
Monetize Telegram Mini App with Telega.io
Connect your app, set CPM, and watch your revenue grow!
Start monetizing
22.6

Advertising on the Telegram channel «HADITHI TAMU ZA MAPENZI❤️»
5.0
Books, Audiobooks & Podcasts
Language:
English
267
0
Share
Add to favorite
Buy advertising in this channel
Placement Format:
keyboard_arrow_down
- 1/24
- 2/48
- 3/72
- Native
- 7 days
- Forwards
1 hour in the top / 24 hours in the feed
Quantity
%keyboard_arrow_down
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 8
- 10
- 15
Advertising publication cost
local_activity
$7.20$7.20local_mall
0.0%
Remaining at this price:0
Recent Channel Posts
"Bibiiiiiiiiiiii...." Aliangua kilio baada ya kufika getini kwao
Bibi yake anatoka ndani akiwa kavaa nguo za kulalia, alimuamuru Mlinzi afungue geti haraka
Kitendo cha kumuona tu Mjukuu wake aligundua kapitiwa na mashine.
Hakutaka kuzungumza naye akiwa na harufu ya janaba.
Alimpeleka bafuni, kamlea kama yai hivyo hakuona shida kumuogesha
"Nilikuambia ukaishi Ulaya kwa Mjomba wako lakini ulinigomea, Wanaume wa Kiafrika ni makatili sana....hawajui kumtia Mwanamke kwa upole...ukiwakabidhi uchi hujisahau kabisa hivyo huwa wana sasambua kama fisi akiwa buchani...." Bibi aliongea
"Hajanibaka, tumefanya makubaliano lakini sielewi kwanini moyo wangu upo katika majuto makubwa" Zamda aliongea
"Naamini si mpenzi wako, ni Mhuni mmoja tu uliyekutana naye kwa usiku mmoja ni lazima ujisikie hatia lakini usiumie sana kwa sababu kila kiumbe anayeitwa Mwanamke amepita huko"
"Sitarajii kukutana naye tena...nina uhakika alikuja kwangu kwa ajili ya sex tu..... imagine tumekutana siku mbili tu...sitaki kuamini kama Mimi ni mjinga kiasi hiki. Nimekuwa mgumu sana, sielewi kwanini nimekuwa mrahisi" Zamda aliongea huku akiongeza kilio.
Alipoingia chumbani kwake aliboreka baada ya kukuta Jabir kampigia zaidi ya mara 20. Anazima simu kisha akalala, saa kumi na moja juu ya alama alianza kufanya mazoezi ya kukimbia akiwa na mbwa wake. Alihitaji kuweka sawa mwili wake.....siku ya leo alikimbia masafa marefu sana.
Alijikuta amekaribia katika mipaka ya kambi ya Wanajeshi wa Serengeti.
Bendera zilizokuwa zinaonekana zilimzuia kuendelea, akiwa anapumua kwa kasi alishtukia akipatiwa maji.
Aligeuka haraka amuone mtu anayetoa huu msaada
IKUWA WHATSAPP💥
👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
1859
17:50
16.07.2025
*MJEDA TARATIBU BASI*
*1-5* IPO WHATSAPP https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
*SEHEMU YA KWANZA*
Naona tu mnaitana, kama ni majambazi poleni, cha thamani hapa ni roho yangu tu, simu niliyonayo nikipigiwa nikapokea tu imeisha charge, siwezi uza ata Kwa buku, mfukoni sina hela, Wala hata hio harufu ya Hela tu sina, nguo nazo nimeazima tu, ata hii roho yangu yenyewe inadhambi sijatubu, ata nikibatizwa ayo maji yatachemka moto Kwa hizi dhambi....
Niliongea Kwa kujihami, jamaa walikuwa wawili wamevaa vipensi uku wako vifua wazi,walinitizama mmoja akajibu, binti unajua hapa uko wapi? Na Kwa nini umeingia eneo lisilokuhusu umetumwa?...
Heee we jambazi vipi, Yaani nitumwe Kwa majambazi kwamba �� roho yangu siipendi au? Yaani roho yangu hata kama inadhambi siwezi iweka rehani, na MSISAHAU hii ni nchi huru, maeneo mazuri yote mnayatumia kuteka watu, afu eti nchi Ina jeshi looh ��...
" Binti unaelewa unachokiongea Yaani ukituangalia sisi unaona ni majambazi sio?
