
Get clients in any niche!
Delegate the launch of advertising to us — for free
Learn more
22.8

Advertising on the Telegram channel «Chakushangaza»
5.0
5
History
Language:
English
385
0
"Uncover the untold stories of the past and journey through the corridors of history with us. Join our telegram channel for a glimpse into the captivating tapestry of human civilization. 🌍📜 #HistoricalNarratives"
Share
Add to favorite
Buy advertising in this channel
Placement Format:
keyboard_arrow_down
- 1/24
- 2/48
- 3/72
- Native
- 7 days
- Forwards
1 hour in the top / 24 hours in the feed
Quantity
%keyboard_arrow_down
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 8
- 10
- 15
Advertising publication cost
local_activity
$2.40$2.40local_mall
0.0%
Remaining at this price:0
Recent Channel Posts
(SEHEMU YA NNE)
Hawa wezi wanne wapya walikuwa ni KENNY COLLINS, CARL WOOD, WILLIAM LINCOLN na HUGH DOYLE hapa sasa jukumu la DANIEL JONES likawa limekamilika ila lilichukua muda wa takribani mwaka mmoja na miezi miwili kukamilika, muda wote huu ni kutokana na kutafuta watu sahihi wenye uzoefu wao katika Nyanja za uhalifu wa daraja la kwanza na pia wawe wazee kama mastermind alivyosema.
Baada ya zoezi kuisha wote nane wakakutana katika kijiwe chao cha THE CASTLE ili kuweza kujuana vizuri na kuanza kusuka mipango ya tukio zima kwa pamoja ingawa tayari MR. BASIL alikuwa na muongozo wa tukio na ndo maana alihitaji wawe nane. Hapa sasa wanaume wanaingia kazini.
MR. BASIL anampa muongozo bwana BRIAN READER kazi ya kwenda kufanya utafiti katika bohari salama ya HATTON GARDEN kwa kuhakikisha anasoma mazingira mazima ya eneo husika kwa ustadi mkubwa na alipewa hiyo kazi kutokana na historia yake nzuri ya zamani ya kuwa mpelelezi huru akiwa kijana na pia kuwahi kuhusika na uvamizi wa benki mwaka 1983, baada ya kupewa jukumu lake alianza kazi hiyo mara moja na ilikuwa ni mwaka 2013.
READER alianza kwa kufuatilia ratiba za wafanyakazi wa bohari ile na ulinzi wake kwa ujumla kuanzia ndani ya jengo hadi nje na alikuja kubaini kuwa bohari ile ina ulinzi usio wa kawaida na hapapitiki kutokana na mitambo iliyofunga, hivyo akaja kuleta ripoti kwa wazee wenzake kuhusu uchunguzi wake wote na hitimisho lake akasema eneo haliiingiliki.
Baada ya MR. BASIL kumsikiliza akamwambia unakumbuka mwanzoni nilikuambia kuwa nina maana yangu ya kuchagua lile eneo ni kwasababu nilijua kuwa hakupitiki ila kuna udhaifu mmoja ambao hata wewe nilijua hutougundua nao ni lifti ndani ya lile jengo zima ambalo ndo mimi ilinishawishi kulichagua lenyewe na ninajua hata wao wenyewe hawafahamu hili na wao wanajiamini kutokana na ubora wao wa ulinzi na sisi tutatumia huohuo udhaifu kufanikisha yetu, wazee wote wakacheka na kuona MR. BASIL ni genius.
Kikao kikaendelea kwa kujadiliana kwa kina ni namna gani watatumia lifti kufanikisha azma yao, ndipo genius mwenyewe akaomba apewe muda aandae mpango mzima wa namna watakavyotumia lifti kama faida ya kufanikisha azma yao na atarudi nao. INAENDELEA
Hawa wezi wanne wapya walikuwa ni KENNY COLLINS, CARL WOOD, WILLIAM LINCOLN na HUGH DOYLE hapa sasa jukumu la DANIEL JONES likawa limekamilika ila lilichukua muda wa takribani mwaka mmoja na miezi miwili kukamilika, muda wote huu ni kutokana na kutafuta watu sahihi wenye uzoefu wao katika Nyanja za uhalifu wa daraja la kwanza na pia wawe wazee kama mastermind alivyosema.
Baada ya zoezi kuisha wote nane wakakutana katika kijiwe chao cha THE CASTLE ili kuweza kujuana vizuri na kuanza kusuka mipango ya tukio zima kwa pamoja ingawa tayari MR. BASIL alikuwa na muongozo wa tukio na ndo maana alihitaji wawe nane. Hapa sasa wanaume wanaingia kazini.
MR. BASIL anampa muongozo bwana BRIAN READER kazi ya kwenda kufanya utafiti katika bohari salama ya HATTON GARDEN kwa kuhakikisha anasoma mazingira mazima ya eneo husika kwa ustadi mkubwa na alipewa hiyo kazi kutokana na historia yake nzuri ya zamani ya kuwa mpelelezi huru akiwa kijana na pia kuwahi kuhusika na uvamizi wa benki mwaka 1983, baada ya kupewa jukumu lake alianza kazi hiyo mara moja na ilikuwa ni mwaka 2013.
READER alianza kwa kufuatilia ratiba za wafanyakazi wa bohari ile na ulinzi wake kwa ujumla kuanzia ndani ya jengo hadi nje na alikuja kubaini kuwa bohari ile ina ulinzi usio wa kawaida na hapapitiki kutokana na mitambo iliyofunga, hivyo akaja kuleta ripoti kwa wazee wenzake kuhusu uchunguzi wake wote na hitimisho lake akasema eneo haliiingiliki.
Baada ya MR. BASIL kumsikiliza akamwambia unakumbuka mwanzoni nilikuambia kuwa nina maana yangu ya kuchagua lile eneo ni kwasababu nilijua kuwa hakupitiki ila kuna udhaifu mmoja ambao hata wewe nilijua hutougundua nao ni lifti ndani ya lile jengo zima ambalo ndo mimi ilinishawishi kulichagua lenyewe na ninajua hata wao wenyewe hawafahamu hili na wao wanajiamini kutokana na ubora wao wa ulinzi na sisi tutatumia huohuo udhaifu kufanikisha yetu, wazee wote wakacheka na kuona MR. BASIL ni genius.
