiana na uwizi uliotokea na hivyo kufanya kazi kuwa ngumu kuwatrace, hizi njia zote MR BASIL alishaziandika kwenye nakala yake alizowapa wazee wenzake.
Hapa sasa wakaamua kutumia njia nyingine ya kuangalia kamera za jiji ambazo zinazunguka mitaa na barabara zote za karibu na bohari salama huku wakioanisha na rekodi za video za nje ya bohari salama ili kuona kama watapata chochote kusaidia uchunguzi wao.
Wapelelezi wakaanza kuangalia rekodi za video kwa makini sana kuona wataambulia kitu, katika uangaliaji wakagundua kuwa kuna gari moja siku ya tukio lilikuwa linapita barabara pembeni kabisa na eneo la tukio mara nyingi nyingi kuliko magari mengine yote yaliyokuwa yanapita siku hiyo, wakaanza kujiuliza ni kwanini hili gari lilipitapita mara nyingi siku ya tukio wakanza kupata wasiwasi nalo.
Mmoja wa wawapelelezi akasema kwanini tusiangalie rekodi za nyuma kama lilikuwa linapitaga mara nyinginyingi isije kuwa ni kawaida ya hili gari, wakakubaliana na kuangalia rekodi za nyuma na kukuta halijawahi kupita hapo kwa rekodi za mwezi mzima uliopita, ikawa kama mwanga kwao.
Wakaamua kuoanisha na rekodi za video za nje za bohari salama kama hilo gari lilifika hapo, la haulaa kuangalia rekodi zile wakakuta lile gari usiku wa tukio liliingia ndani ya bohari salama na kuegeshwa sehemu ya mgari na akashuka mtu akiwa amevalia kama watu wa manispaa kama yale magari mengine waliyoyaona [yale magari mengine waliona watu wa manispaa wakishuka wakiwa wamevalia nguo za kazi ila walishindwa kuwajua kwasababu ya gari walizotumia zilikuwa za kukodi na kuwa ngumu kuwatrace, kwani wakiwatrace yanakuja majina ya makapuni ya kukodisha magari]. Roho zikawa zinawadunda wakiomba huyu mshtumiwa awe ametumia gari lisilo la kukodi kama la wale wenzake, kwenye zile rekodi za video plate namba ilionekana vizuri na kuzichukua kuziingiza kwenye mfumo na zikajibu kwa kuleta jina la mtu binafsi na undani wake kwa ujumla. INAENDELEA
640
04:38
26.04.2025
close
Reviews channel
keyboard_arrow_down
- Added: Newest first
- Added: Oldest first
- Rating: High to low
- Rating: Low to high
5.0
1 reviews over 6 months
Excellent (100%) In the last 6 months
c
**ffeenold@******.io
On the service since June 2022
13.01.202500:31
5
Everything is fine. Thank you!
Show more
Channel statistics
Rating
12.4
Rating reviews
5.0
Сhannel Rating
9
Subscribers:
4.7K
APV
lock_outline
ER
3.5%
Posts per day:
1.0
CPM
lock_outlineSelected
0
channels for:$0.00
Subscribers:
0
Views:
lock_outline
Add to CartBuy for:$0.00
Комментарий