Sasa nyie nao Kuna Cha kuuliza, picha inajieleza kabisa, mnajaza vifua kutukaba mwisho vifua vipasuke, izo nguvu mlipaswa kutumia na wanawake zenu, mdomo koma mniache niende sina kitu jamani...
Binti naona kwanza tumekustahi mno, hapa uko Kambi ya jeshi, na tuna nguo chafu nafikili utazing'arisha, na but usisahau,
Nilijikuta nacheka Kwa sauti, Kuona majambazi wamejigeuza kuwa wajeda, ha ha ha ha, mbavu zangu jamani, Yaani nyingi mwe wajeda, ivi mnawajua vizuli wajeda nyie, Yani wale viumbe wa mapigo na mwendo ��, kwanza kukutana nao tu ni nuksi nahisi hata ningekuwa...
Kabla sijamalizia kuongea, nikawa nasikia wengi wanaimba tena kibaya zaidi wanamagwanda na hawako mbali, nyie nilihisi mkojo, umekaba mpaka Koo, sio tu kibofu...
Niliwatizama Kwa hofu mno, mmoja alinionea huruma masikini akanipa ishara nipotee, wee ata sikusubuli kuoneshwa njia, nilijua awa viumbe hawapendi maswali, binamu yangu aliuliza njia wakamuonesha njia ya kuingia zaidi kambini, alitusimulia akiwa mahututi, anapigania roho na Israel wanavutana, yote ayo ni adhabu za wajeda, nikajiongeza kichwani, sitouliza hapa ni miguu nisaidie...
Dua yangu, ilikuwa nikuombea miguu, mnisamee hata sijajitambilisha...
Naitwa Mariam, nimemaliza chuo Cha ualimu nasubili ajira, Leo nilikuwa na mawazo chungu nzima, nikaamua nikatulie zangu mahali peke yangu, huku ni Kwa mjomba wangu nimelelewa na mjomba Toka nikiwa na miaka 8, wazazi wangu wote walifaliki, na huku tulipohamia ni wageni kabisa...
Mjomba kajenga huku Musoma Makoko, tuna siku nne Toka tuhamie, Sasa mwenzenu nikaamua kwenda mahali nikapuge upepo wa ziwa, nikiwa nimetulia zangu nahasira mpaka saivi sijapata ajira, ghafla nahisi mijemba inakuja inakishindo nikajua mamaaaa wamekuja majambazi hao, nikaona niwasaidie tu kujieleza wasipoteze muda kunikaba mtu ambae ata mia mbovu sina, kumbe mwenzenu nimeyabananga, ni wazee wa mitutu, nilivyooneshwa ishara ya kupotea nyie hamkuwepo ila Mungu wenu alikuwepo....
Nilikimbia Kwa mara ya kwanza Toka nizaliwe Leo ndo nimegundua kumbe ninakipaji Cha kukimbia bila kuchoka tena Kwa kasi kubwa bila kupumzika��...
Itaendelea...��
WHATSAPP: https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I/104
1753
06:39
20.07.2025
"1~~5"
SWEETHEART💋😘 01
(Ma oxygen yooooo🙌)
Joy mama aliniita kwa sauti kubwa baada ya kurudi kwenye mihangaiko yake ya kila siku, ilikuwa mida ya saa nne kasorobo usiku.
Shikamoo mama nilimsalimia nikakaa chini nimsikilize leo kaja na lipi maana sio kwa kuniita huko
Marahaba vipi mmeshindaje hapa nyumbani?... mama aliniuliza
Tumeshinda salama pole na kazi mama nilimwambia
Asante umemaliza mtihani sasa hivi upo tu nyumbani huna kazi nataka uende kwa baba yako labda ukiwa karibu na yeye ataona aibu atakusomesha.
mh niliishia kuguna tu ....
Sasa mimi naongea unaguna nini? mama aliniuliza
Mama mtu toka nipo mdogo hata kutuma hela ya soksi hakuna, hata kusema mwanangu likizo hii njoo dar hakuna ndio niende sasa hivi kweli mama mbona mimi nimeridhika na maisha yetu haya 🥹..
Joyce natamani ufike mbali mama yako sina uwezo endapo ukifaulu hela nitatoa wapi ? lakini ukiwa huko ataona tu aibu na nishampigia simu kesho kutwa utaenda nauli hii hapa najua ukifanikiwa wewe na mimi pamoja na wadogo zako tumefanikiwa....