Kikao kikaendelea kwa kujadiliana kwa kina ni namna gani watatumia lifti kufanikisha azma yao, ndipo genius mwenyewe akaomba apewe muda aandae mpango mzima wa namna watakavyotumia lifti kama faida ya kufanikisha azma yao na atarudi nao. INAENDELEA
45
13:24
22.02.2025
TBT: Zngu za Old Bongo Flava
1. Daz baba ft ferouz ft Afande Sele - Elimu Dunia
2. Afande Sele ft Solo thang ft P. Jay - Mtazamo
3. Jebby - Wanapagwa
4. Mb Dog ft Madee - Latifa
5. Squezer ft juma nature - Naja
6. Jay moe ft ngwea - kimya kimya
7. Dully sykes - Kupenda
8. Manex ft Dully sykes - nimexhezea bahati
9. Mwana FA ft lady Jay dee - alikufa kwa ngoma
10. 2Berry ft Shriko - wewe
11. Ferouz starehe.
12. Mwana fa bado nipo nipo
13. Daz baba nahitaji wife
14. Sogy dogy kibanda cha simu
15 Professor j zali la mental
16. Berry black natafuta mrembo
17. Matonya anita
18. Matonya vaileti
19. Ray c unanifuata kwa nn
20. Mb doggy latifa
21. Pro. Jay... Zali la mentali
22. Jebby ft. Afande.. swahibaa
23. TID.. Zeze
24. Afande sele.. darubini Kali
25. Daz nundaz... Nipe tano
26. Tmk wanaume.. twenzetu
27 Dully Skye's.. lady free.
28. East cost.. hii Leo
29. Gk ft. Pouline zongo.. sister sister
30. Ferooz.. kamanda.
31. Marlow Rita
32. Mandojo ft domo kaya ft lady jaydee wanok nok
33. Jebby kastor kabint kamoja
34. Daz nundaz ft afande sele elimu dunia
35. Afande sele mkuki moyoni
36. Banana zorro-Zoba
37. Pasha-hidaya
38. Wakali kwanza- Natamani
39. Grace matata -free soul
40. Bizzman- Nip
41. F.A &jaydee hawajui
42. GK -saut ya manka
43. Professor Jay-NIAMIN
44. Mandojo & Domokaya- DINGI
45. Mwana FA - Kama zam
46. Mikasi ngwear
47. Dhahabu dully
48. Bembeleza marlaw
49. Mtasema ladyjaydee
50. Z Anto jini
51. Simu ngwear ft fully
52. Mzee wa busara juma nature
53. Maisha ya bweni jay moe
54. TID-nyota
54. Jua kali-nasinzia nikikuwaza
55. C sir madini-
56. Top C -lofa
57. Mwana FA ft Lina-yalaiti
58. Sajna- iveta
59. Sajna ft lina
60. Dully syles-hunifahamu
ONGEZA NA ZAKWAKO....
1. Daz baba ft ferouz ft Afande Sele - Elimu Dunia
2. Afande Sele ft Solo thang ft P. Jay - Mtazamo
3. Jebby - Wanapagwa
4. Mb Dog ft Madee - Latifa
5. Squezer ft juma nature - Naja
6. Jay moe ft ngwea - kimya kimya
7. Dully sykes - Kupenda
8. Manex ft Dully sykes - nimexhezea bahati
9. Mwana FA ft lady Jay dee - alikufa kwa ngoma
10. 2Berry ft Shriko - wewe
11. Ferouz starehe.
12. Mwana fa bado nipo nipo
13. Daz baba nahitaji wife
14. Sogy dogy kibanda cha simu
15 Professor j zali la mental
16. Berry black natafuta mrembo
17. Matonya anita
18. Matonya vaileti
19. Ray c unanifuata kwa nn
20. Mb doggy latifa
21. Pro. Jay... Zali la mentali
22. Jebby ft. Afande.. swahibaa
23. TID.. Zeze
24. Afande sele.. darubini Kali
25. Daz nundaz... Nipe tano
26. Tmk wanaume.. twenzetu
27 Dully Skye's.. lady free.
28. East cost.. hii Leo
29. Gk ft. Pouline zongo.. sister sister
30. Ferooz.. kamanda.
31. Marlow Rita
32. Mandojo ft domo kaya ft lady jaydee wanok nok
33. Jebby kastor kabint kamoja
34. Daz nundaz ft afande sele elimu dunia
35. Afande sele mkuki moyoni
36. Banana zorro-Zoba
37. Pasha-hidaya
38. Wakali kwanza- Natamani
39. Grace matata -free soul
40. Bizzman- Nip
41. F.A &jaydee hawajui
42. GK -saut ya manka
43. Professor Jay-NIAMIN
44. Mandojo & Domokaya- DINGI
45. Mwana FA - Kama zam
46. Mikasi ngwear
47. Dhahabu dully
48. Bembeleza marlaw
49. Mtasema ladyjaydee
50. Z Anto jini
51. Simu ngwear ft fully
52. Mzee wa busara juma nature
53. Maisha ya bweni jay moe
54. TID-nyota
54. Jua kali-nasinzia nikikuwaza
55. C sir madini-
56. Top C -lofa
57. Mwana FA ft Lina-yalaiti
58. Sajna- iveta
59. Sajna ft lina
60. Dully syles-hunifahamu
ONGEZA NA ZAKWAKO....
205
07:20
21.02.2025
TBT: Zngu za Old Bongo Flava
1. Daz baba ft ferouz ft Afande Sele - Elimu Dunia
2. Afande Sele ft Solo thang ft P. Jay - Mtazamo
3. Jebby - Wanapagwa
4. Mb Dog ft Madee - Latifa
5. Squezer ft juma nature - Naja
6. Jay moe ft ngwea - kimya kimya
7. Dully sykes - Kupenda
8. Manex ft Dully sykes - nimexhezea bahati
9. Mwana FA ft lady Jay dee - alikufa kwa ngoma
10. 2Berry ft Shriko - wewe
11. Ferouz starehe.
12. Mwana fa bado nipo nipo
13. Daz baba nahitaji wife
14. Sogy dogy kibanda cha simu
15 Professor j zali la mental
16. Berry black natafuta mrembo
17. Matonya anita
18. Matonya vaileti
19. Ray c unanifuata kwa nn
20. Mb doggy latifa
21. Pro. Jay... Zali la mentali
22. Jebby ft. Afande.. swahibaa
23. TID.. Zeze
24. Afande sele.. darubini Kali
25. Daz nundaz... Nipe tano
26. Tmk wanaume.. twenzetu
27 Dully Skye's.. lady free.
28. East cost.. hii Leo
29. Gk ft. Pouline zongo.. sister sister
30. Ferooz.. kamanda.
31. Marlow Rita
32. Mandojo ft domo kaya ft lady jaydee wanok nok
33. Jebby kastor kabint kamoja
34. Daz nundaz ft afande sele elimu dunia
35. Afande sele mkuki moyoni
36. Banana zorro-Zoba
37. Pasha-hidaya
38. Wakali kwanza- Natamani
39. Grace matata -free soul
40. Bizzman- Nip
41. F.A &jaydee hawajui
42. GK -saut ya manka
43. Professor Jay-NIAMIN
44. Mandojo & Domokaya- DINGI
45. Mwana FA - Kama zam
46. Mikasi ngwear
47. Dhahabu dully
48. Bembeleza marlaw
49. Mtasema ladyjaydee
50. Z Anto jini
51. Simu ngwear ft fully
52. Mzee wa busara juma nature
53. Maisha ya bweni jay moe
54. TID-nyota
54. Nameless -nasinzia nikikuwaza
55. C sir madini-
56. Top C -lofa
57. Mwana FA ft Lina-yalaiti
58. Sajna- iveta
59. Sajna ft lina
60. Dully syles-hunifahamu
ONGEZA NA ZAKWAKO....