Lakini mama ndio ghafla ghafla hivi 🤔. nilimuuliza
Hakuna muda wa kupoteza mwanangu angalia mbele
Nilishusha pumzi nilikubali kishingo upande kwa kweli
Kesho nilijiandaa na safari mama alinipa simu ndogo yenye laini na namba ya simu ya baba na yake..
kesho kutwa asubuhi niliondoka kwa upande mwingine nilifurahi kusafiri kwenda dar es salaam jiji lenye maghorofa na mataa....
Niliingia usiku sana mida ya saa sita kasorobo nilipiga ile namba akapokea baba nilimsalimia nikamwambia nimeshafika....
Akaniambia nisitoke nimsubiri hapo hapo anakuja, kweli baada ya dakika mbili alikuwa tayari ameshafika
nilikuwa nishaanza kumsahau maana nilimuona muda mrefu tangu nipo darasa la pili kipindi hicho amekuja kujenga barabara...
Tulisalimiana tukashuka kwenye basi nikaenda kuchukua mizigo tukaingia kwenye gari aina ya Prado.
mh yaani mzee ana pesa, gari kali halafu nilikuwa naishi maisha ya tabu nilijiuliza pasipo na majibu.
njiani kila mtu alikuwa kimya hadi baba alipovunja ukimya...
Joyce umekua sana nilikuacha mdogo sana vipi mama anaendeleaje? baba aliniuliza
Ajambo anakusalimia sana nilimjibu
Salamu zimefika karibu huku ndio nyumbani kwangu Dar naishi na familia yangu natumaini utawafurahia kuna ndugu zako kaka na dada zako pia mama yako mkubwa hivyo sidhani kama utajisikia mpweke...
Asante sana baba nashukuru nilijibu
Tulifika kwenye nyumba ina geti baba alipiga honi geti likafunguliwa akaingiza gari tukashuka...
alikuja mdada kutupokea alinikaribisha ndani...
Scola muandalie maji aoge,ale apumzike muda umeenda now tutaongea kesho..
Sawa baba yule dada alijibu akaenda kunionyesha chumbani kwake niliweka begi nikaenda kuoga nikaomba nilale maana nilichoka sana sikutaka hata kula....
Asubuhi na mapema niliamka nikaoga nilitoka sebuleni nikamkuta baba amekaa na mwanamke niliwasalimia nikakaa kwenye sofa...
Joyce..... Baba aliniita
Abeh......
Itaendelea
FULL STORY
👇👇 https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I
1927
23:33
21.07.2025
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI,
KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
sehemu ya , , 1
Dunia imebeba mengi sana achana na majumba na magari pamoja na miti na watu wake , kuna vingi vimebebwa ndani ya mioyo ya watu , kuna Siri nzito zimejificha ndani ya moyo wa mwanadamu ,
Nasema hivyo kwa kuwa yamenikuta mwenzenu , nilipojaribu kuupima uvumilivu wa mke wangu kipindi cha shida , sikujua kuwa binaafamu anapande mbili , na kila upande haufanani hata kidogo,
Nilioa miaka mi4 iliyopita tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume , mimi namke wangu tuliishi kwa kupendana sana na nikampa mtaji wa kufungua duka la vipodozi maeneo ya Kinondon Manyanya , namimi nafanya kazi ya Reli TAZARA ,
Nilikuwa mchapakazi mzuri tu kiasi kwamba mpaka mabosi walinipenda na kuniongezea mshahara ,maisha yakawa mazuri tu mimi na mkewangu tukafanikiwa kujenga nyumba yetu kupitia ule mshahara wangu na pesa alizopata mke wangu kwenye duka lake la vipodozi ,
Tukahamia kwenye nyumba yetu mimi na mke wangu pamoja na mtoto wetu , maisha yakawa nafuu na ya furaha Sana ,
Siku moja niliitwa ofisini na kuambiwa na wakuu wangu wa kazi kuwa ofisi imenizawadia kiwanja na imenipa likizo ya miezi mi 3 kama zawadi ya mfanyakazi bora , nikashangaa sana na nikazani labda wamenifukuza kazi maana likizo ya miezi mi3 ni mingi sana , wakanitoa hof wakaniambia ukirudi utakuwa chini ya Station meneja , yaani akitoka meneja wa stesheni naingia mimi , nikafurahi sana , nilikwenda kukiona kiwanja na wakanikabidhi na pesa kidogo za likizo yangu ,
Nikarudi nyumbani nikiwa na raha tele , nilikuta mke wangu bado hajarudi ila mtoto wangu yupo amesharudi shule , nilikaa chumbani kwangu nikiwa siamini nikaangalia benk kujua nnashingapi nikagundua zinatosha kabisa kujenga nyumba ya kisasa ya vyumba 3 na vyoo humo humo ,nikajisemea hapa simwambii mke wangu kama nimepewa likizo , ila ntamwambia NIMEFUKUZWA kazi halafu nijenge nyumba haraka ndani ya miezi mitatu iwe tayari yaani hata kama itakuwa bado basi naamini ni mambo madogo madogo tu , kisha nitampa nyumba hiyo kama zawadi ya uvumilivu wake kwangu ,
Basi nikajifanya mnyonge kupita kiasi hata mke wangu aliporudi alinishangaa na kuniuliza kulikoni ,
Nikamwambia mke wangu NIMEFUKUZWA KAZI,
Mke wangu akashangaa na kuniuliza kosa la kufukuzwa kazi , nikamjibu kuna mizigo ya watu imeibiwa sasa wananihisi ni mimi , mke wangu akawa na simanzi sana na akawa kama ananionea huruma nami nikajiambia "hapa kweli nimepata mke ,"
Basi tuliongea mengi siku hiyo nikamwambia itabidi nikatafute Kaz sehemu nyingine nayeye akanipa moyo kuwa nisijali ntapata kazi nyingine ,
Bas siku ya kwanza ilipita nikaenda benk na kutoa pesa zote na kurudi nazo nyumbani Nakumbuka zilikuwa kama milion 30 hiv nikazihifadhi kwenye droo ya kabati moja na funguo nikawa nazo mimi , mke wangu aliporudi nikajifanya nalia huku nasikitika sana aliponiuliza tatizo nikamwambia ofisi wameamua kuchukua pesa zangu zote benk ili kufidia mizigo yao iliyopotea ,niliongea huku najifuta machozi, mke wangu alistuka sana na kuanza kulia nayeye , tukabembelezana na kupeana moyo kuwa ndo maisha ,
Basi kesho yake mke wangu akaenda dukani kwake na mimi nikajifanya natoka ili nikatafute kazi ,
Nilienda kule kwenye kiwanja changu na kutafuta mafundi na ujenzi ulianza mala moja ,
Nilikuwa nawahi kurudi na kupika chakula cha usiku na mke wangu akija tunakula na akiniuliza vp umepata kazi namwambia bado kazi ni ngumu ,
Basi maisha yakaendelea huku mke wangu ndo akawa anatoa pesa ya matumizi pale nyumbani ,
Zilipita wiki mbili tu mke wangu akaanza kuchelewa kurudi nyumbani , na kila nikimuuliza anadai wateja ni wengi , sio kawaida yake na akirudi anadai amechoka ,nikavumilia tu ,
Wiki ya tatu ilipoanza nikasema leo sipiki nataka mke wangu akirudi ndo apike maana nimemis kula chakula chake , nikanunua mboga na kuziweka , aliporudi akaniuliza vip umeshapika ,nikamwambia bado nataka leo upike wewe maana nimemis chakula chako ,
1534
08:54
26.07.2025
Cha kushangaza mke wangu alibadilika sura na kuniuliza kwani mume wangu we unakazi gani hapa nyumbani , yaani unanisubili mimi nitoke kazini nije nipike, ?
Nikamjibu kwa upole tu nikamwambia lakini mke wangu nimemis chakula chako ,
Mke wangu akaniambia sasa mi nimechoka na siwezi kuingia jikoni mda huu kama ni mtoto nenda kamnunulie chips ale tulale ,aliongea hivyo na kweli akaingia chumbani ,
Nikabaki nimejiinamia tu nakujiuliza hii ni wiki ya tatu tu je hiyo miezi mi 3 itakuwaje
ITAENDELEA👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I
1641
08:54
26.07.2025
AMINA MAMA
SEHEMU YA 01
WHATSAPP; https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I
"Ananibakaaaa.... jamani msaada nabakwa mie bikira yangu inaenda hivyooo jamani msaada nabakwa!" Haka kasauti kalinikata stimu ya kuendelea kuzagamua Sponsa langu lililo lala kama gogo kisa na maana huwa ananipa pesa.