1. Daz baba ft ferouz ft Afande Sele - Elimu Dunia
2. Afande Sele ft Solo thang ft P. Jay - Mtazamo
3. Jebby - Wanapagwa
4. Mb Dog ft Madee - Latifa
5. Squezer ft juma nature - Naja
6. Jay moe ft ngwea - kimya kimya
7. Dully sykes - Kupenda
8. Manex ft Dully sykes - nimexhezea bahati
9. Mwana FA ft lady Jay dee - alikufa kwa ngoma
10. 2Berry ft Shriko - wewe
11. Ferouz starehe.
12. Mwana fa bado nipo nipo
13. Daz baba nahitaji wife
14. Sogy dogy kibanda cha simu
15 Professor j zali la mental
16. Berry black natafuta mrembo
17. Matonya anita
18. Matonya vaileti
19. Ray c unanifuata kwa nn
20. Mb doggy latifa
21. Pro. Jay... Zali la mentali
22. Jebby ft. Afande.. swahibaa
23. TID.. Zeze
24. Afande sele.. darubini Kali
25. Daz nundaz... Nipe tano
26. Tmk wanaume.. twenzetu
27 Dully Skye's.. lady free.
28. East cost.. hii Leo
29. Gk ft. Pouline zongo.. sister sister
30. Ferooz.. kamanda.
31. Marlow Rita
32. Mandojo ft domo kaya ft lady jaydee wanok nok
33. Jebby kastor kabint kamoja
34. Daz nundaz ft afande sele elimu dunia
35. Afande sele mkuki moyoni
36. Banana zorro-Zoba
37. Pasha-hidaya
38. Wakali kwanza- Natamani
39. Grace matata -free soul
40. Bizzman- Nip
41. F.A &jaydee hawajui
42. GK -saut ya manka
43. Professor Jay-NIAMIN
44. Mandojo & Domokaya- DINGI
45. Mwana FA - Kama zam
46. Mikasi ngwear
47. Dhahabu dully
48. Bembeleza marlaw
49. Mtasema ladyjaydee
50. Z Anto jini
51. Simu ngwear ft fully
52. Mzee wa busara juma nature
53. Maisha ya bweni jay moe
54. TID-nyota
54. Nameless -nasinzia nikikuwaza
55. C sir madini-
56. Top C -lofa
57. Mwana FA ft Lina-yalaiti
58. Sajna- iveta
59. Sajna ft lina
60. Dully syles-hunifahamu
ONGEZA NA ZAKWAKO....
205
07:20
21.02.2025
(SEHEMU YA TATU)
Baaada ya wiki moja MR. BASIL akakutana na wazee wenzake na kuanza kufanya mipango yao, amabacho cha kwanza kabisa ilikuwa ni kupata sehemu ya jumuiya [public] amabayo watakuwa wanashauriana namna ya kufanya tukio zima na ndipo MR BASIL akachagua pub moja hivi itwayo THE CASTLE ambayo yeye aliipendekeza kwasababu moja kuu ya kutokuwepo kwa CCCTV CAMERA kwani alishajua hatari yake huko mbeleni ambayo tutakuja kuiona baadae.
Kwahiyo THE CASTLE ikawa ndo kijiwe chao cha mipango ya tukio zima, MR. BASIL akawa amekuja na mwanzo wa mpango mzima wa tukio tukianza na chaguo la kijiwe cha kusukia mipango na sehemu ya kuvamia ambayo ni HATTON GARDEN, katika kikao chao cha kwanza alitaka idadi ya watu iongezeke kufikia nane na ndipo ikaja kazi ya kutafuta watu wa kuongezewa ambao walihitajika watu wa tano zaidi.
Kazi ya kutafuta hao watu alipewa DANIEL JONES kwasababu ya uzoefu na historia yake ya huko nyuma akiwa kijana kwani alishawahi kuvamia benki na kuiba vitu pamoja na fedha taslimu vyenye thamani ya paundi miliioni moja na kweli akaanza kazi ya kutafuta ila alipewa sharti moja kuwa ahakikishe hao watu wawe wazee akimaanisha wasiwe chini ya umri wa miaka 50. Yeye MR. BASIL aliamini kwenye msemo wa ‘UTU UZIMA DAWA’. Mtu wa kwanza kabisa kupatikana alikuwa rafiki yake JONES aitwaye PERKINS ambaye huyu ndo waliiba wote vile vitu vyenye thamani ya paundi million moja wakati huo wa ujana wao na bwana PERKINS alipoambiwa mpango wa tukio aliona neema imekuja kwani naye alikuwa na hali mbaya kifedha na alikubali kwa moyo mmoja kuingia mzigoni.
Kupitia marafiki hawa wawili wakaweza kutafuta wengine wanne ili kukamilisha idadi ya watu watano wapya waliohitajika na ndipo wakapatikana wazee wengine wanne waliohusika katika tukio la zamani huko la kihistoria la kuteka treni ya kifalme iliyokuwa ikisafirisha fedha na kutokomea nazo [huu uwizi nao ulikuwa balaaa kwani akili kubwa ilitumika katika mpango mzima na ulinzi mkubwa wote wa kifalme ulisanda kwa hawa wezi kwani nafikiri ni uwizi namba mbili kwa ukubwa uingereza baada ya huu ninaouelezea leo, nisije nikamaliza uhondo bure nitaileta siku makala yake ya tukio zima]. INAENDELEA..!!
Baaada ya wiki moja MR. BASIL akakutana na wazee wenzake na kuanza kufanya mipango yao, amabacho cha kwanza kabisa ilikuwa ni kupata sehemu ya jumuiya [public] amabayo watakuwa wanashauriana namna ya kufanya tukio zima na ndipo MR BASIL akachagua pub moja hivi itwayo THE CASTLE ambayo yeye aliipendekeza kwasababu moja kuu ya kutokuwepo kwa CCCTV CAMERA kwani alishajua hatari yake huko mbeleni ambayo tutakuja kuiona baadae.
Kwahiyo THE CASTLE ikawa ndo kijiwe chao cha mipango ya tukio zima, MR. BASIL akawa amekuja na mwanzo wa mpango mzima wa tukio tukianza na chaguo la kijiwe cha kusukia mipango na sehemu ya kuvamia ambayo ni HATTON GARDEN, katika kikao chao cha kwanza alitaka idadi ya watu iongezeke kufikia nane na ndipo ikaja kazi ya kutafuta watu wa kuongezewa ambao walihitajika watu wa tano zaidi.
Kazi ya kutafuta hao watu alipewa DANIEL JONES kwasababu ya uzoefu na historia yake ya huko nyuma akiwa kijana kwani alishawahi kuvamia benki na kuiba vitu pamoja na fedha taslimu vyenye thamani ya paundi miliioni moja na kweli akaanza kazi ya kutafuta ila alipewa sharti moja kuwa ahakikishe hao watu wawe wazee akimaanisha wasiwe chini ya umri wa miaka 50. Yeye MR. BASIL aliamini kwenye msemo wa ‘UTU UZIMA DAWA’. Mtu wa kwanza kabisa kupatikana alikuwa rafiki yake JONES aitwaye PERKINS ambaye huyu ndo waliiba wote vile vitu vyenye thamani ya paundi million moja wakati huo wa ujana wao na bwana PERKINS alipoambiwa mpango wa tukio aliona neema imekuja kwani naye alikuwa na hali mbaya kifedha na alikubali kwa moyo mmoja kuingia mzigoni.
Kupitia marafiki hawa wawili wakaweza kutafuta wengine wanne ili kukamilisha idadi ya watu watano wapya waliohitajika na ndipo wakapatikana wazee wengine wanne waliohusika katika tukio la zamani huko la kihistoria la kuteka treni ya kifalme iliyokuwa ikisafirisha fedha na kutokomea nazo [huu uwizi nao ulikuwa balaaa kwani akili kubwa ilitumika katika mpango mzima na ulinzi mkubwa wote wa kifalme ulisanda kwa hawa wezi kwani nafikiri ni uwizi namba mbili kwa ukubwa uingereza baada ya huu ninaouelezea leo, nisije nikamaliza uhondo bure nitaileta siku makala yake ya tukio zima]. INAENDELEA..!!
526
05:22
16.02.2025
(SEHEMU YA PILI)
Katika hao wezi nane kulikuwa na viongozi wakuu watatu waliokuwa wameanza na hili wazo la kuvamia HATTON GARDEN ambao ni BRIAN READER, DANIEL JONES na MR BASIL. Mnamo mwaka 2012 MR. BASIL ambaye huyu ndo mastermind wa tukio zima alikutana na wazee wenzake kama ilivyo kawaida kwa marafiki kukutana kupata unywaji na kubadilishana mawazo ya hapa na pale katika maongezi yao ya siku hiyo yalikuwa na utofauti kidogo na yale ya siku zote ni baada ya MR. BASIL kuwagusia wenzake wawili ambao ni BRIAN READER na DANIEL JONES kuwa amechoka na mambo ya kusubiri pensheni kila mwezi na bado alikuwa akilalamika kuwa haimtoshelezi mahitaji yake [huyu mzee alikuwa ni mtu wa totoz sana]. Baada ya malalamiko yale wenzake wakawa wanamcheka kwasababu wanamjua ugonjwa wake uko wapi ambao ni kupenda totoz sana ila MR BASIL hakuishia hapo aliendelea kuwaambia wenzake kuwa kwanini tusijiongeze kufanya chochote bila kujali umri wetu, ndipo bwana DANIEL JONES akamuuliza kwani wewe unatakaje...??? ndipo MR. BASIL akafunguka kuwa kwanini tusifanye uwizi wa akili ambao hatutatumia silaha wala kumjeruhi mtu.
Baada ya maelezo yale ya MR. BASIL akawa tayari ameshachukua attention ya wazee wenzake kwani nao wakaanza kumtolea macho wakisubiri kusikia kiendeleacho kuhusu maada yake aliyoileta kwani na wao kwa namna Fulani vyuma vilikuwa vimekaza na kuona kama fursa imejileta yenyewe.
MR.BASIL akaendele kuongea na kuwaambia kuwa mimi nina mpango kabambe na nimeamua kuwahusisha nyie marafiki zangu ili tufaidi wote kitakachopatikana katika mpango wetu wa tukio zima, ndipo akawaambia kuwa kesho yake wafanye hima waonane tena na atakuja na habari njema,
Kesho yake walikutana kama kawaida na akaanza kuwaelezea kuwa kwanini wasivamie bohari salama ya HATTON GARDEN....??? wenzake wakamwambia mbona umechagua sehemu yenye ulinzi mkali hivyo na ipo kati kati ya mji wa LONDON kwamba yeye haoni hatari ya kukamatwa , ndipo MR. BASIL akawaambia najua kabisa kuna ulinzi wa hatari ila nina maaana yangu kuchagua sehemu hiyo msiwe na wasiwasi nitawaelezea tukiwa kwenye mipango ya tukio.
Baaada ya wiki moja MR. BASIL akakutana na wazee wenzake na kuanza kufanya mipango yao. INAENDELEA...!!!
CHANNEL NAME @CHAKUSHANGAZA
CHANNEL LINK T.ME/CHAKUSHANGAZA
SAMBAZA MARA NYINGI UWEZAVYO
Katika hao wezi nane kulikuwa na viongozi wakuu watatu waliokuwa wameanza na hili wazo la kuvamia HATTON GARDEN ambao ni BRIAN READER, DANIEL JONES na MR BASIL. Mnamo mwaka 2012 MR. BASIL ambaye huyu ndo mastermind wa tukio zima alikutana na wazee wenzake kama ilivyo kawaida kwa marafiki kukutana kupata unywaji na kubadilishana mawazo ya hapa na pale katika maongezi yao ya siku hiyo yalikuwa na utofauti kidogo na yale ya siku zote ni baada ya MR. BASIL kuwagusia wenzake wawili ambao ni BRIAN READER na DANIEL JONES kuwa amechoka na mambo ya kusubiri pensheni kila mwezi na bado alikuwa akilalamika kuwa haimtoshelezi mahitaji yake [huyu mzee alikuwa ni mtu wa totoz sana]. Baada ya malalamiko yale wenzake wakawa wanamcheka kwasababu wanamjua ugonjwa wake uko wapi ambao ni kupenda totoz sana ila MR BASIL hakuishia hapo aliendelea kuwaambia wenzake kuwa kwanini tusijiongeze kufanya chochote bila kujali umri wetu, ndipo bwana DANIEL JONES akamuuliza kwani wewe unatakaje...??? ndipo MR. BASIL akafunguka kuwa kwanini tusifanye uwizi wa akili ambao hatutatumia silaha wala kumjeruhi mtu.
Baada ya maelezo yale ya MR. BASIL akawa tayari ameshachukua attention ya wazee wenzake kwani nao wakaanza kumtolea macho wakisubiri kusikia kiendeleacho kuhusu maada yake aliyoileta kwani na wao kwa namna Fulani vyuma vilikuwa vimekaza na kuona kama fursa imejileta yenyewe.