Unajua sisi hapa ndio Askari, Wanasheria na Hakimu wa mtaa wa Igogo B. Kama nitasema nilale kweli basi mtu anayeomba msaada atabakwa kweli, nadhani mnajua namna Wabakaji wanavyo kuwaga na uchu uliopitliza.
Nilichukua kimtandio changu chepesi, sikuwa nimevaa chochote kwa ndani, sinaga aibu mie.
Niliinama uvunguni ni kabeba sululu, nilimuona Sponsa wangu akikodoa macho.
"Unaenda wapi na hicho kimtandio, kwani hujioni kama umbile lake lipo hadharani!" Alifoka
"Mwanaume huna aibu eti eeh, huko nje kuna mtu anaomba msaada unawezaje ku relax namna hiyo!... usiniambie wewe ndio mdhamini wa hao Vibaka huko nje, acha kuniuliza maswali ya ajabu tena....naenda kutoa msaada!"
"Mimi umeniita mdhamini wa vibaka!" Sponsa wangu aliongea kwa hasira
Sikutaka kuhangaika naye tayari Washikaji waliniita tukatoe msaada.
Nilitoka nje, wao pia walikuwa wamevaa tu boksa....hakuna aliyekuwa na muda wa kumchungulia mtu mwingine.
Kisauti cha bi Dada kilituongoza mpaka eneo la tukio.
Watu kishazi walikuwa wamejaa, niliwasihi wazime tochi zao kwa sababu kuna watu walikuwa uchi kabisa.
"Dada Amina, naomba unisaidie katika hili. Huyu fala nimempa afu tano yangu kwa makubaliano ya kula mzigo, na yeye ndio kapendekeza hii site. Tumefika hapa ananigeuka kweli hii ni haki" Mshikaji anaye tuhumiwa aliongea
"Eeenhe na wewe mrembo ongea tukusikie kabla hatujaamua tunaua au tunasamehe" Niliongea
"Ni kweli kanipa hiyo afu tano kwa makubaliano ya kula mzigo, lakini hakuniambia kama umbile lake ni kubwa namna hiyo.... Dada Amina kitu kimepinda mie ni bikira sitaweza kumudu, anipe siku tatu tu nitafute afu tano yake" Mrembo aliongea huku akilia
Nilimchungulia Mkaka anaye tuhumiwa, kweli umbile lake lilikuwa linatisha.
"Oyaaa sikilizeni nyie Mbwa koko, mmetutoa kwenye starehe zetu watu tulikuwa tunakula na kuliwa. Tumefanya kama uungwana tu kuja kuwasaidi. Sikiliza braza fanya kuweka kichwa tu. Endapo huyu mtu atapiga kelele tena za kuomba msaada siye tutakuja kuupunguza huo mzigo au siyo washikaji" Niliuliza
"Upo sahihi Dada Amina" Wana waliitikia.
Tuliwaacha waendelee kubakana kwa sharti la kuingiza kichwa.
Nilirudi kumuangalia Sponsa wangu, jamaa hili liliondoka tayari.
Nilichungulia kwenye droo nione kama kaniachia pesa, nilisikia hasira baada ya kukutana na pakiti la condom.
Nilijitupa kitandani ni kalala, nilikuwa nimechoka sana.
Kulivyo pambazuka asubuhi niliingia mtaani kabla ya kuoga kwanza.
Nilihitaji kununua mafuta ya usoni, mwenzenu huwa napaka zangu baby care tu.
Hii ndio inaniweka mjini ukiniona unaweza kusema ni katoto fulani hivi.
Nilifika dukani kwa Mangi ni kachukua mzigo, siku ya leo sikuwa na hofu yoyote ile kwa sababu sikuwa naenda kukopa nilikuwa naenda kulipa.
Baada ya kumalizwa kuhudumiwa, nilianza safari ya kurudi nyumbani.
Bahati mbaya niliparamiana na Kaka mmoja hivi aliyeonekana kama kichaa kutokana na namna alivyo vaa.
Mafuta yangu yalienda kule yakakanyagwa na gari lililokuwa kwenye mwendo. Niliyashuhudia yakipasuka, nilimtazama huyo mkaka nione kama ana roho ya utu....nilitaka nione kama hata atanipa pole kwa kudondoka cha ajabu aliendelea na safari yake
"Weee braza njoo unisaidie kunyanyuka" Nilipaza sauti
Duh! Mwanaume huyu aliendelea na safari yake....niliokota kipande cha ndizi kilichokuwa chini, nilikirusha kikagonga mgongo wake.