MR.BASIL akaendele kuongea na kuwaambia kuwa mimi nina mpango kabambe na nimeamua kuwahusisha nyie marafiki zangu ili tufaidi wote kitakachopatikana katika mpango wetu wa tukio zima, ndipo akawaambia kuwa kesho yake wafanye hima waonane tena na atakuja na habari njema,
Kesho yake walikutana kama kawaida na akaanza kuwaelezea kuwa kwanini wasivamie bohari salama ya HATTON GARDEN....??? wenzake wakamwambia mbona umechagua sehemu yenye ulinzi mkali hivyo na ipo kati kati ya mji wa LONDON kwamba yeye haoni hatari ya kukamatwa , ndipo MR. BASIL akawaambia najua kabisa kuna ulinzi wa hatari ila nina maaana yangu kuchagua sehemu hiyo msiwe na wasiwasi nitawaelezea tukiwa kwenye mipango ya tukio.
Baaada ya wiki moja MR. BASIL akakutana na wazee wenzake na kuanza kufanya mipango yao. INAENDELEA...!!!
CHANNEL NAME @CHAKUSHANGAZA
CHANNEL LINK T.ME/CHAKUSHANGAZA
SAMBAZA MARA NYINGI UWEZAVYO
658
02:36
13.02.2025
(SEHEMU YA KWANZA)
UVUNJAJI NA UWIZI NDANI YA BOHARI SALAMA {SAFE DEPOSIT} YA HATTON GARDEN
Tumewahi kusikia, kuona au kusoma kuhusu uvunjaji na uwizi katika mabenki, mabohari salama au magari ya kubebea fedha katika sehemu mbalimbali duniani lakini wafanyaji matukio mara zote tumeshuhudia wakiwa ni vijana wanaotafuta pa kutokea katika maisha ila kwa makala yetu ya leo tunaenda kuona wazee ambao wengi wetu huwa tunawadharau na kuwaona wameshachoka kimwili na kiakili ila kwa wazee hawa al maarufu kwa jina la ‘THE GRANDPA GANG’ nafikiri wengi wetu watatubadilisha mtazamo wetu wa siku zote kwa wazee, kwani walichofanya ni zaidi ya kijana angefanya.
Mimi ningependa kuwaita wazee katika ubora wao kwa namna walivyochekecha akili zao na kuweza kustaajabisha dunia na kuweza kuweka rekodi ndani ya nchi ya uingereza katika jiji kubwa lenye ulinzi mkali la LONDON kwa kuweza kuiba katika bohari salama yenye ulinzi mkali vitu vyenye thamani kubwa katika historia ya nchi ya uingereza tangu dunia ianzishwe bila kutumia silaha yoyote zaidi ya akili kubwa na ueledi uliotukuka katika Nyanja za uwizi. Na hapa ndo msemo wa ‘uzee mwisho chalinze’ ndipo unapotimia kupitia wazee wetu hawa tutakaoenda kuwaona. Ni uwizi wa aina yake uliostaajabisha watu na sio kwasababu ya mali nyingi zilizoibiwa ila ni watu walioiba (wazee), njia iliyotumika kuiba na muda wa uwizi ulivyopangwa kwani ni moja ya uwizi uliotumia muda mrefu katika upangaji wake ambao ni miaka mitatu ambayo kiukweli inataka subira kwa wale wenye harakaharaka ila kwa hawa wazee walisimama na msemo "SUBIRA YAVUTA HERI". TUKIO ZIMA
Katika mpango wa tukio hili la uwizi lilijumuisha wazee wezi nane ambao walijikusanya na kuunda kundi lililoitwa ‘THE GRAND PA GANG’ likiwa na dhumuni kuu la kufanya uhalifu utakaocha historia nchini uingereza na kuongelewa duniani kote kutokana na ufundi utakaotumika kwenye uwizi wao.
Hawa wazee wanajulikana kwa majina ya KENNY COLLINS (75), DANIEL JONES (61), TERRY PERKINS (67), CARL WOOD (59), WILLIAM LINCOLN (60), HUGH DOYLE (50). BRIAN READER (76) na MR.BASIL [huyu nitakuja kumuelezea kwanini hajulikani jina lake halisi wala umri wake kama wenzake]. INAENDELEA...!!!
UVUNJAJI NA UWIZI NDANI YA BOHARI SALAMA {SAFE DEPOSIT} YA HATTON GARDEN
Tumewahi kusikia, kuona au kusoma kuhusu uvunjaji na uwizi katika mabenki, mabohari salama au magari ya kubebea fedha katika sehemu mbalimbali duniani lakini wafanyaji matukio mara zote tumeshuhudia wakiwa ni vijana wanaotafuta pa kutokea katika maisha ila kwa makala yetu ya leo tunaenda kuona wazee ambao wengi wetu huwa tunawadharau na kuwaona wameshachoka kimwili na kiakili ila kwa wazee hawa al maarufu kwa jina la ‘THE GRANDPA GANG’ nafikiri wengi wetu watatubadilisha mtazamo wetu wa siku zote kwa wazee, kwani walichofanya ni zaidi ya kijana angefanya.
Mimi ningependa kuwaita wazee katika ubora wao kwa namna walivyochekecha akili zao na kuweza kustaajabisha dunia na kuweza kuweka rekodi ndani ya nchi ya uingereza katika jiji kubwa lenye ulinzi mkali la LONDON kwa kuweza kuiba katika bohari salama yenye ulinzi mkali vitu vyenye thamani kubwa katika historia ya nchi ya uingereza tangu dunia ianzishwe bila kutumia silaha yoyote zaidi ya akili kubwa na ueledi uliotukuka katika Nyanja za uwizi. Na hapa ndo msemo wa ‘uzee mwisho chalinze’ ndipo unapotimia kupitia wazee wetu hawa tutakaoenda kuwaona. Ni uwizi wa aina yake uliostaajabisha watu na sio kwasababu ya mali nyingi zilizoibiwa ila ni watu walioiba (wazee), njia iliyotumika kuiba na muda wa uwizi ulivyopangwa kwani ni moja ya uwizi uliotumia muda mrefu katika upangaji wake ambao ni miaka mitatu ambayo kiukweli inataka subira kwa wale wenye harakaharaka ila kwa hawa wazee walisimama na msemo "SUBIRA YAVUTA HERI". TUKIO ZIMA
Katika mpango wa tukio hili la uwizi lilijumuisha wazee wezi nane ambao walijikusanya na kuunda kundi lililoitwa ‘THE GRAND PA GANG’ likiwa na dhumuni kuu la kufanya uhalifu utakaocha historia nchini uingereza na kuongelewa duniani kote kutokana na ufundi utakaotumika kwenye uwizi wao.
Hawa wazee wanajulikana kwa majina ya KENNY COLLINS (75), DANIEL JONES (61), TERRY PERKINS (67), CARL WOOD (59), WILLIAM LINCOLN (60), HUGH DOYLE (50). BRIAN READER (76) na MR.BASIL [huyu nitakuja kumuelezea kwanini hajulikani jina lake halisi wala umri wake kama wenzake]. INAENDELEA...!!!
598
11:07
11.02.2025
imageImage preview is unavailable
#CHAKUSHANGAZA
ASILI YA JINA CHERAHANI YA KUSHONA NGUO.
Mwaka 1890 Charan Singh alikuwa mhindi wa kwanza kufika Kisumu nchini Kenya na kuanzia kutumia mashine hiyo ya kushona nguo, na Kwa kuwa jina lake aliitwa Charan, watu wakatumia jina lake hilo kuiita mashine hiyo kuwa ni CHERAHANI.
Ninaimani umeelimika.
ASILI YA JINA CHERAHANI YA KUSHONA NGUO.
Mwaka 1890 Charan Singh alikuwa mhindi wa kwanza kufika Kisumu nchini Kenya na kuanzia kutumia mashine hiyo ya kushona nguo, na Kwa kuwa jina lake aliitwa Charan, watu wakatumia jina lake hilo kuiita mashine hiyo kuwa ni CHERAHANI.
Ninaimani umeelimika.
992
19:04
03.02.2025
Kijana huyo wa Taxi ndiye aliyepata taarifa hizo za Mapinduzi ya kijeshi Kabla hata ya Serikali kujua kinachoendelea la isivyo Mapinduzi yangefanyika na kuondosha amani tuliyonayo leo. Baada ya kupata habari hizo toka kwa dereva wa Taxi, Mwandishi wa gazeti la Serikali la Daily News, alizipeleka kwa Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Balozi Mahiga, akaamua kufanya uchunguzi ili kubaini kama kweli kulikuwa na mpango wa kutaka kupindua Serikali.
Kabla ya kushikwa wote na kuswekwa korokoroni kuna ijumaa moja tar 7 januari mwaka 1983 saa 9:30 mchana, Siku hii walipanga kuonana kwenye nyumba ile ile ya George Banyikwa karibu na Drive-Inn, siku hii walitakiwa wapewe taarifa kamili kwasababu Mapinduzi yalipaswa yafanyike Usiku uliofuata ,wakati huo walikuwa wameahirisha mara mbili baada ya Kiongozi wao uncle tom kuomba hivyo, ambaye ndiye mratibu, Uncle Tom akidai kwamba alikuwa anategemea meli zije na bidhaa muhimu kama dawa za meno, sabuni ,sukari nk.ili Mapinduzi yakifanyika awamwagie bidhaa hizo wananchi wote.
Kwanza walipanga Mapinduzi yafanyike Siku ya jumatatu, wakaahirisha mpaka jumatano, uncle Tom akadai tena hayuko tayari ikapigwa tena tarehe ya Juma lingine ,wale wanajeshi wakamuonya uncle tom na kumtahadharisha kwamba watu wengi wanahusika katika tukio lile hivyo ni hatari kwani taarifa zitavuja. Wanajeshi wale walikuwa hawafahamu kwamba uncle Tom ili kufanikisha tukio lile alikuwa pia anakwenda kwa Sangoma ( mganga wa kienyeji) kuweka mambo sawa kwa kupitia vibuyu na ndumba, akiwa na wenzake Komandoo Mohamed Tamimu na Hatty McGhee, walimtembelea sangoma huyo kujua siku ya bahati ya kumaliza kazi hiyo bila vikwazo vyovyote.
Kabla ya kushikwa wote na kuswekwa korokoroni kuna ijumaa moja tar 7 januari mwaka 1983 saa 9:30 mchana, Siku hii walipanga kuonana kwenye nyumba ile ile ya George Banyikwa karibu na Drive-Inn, siku hii walitakiwa wapewe taarifa kamili kwasababu Mapinduzi yalipaswa yafanyike Usiku uliofuata ,wakati huo walikuwa wameahirisha mara mbili baada ya Kiongozi wao uncle tom kuomba hivyo, ambaye ndiye mratibu, Uncle Tom akidai kwamba alikuwa anategemea meli zije na bidhaa muhimu kama dawa za meno, sabuni ,sukari nk.ili Mapinduzi yakifanyika awamwagie bidhaa hizo wananchi wote.
Kwanza walipanga Mapinduzi yafanyike Siku ya jumatatu, wakaahirisha mpaka jumatano, uncle Tom akadai tena hayuko tayari ikapigwa tena tarehe ya Juma lingine ,wale wanajeshi wakamuonya uncle tom na kumtahadharisha kwamba watu wengi wanahusika katika tukio lile hivyo ni hatari kwani taarifa zitavuja. Wanajeshi wale walikuwa hawafahamu kwamba uncle Tom ili kufanikisha tukio lile alikuwa pia anakwenda kwa Sangoma ( mganga wa kienyeji) kuweka mambo sawa kwa kupitia vibuyu na ndumba, akiwa na wenzake Komandoo Mohamed Tamimu na Hatty McGhee, walimtembelea sangoma huyo kujua siku ya bahati ya kumaliza kazi hiyo bila vikwazo vyovyote.
1300
04:47
29.01.2025
#CHAKUSHANGAZA
SIKU UNCLE TOM ALIPOTAKA KUIPINDUA SERIKALI YA MWALIMU NYERERE, HAKIKA CHA MOTO ALIKIPATA.
Uvumi huo mitaani ulikuja kuwekwa hadharani baada ya magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Daily News, kuandika kwa ufupi sana hivyo Wengi wakafahamu juu ya tukio hilo. Ikasemekana kiongozi wa jaribio hilo ni Pius Mutakubwa Lugangila, ambaye alitokea Uingereza na alijulikana kama Father Tom au Uncle Tom, Uncle Tom alitamani sana kuwa Rais hivyo akapanga mpango huo wa kumwondoa Ikulu Mwl Nyerere,kipindi hicho Uncle Tom alikuwa na pesa za kutosha, nyingi, na alikuwa akiishi London, Uingereza, wakati huo Uncle Tom alikuwa na undugu na Christopher Pastor Ngaiza ,aliyekuwa mtumishi wa Serikali ofisi ya Rais Ikulu.
Inasemekana Uncle Tom alimwita Ngaiza ambaye ni Mjomba wake, wakati huo Ngaiza alikuwa London Uingereza, akakutana na mpwa wake huyo ambaye ni Uncle Tom, " Mjomba ,hivi mimi nikitaka kuwa Rais wa Tanzania nifanyeje?" Aliuliza uncle Tom. Ngaiza alimjibu mpwae kuwa kuna namna mbili tu, akamwambia kuna kupitia njia ya Demokrasia, Ingawa hiyo ni njia ngumu au kupitia Mapinduzi ya kijeshi ,hii ya pili ilionekana ni Jibu la utani tu, lakini uncle Tom akalichukua na kuanza kulifanyia kazi.