Alifunga breki, alinigeukia kwa macho makubwa.
Alinirudia kwa kasi ya ajabu, mweee Mnyakyusa mie nilipata presha
Itaendelea 💥
02
Kila ni kikukumbu ka Mimi ni semaji la mtaa wa Igogo B nilikaza macho.
"Kwanini umenichafua shati langu ...." Mwanaume huyu aliuliza huku akipambana kujichungulia mgongoni
"Sababu yako wewe mafuta yangu yamekanyagwa na pikipiki....kuwa mwema kwa kunirudishia 1000 langu nataka kwenda kuoga" Niliongea
582
18:07
29.07.2025
Nilishangaa tu Mwanaume huyu akinisogelea taratibu. Sikutaka kukimbia nilitaka kuona ni kitu gani atafanya.
Wacha nicheke kwanza, sijui ni kichaa au nini alinitishia kisu.
"Acha kuniletea usumbufu wa akili asubuhi hii, nitakutoboa visu ufe kabla ya siku zako mbwa wewe" Mwanaume huyu aliongea kisha akaondoka
Nilitaka kumfuata kwa nyuma lakini nilisita, mtaa wetu una vichaa wengi sikuwa tayari kufa kisa buku.. kwa kuwa sikuwa na hela nyingine nilirudi zangu nyumbani kuoga.
Sikupaka chochote usoni, ile nataka kukaa kwenye TV Mamkubwa wangu alinipigia simu
"Njoo unisaidie mwanangu nalemewa na kazi wasaidizi wangu wote wamefiwa....nina uhakika wamenichoka" Mamkubwa aliongea kwa kubembeleza
Kanilea huyu kama nitampuuzia kuna hatari ya kulaaniwa.
Nilivaa kijora changu kisha nikasepa.
Mamkubwa hakuwa amefanya chochote, kwa kuwa si mwepesi katika swala zima la upishi, nilimuacha afanye usafi kisha Mimi ni kakaa jikoni kuandaa chai, supu pamoja na vitafunwa vingine.
"Upishi wako ni mzuri sana, nitawasikiliza Wateja wee endelea kupika tu" Mamkubwa aliniambia
Niliachia tabasamu nikijua sitapewa hata mia ni bahili sana kwenye swala zima la pesa. Nikishakula tu basi yanakuwa ni malipo tosha
"Wewe ndio umepika hii supu!" Sauti ya Mwanaume iliyojaa hasira ilipenya mpaka jikoni nilikokuwa
Aunt yangu si muongeaji sana kama nitazubaa anawezwa kuwekwa makofi kabisa....nilitembea kwa haraka mpaka sehemu walipokuwa Wateja. Nilishangaa baada ya kumuona yule jamaa aliyenitishia kisu muda mchache uliopita. Huenda hili jitu lina kichaa, kwa namna macho yake yalivyokuwa na ukali unaweza teteleka
"Mimi ndio nimekupa supu kwani kuna nini" Niliuliza nikiwa najiamini, Amina mie siye mtu wa kuonesha uoga mbele za watu. Mara nyingi hofu yangu huwa inajificha ndani kwa ndani.
"Umepika vizuri sana, nitaagiza bodyguard wangu akuletee zawadi. Unastahili kufanya kazi kwenye hoteli kubwa. Ahsante sana nimefurahia breakfast...." Mwanaume huyu naye mchukulia kama kichaa aliongea
Nilijikuta nikicheka kimtindo hasa alipo zungumzia kuhusu bodyguard, ni kama alikuwa anajikweza hivi....kwangu mie nilimchukulia poa sana.
"Nitashukuru kwa zawadi, karibu sana kwenye mgahawa wetu" Niliongea
Mwanaume huyu nisiye mfahamu jina alilipia bill kisha akaondoka
"Inaonekana unakutana na vichaa wengi sana kila siku pole...." Nilimuambia Mamkubwa kisha nikaenda kuandaa chakula cha mchana.
Nikiwa bize na kata kata nyama, Mamkubwa alinifuata
"Twende ukapokee zawadi yako....,najua huwezi kuamini lakini huyo jamaa ni CEO katika hotel ya Burj Al" Mamkubwa aliongea
Sikutaka kuamini maneno yake, nilihitaji kuwaona kwanza waleta zawadi.
Nilitembea kwa haraka kwenda nje
Itaendelea 💥
03
Nilikodoa macho kwa namna bodyguard na Mfanyakazi mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Secretary Lui walivyokuwa wamependeza.