Toka hapo Uncle Tom akafunga safari kutoka London Uingereza na kuelekea Dar es salaam, alipofika akakutana na Maximilian Rugaimukamu, ambaye alikuwa ni Raia wa kawaida na ni miongoni mwa raia waliokuwemo kwenye kesi ya uhaini baada ya jaribio la Mapinduzi kufeli. Kipindi hicho hapo Dar es salaam Rugaimukamu alikuwa ndio mmoja wa watoto wa mjini ,na alikuwa akishinda sana maeneo ya Market Street, hapo kilikuwa ndio kijiwe chake. Rugaimukamu alikuwa ndio kiunganishi cha mawasiliano kati yake uncle tom na wadau Wengine waliotakiwa kutekeleza tukio hilo wakiwemo wanajeshi Vijana.
Miongoni mwa watu wa mwanzo ambao uncle tom aliwapata ni Kapteni Badru Rwechungura Kajaja, huyu alifanya kazi ya kuwatafuta wanajeshi Wengine baada ya kuahidiwa pesa ndefu na uncle tom, wa kumaliza kazi iliyokuwa usoni mwao,na Wengine walikuwa na vyeo vya kuanzia Kapteni kushuka chini ,wakaingia wengi kama Luteni Eugene Maganga, Kapteni Vitalis Mapunda, Kapteni Mbogoro, Kapteni mkude ,kapteni Albert Barati,( Kamisheni ya Zanzibar) Kapteni Rodrick Rosheni Robert, Kapteni Zakaria Hanspope, Kapteni Methusela Komandoo, Komandoo Mohammed Mussa,(Martin Tamim) Kapteni Hatib Ghandi au Hatty McGhee nk.
Mikutano yote ilifanyika Kinondoni kwa Bwana mmoja aliyeitwa ,George Banyikwa, baada ya kujitolea nyumba yake kama sehemu ya kukutanikia ,kupanga mipango ya Mapinduzi ya kumng'oa Rais Julius Nyerere madarakani. Wakati wote wa vikao pale Kinondoni kapteni Hatibu Gandhi ( hakuwa mwanajeshi bali rubani wa ndege ndogo) alikuwa ndio amerudi toka uarabuni kwenye ukandarasi wa urubani na aliwadanganya wenzake kwamba yeye ni mwanajeshi wa majini wa Marekani, pia aliwatajia jina kwamba yeye anaitwa Hatty McGhee na walimjua hivyo siku zote katika vikao vyao ,alikuja kujulikana jina lake la Hatibu Gandhi wakati wa kesi yao ya uhaini kuanza Mahakamani, Hatty McGee alikuwa na Maneno mengi sana na mjanja mjanja.
Wakati mwingi Hatty McGhee alikuwa akiitumia Taxi ya kijana mmoja ambaye alikuwa anamleta na kumsubiria pale kwa masaa mengi na kijana yule alikubali kumsubiri kwasababu alikuwa analipwa pesa ya kutosha. Katika vikao hivyo palikuwa na mazungumzo yaliyoambatana na Bia na vinywaji vikali vya kutosha, Lugangila alikuwa na pesa nyingi na akawa anautamani Urais amwondoshe Ikulu Mwl Nyerere, yule dereva Taxi wa Hatty McGhee alikuwa akisikia mazungumzo yao wanapokuwa vikaoni ,akaenda kwa rafiki yake mmoja mwandishi wa Gazeti la Serikali la Daily News.
SIKU UNCLE TOM ALIPOTAKA KUIPINDUA SERIKALI YA MWALIMU NYERERE, HAKIKA CHA MOTO ALIKIPATA.
Uvumi huo mitaani ulikuja kuwekwa hadharani baada ya magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Daily News, kuandika kwa ufupi sana hivyo Wengi wakafahamu juu ya tukio hilo. Ikasemekana kiongozi wa jaribio hilo ni Pius Mutakubwa Lugangila, ambaye alitokea Uingereza na alijulikana kama Father Tom au Uncle Tom, Uncle Tom alitamani sana kuwa Rais hivyo akapanga mpango huo wa kumwondoa Ikulu Mwl Nyerere,kipindi hicho Uncle Tom alikuwa na pesa za kutosha, nyingi, na alikuwa akiishi London, Uingereza, wakati huo Uncle Tom alikuwa na undugu na Christopher Pastor Ngaiza ,aliyekuwa mtumishi wa Serikali ofisi ya Rais Ikulu.
Inasemekana Uncle Tom alimwita Ngaiza ambaye ni Mjomba wake, wakati huo Ngaiza alikuwa London Uingereza, akakutana na mpwa wake huyo ambaye ni Uncle Tom, " Mjomba ,hivi mimi nikitaka kuwa Rais wa Tanzania nifanyeje?" Aliuliza uncle Tom. Ngaiza alimjibu mpwae kuwa kuna namna mbili tu, akamwambia kuna kupitia njia ya Demokrasia, Ingawa hiyo ni njia ngumu au kupitia Mapinduzi ya kijeshi ,hii ya pili ilionekana ni Jibu la utani tu, lakini uncle Tom akalichukua na kuanza kulifanyia kazi.
Toka hapo Uncle Tom akafunga safari kutoka London Uingereza na kuelekea Dar es salaam, alipofika akakutana na Maximilian Rugaimukamu, ambaye alikuwa ni Raia wa kawaida na ni miongoni mwa raia waliokuwemo kwenye kesi ya uhaini baada ya jaribio la Mapinduzi kufeli. Kipindi hicho hapo Dar es salaam Rugaimukamu alikuwa ndio mmoja wa watoto wa mjini ,na alikuwa akishinda sana maeneo ya Market Street, hapo kilikuwa ndio kijiwe chake. Rugaimukamu alikuwa ndio kiunganishi cha mawasiliano kati yake uncle tom na wadau Wengine waliotakiwa kutekeleza tukio hilo wakiwemo wanajeshi Vijana.
Miongoni mwa watu wa mwanzo ambao uncle tom aliwapata ni Kapteni Badru Rwechungura Kajaja, huyu alifanya kazi ya kuwatafuta wanajeshi Wengine baada ya kuahidiwa pesa ndefu na uncle tom, wa kumaliza kazi iliyokuwa usoni mwao,na Wengine walikuwa na vyeo vya kuanzia Kapteni kushuka chini ,wakaingia wengi kama Luteni Eugene Maganga, Kapteni Vitalis Mapunda, Kapteni Mbogoro, Kapteni mkude ,kapteni Albert Barati,( Kamisheni ya Zanzibar) Kapteni Rodrick Rosheni Robert, Kapteni Zakaria Hanspope, Kapteni Methusela Komandoo, Komandoo Mohammed Mussa,(Martin Tamim) Kapteni Hatib Ghandi au Hatty McGhee nk.