Nilipatiwa kiboksi kidogo, nilikichukua kwa pupa kwa sababu nilikuwa na shauku ya kujua kina nini
Mate yalinidondoka baada ya kukutana na saa nzuri sana.
"Imetengenezwa kwa dhahabu tupu.... ahsante kwa kumfurahisha CEO wetu. Tutafurahi kama utakuja kuomba kazi katika hoteli yetu" Secretary Lui
"Sikuwahi kufikiria kama upishi wangu unaweza kuleta changamoto chanya kwenye akili za watu. Ahsanteni kwa zawadi nitalifikiria hili kwa upana zaidi" Niliongea
Watu hawa wanaonekana kuwa na haraka sana, waliondoka.
Mamkubwa alikuja kushangaa zawadi niliyopatiwa
"Ni supu tu umepika umepatiwa saa ya dhahabu vipi kama ukimshika kidevu chake si utapatiwa gari la dhahabu tupu" Mamkubwa aliongea, nilijikuta ni kicheka kuna namna akili yake inakuwaga mbovu kabisa
"Una uhakika huyo jamaa akili zake zipo sawa?...ujue alinishikia kisu asubuhi kweupe"
"Kuwa CEO wa hoteli kubwa kama Burj Al si mchezo. Huenda kuna mengi yanaendelea kichwani mwake. Mara ya kwanza kukutana naye nilihisi ni muokota makopo kuna namna anakuwa hovyo sana si rahisi kumuita Boss"
"Sasa kwanini anakuja kula kwenye mgahawa kama huu, nina uhakika vyakula vinavyo pikwa kwenye hoteli yake vina ubora mkubwa kuliko hata hivi vya kwenye sufuria zilizotoboka"
469
18:07
29.07.2025
"Amina weee japo sijasomea mapishi lakini kitu pekee anacho angalia mlaji wa aina yoyote yule ni ladha...."
"Ladha?...."
"Ndiyo, kuna namna moyo wangu unaniambia huu ndio wakati wako wa kufanikiwa" Mamkubwa aliongea kisha akaingia ndani, sikuelewa maana ya maneno yake
Kazi ya mgahawa inachosha hatari, Mamkubwa alifunga mgahawa wake saa nne kamili usiku.
Nilifika nyumbani nikiwa nimechoka sana, sikuwa na ratiba ya kuoga nililala hivyo hivyo.
Simu yangu ilianza kuita, niliichungulia kwa jicho moja. Ilikuwa ni namba mpya sikuwa tayari kuanza kujieleza.
Mpigaji alionekana kuwa mkorofi sana, niliamua kuizima simu kisha ni kalala.
Kulivyo pambazuka asubuhi niliitwa kwenda kuamua ndoa ya jirani yangu.....kuna namna naaminika sana katika mtaa wa Igogo B, kuna muda najionaga kama hakimu hivi. Hata bila kunawa uso wenye kesi walionekana kunivumilia tu.
Nilitumia masaa 4 kutatua kesi ya Wanandoa, niliachia tabasamu baada ya kuona nimeeleweka.
Nilirudi nyumbani kwangu nikiwa na njaa, hakuna kesi ngumu kama kumfundisha Mwanaume kuandaa mke wake kabla ya tendo la ndoa.
Niliogopa baada ya kumuona Secretary Lui pamoja na bodyguard wa CEO wa hotel ya Burj Al.
"Nimekupigia sana simu usiku wa jana kwanini hukupokea" Secretary Lui aliongea
"Nilikuwa nimechoka sana sikusikia muito wa simu, kwanini mko hapa" Niliuliza
"Boss wetu anahitaji kupata breakfast nzuri kama ya jana naomba twende nyumbani kwake ukamuandalie, siku ya leo anaingia kazini mchana naomba tuwahi" Secretary Lui aliongea
Nilijikuta ni kikodoa macho kwa sababu watu hawa walikuwa kama wananiamrisha hivi na si kuniomba.
Nilishtukia tu na bebelewa juu juu na hili jitu linalojiita bodyguard Spark.
Nilitupiwa kwenye gari kisha safari ikaanza.
Dakika 25 hazikupita tulifika katika nyumba ya CEO wa Burj Al hoteli.