Mikutano yote ilifanyika Kinondoni kwa Bwana mmoja aliyeitwa ,George Banyikwa, baada ya kujitolea nyumba yake kama sehemu ya kukutanikia ,kupanga mipango ya Mapinduzi ya kumng'oa Rais Julius Nyerere madarakani. Wakati wote wa vikao pale Kinondoni kapteni Hatibu Gandhi ( hakuwa mwanajeshi bali rubani wa ndege ndogo) alikuwa ndio amerudi toka uarabuni kwenye ukandarasi wa urubani na aliwadanganya wenzake kwamba yeye ni mwanajeshi wa majini wa Marekani, pia aliwatajia jina kwamba yeye anaitwa Hatty McGhee na walimjua hivyo siku zote katika vikao vyao ,alikuja kujulikana jina lake la Hatibu Gandhi wakati wa kesi yao ya uhaini kuanza Mahakamani, Hatty McGee alikuwa na Maneno mengi sana na mjanja mjanja.
Wakati mwingi Hatty McGhee alikuwa akiitumia Taxi ya kijana mmoja ambaye alikuwa anamleta na kumsubiria pale kwa masaa mengi na kijana yule alikubali kumsubiri kwasababu alikuwa analipwa pesa ya kutosha. Katika vikao hivyo palikuwa na mazungumzo yaliyoambatana na Bia na vinywaji vikali vya kutosha, Lugangila alikuwa na pesa nyingi na akawa anautamani Urais amwondoshe Ikulu Mwl Nyerere, yule dereva Taxi wa Hatty McGhee alikuwa akisikia mazungumzo yao wanapokuwa vikaoni ,akaenda kwa rafiki yake mmoja mwandishi wa Gazeti la Serikali la Daily News.
999
04:47
29.01.2025
NI DOSSA AZIZ ALIYEMWOMBA MWALIMU NYERERE KUACHA TENA KUVAA KAPTULA MBELE YA WAZEE.
Aziz Ali Dossa Kidonyo, mmoja wa Waafrika matajiri wakati wa ukoloni nchini Tanganyika. Aziz Ali alijitengenezea umaarufu Kutokana na kwamba aliweza kumiliki majumba mengi na magari ya biashara ( yaani malori ya mchanga) pamoja na ya kutembelea na vitu vingine kadhaa, kutokana na kazi yake ya kuwa mtaalamu wa kujenga ( Building Contractor).
Hili jina la Aziz Ali alipewa na watu wa Dar es salaam kwa hisani na wema wake ,alikuwa ni tajiri na Contractor wa kujenga nyumba na mwafrika wa kwanza kununua magari na kujenga nyumba ya vigae na vioo mtoni. Aziz Ali alikuwa ni mdigo aliyetokea sehemu za Tanga na kuja kuweka kambi mjini Mzizima ( sasa Dar es salaam) mwanzo wa vita kuu ya kwanza ya dunia (1914--1918) akiwa askari katika jeshi la wajerumani na baada ya vita aliajiriwa na Goa mmoja.
Mwajiri wake huyo alipoondoka nchini alimwachia Aziz Ali gari mbili na hizi ndizo alizoanzia kufanyia biashara hapo mwanzo na kufungua kampuni ya ujenzi na kuajiri Mafundi kadhaa. Mwezi wa Ramadhani milango ya nyumba yake ilikuwa wazi kuwahudumia kwa futari mamia ya watu, Temeke imehifadhi jina lake kwa eneo moja la "Mtoni kwa Aziz Ali).
Kwenye Nyumba zake alikuwa akitoa fursa kwa watu kumpa pesa kidogo kidogo kama malipo ya nyumba alizokuwa anawajengea na alikuwa mtu akishindwa kulipa alimpa muda hadi atakapoweza ,Nyumbani kwake mwezi mtukufu wa Ramadhani alikuwa akitandika majamvi nje na kufuturisha hadi watu 100 asiowajua wakija wanafuturu na kuondoka.
Nyumba hii hadi leo ipo na sehemu hiyo kando kando ya barabara ya Kilwa na ndipo hapo pakaja kuitwa Mtoni kwa Aziz Ali. 🙏
Aziz Ali Dossa Kidonyo, mmoja wa Waafrika matajiri wakati wa ukoloni nchini Tanganyika. Aziz Ali alijitengenezea umaarufu Kutokana na kwamba aliweza kumiliki majumba mengi na magari ya biashara ( yaani malori ya mchanga) pamoja na ya kutembelea na vitu vingine kadhaa, kutokana na kazi yake ya kuwa mtaalamu wa kujenga ( Building Contractor).
Hili jina la Aziz Ali alipewa na watu wa Dar es salaam kwa hisani na wema wake ,alikuwa ni tajiri na Contractor wa kujenga nyumba na mwafrika wa kwanza kununua magari na kujenga nyumba ya vigae na vioo mtoni. Aziz Ali alikuwa ni mdigo aliyetokea sehemu za Tanga na kuja kuweka kambi mjini Mzizima ( sasa Dar es salaam) mwanzo wa vita kuu ya kwanza ya dunia (1914--1918) akiwa askari katika jeshi la wajerumani na baada ya vita aliajiriwa na Goa mmoja.
Mwajiri wake huyo alipoondoka nchini alimwachia Aziz Ali gari mbili na hizi ndizo alizoanzia kufanyia biashara hapo mwanzo na kufungua kampuni ya ujenzi na kuajiri Mafundi kadhaa. Mwezi wa Ramadhani milango ya nyumba yake ilikuwa wazi kuwahudumia kwa futari mamia ya watu, Temeke imehifadhi jina lake kwa eneo moja la "Mtoni kwa Aziz Ali).
Kwenye Nyumba zake alikuwa akitoa fursa kwa watu kumpa pesa kidogo kidogo kama malipo ya nyumba alizokuwa anawajengea na alikuwa mtu akishindwa kulipa alimpa muda hadi atakapoweza ,Nyumbani kwake mwezi mtukufu wa Ramadhani alikuwa akitandika majamvi nje na kufuturisha hadi watu 100 asiowajua wakija wanafuturu na kuondoka.
Nyumba hii hadi leo ipo na sehemu hiyo kando kando ya barabara ya Kilwa na ndipo hapo pakaja kuitwa Mtoni kwa Aziz Ali. 🙏
740
04:45
29.01.2025
close
Reviews channel
keyboard_arrow_down
- Added: Newest first
- Added: Oldest first
- Rating: High to low
- Rating: Low to high
5.0
3 reviews over 6 months
Excellent (100%) In the last 6 months
c
**ffeenold@******.io
On the service since June 2022
13.01.202500:31
5
Everything is fine. Thank you!
Show more
Channel statistics
Rating
22.8
Rating reviews
5.0
Сhannel Rating
9
Followers:
4.7K
APV
lock_outline
ER
3.8%
Posts per day:
0.0
CPM
lock_outlineSelected
0
channels for:$0.00
Followers:
0
Views:
lock_outline
Add to CartBuy for:$0.00
Комментарий