Nyumba yake ilikuwa na hadhi ya kasiri, nilipogeuka mkono wangu wa kushoto niliona kibao kimeandikwa "Mtaa wa Feisal" kuna watu wanapesa hadi mitaa inaitwa majina yao
Nilikaza moyo wangu, tukaingia kwa pamoja....moyo wangu ulilipuka baada ya kuona simba, twiga, swala na chui wakiwa wamefungiwa katika mabanda tofauti.
Sikuelewa hii ni nyumba au sehemu ya utalii
Mkojo kidogo ulipita kama masihala hivi baada ya Simba kuunguruma.
"Sura yako ni ngeni machoni kwake ndio maana kaunguruma" Bodyguard Spark aliongea
"Map*mbu yake!" Nilijisemea ndani ya moyo wangu
Ile napiga hatua, nilishtukia tu mpira umenigonga kichwani.
Niliangalia mbele nimuone mtu aliyenifanyia hivi, nilikutana macho na CEO wa hoteli ya Burj Al.
Hakuonesha kujali, jamaa hili lina kiburi na eti nimeletwa hapa kuandaa breakfast.
Nikiwa bado na hasira nilishtukia na pondwa na ndizi mgongoni, niligeuka nyuma kwa haraka nione mtu anayenifanyia hivi.
Nilishangaa baada ya kukutana na sokwe tena likinizomea.
"Hahahaaaahaha!" Feisal alicheka alionekana kufurahi
Nilishikwa na hasira niliokota ndizi iliyokuwa chini nikairusha ikagonga paji la uso wake
Itaendelea 💥
04
Bodyguard Spark alitaka kunipiga teke kwa kumponda na ndizi Boss wake
"Usisahau kama yuko hapa kuandaa breakfast ya Feisal, ukimvuruga utamlisha makalio yako" Secretary Lui aliongea kwa sauti ya chini
Bodyguard Spark ndio kupata akili alichukua mpira akamrushia Feisal, walianza kucheza kisha kisha Mimi na Secretary Lui tuliingia ndani.
Aisee nilijikuta ni kikodoa macho, kila sehemu niliyotazama ilikuwa ni nzuri sana.
"Karibu Madame, hili ndio jiko kuwa huru..." Secretary Lui aliongea
"Siwezi kuwa huru ni kama nahisi kila kitu hapa kinaniangalia.... naomba unisimamie mpaka nitakapo maliza kupika" Niliongea
"Usiwe na shaka, usisahau kama utalipwa hivyo pika kwa ustadi wa hali ya juu" Secretary Lui aliongea
Baada ya kusikia malipo nilizima kabisa simu yangu ni kaanza kupika.
Nikiwa napika huwa napenda kumfikiria sana Sultana wa kwenye Master of snacks 🥙 namna ya upishi wake huwa ni wa kipekee sana hata kama huna hamu ya kula ni lazima ule.
Secretary Lui alikuwa bega kwa bega na Mimi mpaka nilipomaliza, inaonekana wanamjali sana Boss wao.
572
18:08
29.07.2025
Niliweka supu pamoja na chapati mezani, Feisal (Boss mwenyewe) alikaa akaanza kula.
Mie tena nilikaa zangu kwenye nikiwa nasubiria amalize kula nipatiwe malipo yangu
"Bodyguard Sparkkkkkk!" Feisal aliita kwa sauti ya juu, nilijikuta nikiogopa ndani ya moyo wangu japo Mimi si mtu wa kushtuka ila hili lisauti lilinishtua
"Yes CEO...." Spark aliongea baada ya kuja kama mshale
"Nimefurahishwa na hii breakfast....hakika nimefurahi sana" Fiesal aliongea
Ee bhana ee kwanini asiniambie hizi shukurani Mimi anamuambia Spark, nilijikuta nikicheka ndani ya moyo wangu
"Kwahiyo tunampa zawadi gani...." Spark alijiongelesha huku akijichekesha
"Kesho nina kikao na Wapishi wote katika hoteli yangu....tutamfanya kuwa Msemaji mkuu, pia nitampatia milioni 75 kwa kunifurahisha" Feisal aliongea
Nilijikuta nikishtuka niliposikia milioni 75, nilitaka nimtajie akaunti namba yangu lakini kwa kuwa wanazungumza kana kwamba Mimi sipo nilivunga pia.
Baada ya Feisal kumaliza kula alisepa hata bila kuniambia ahsante.
Nicheke mie, yaani Secretary Lui ndio kuja kunishukuru kwa niaba ya Boss wake.
"Nipatie akaunti namba yako nitakuingizia milioni 75, pia kesho nitakuja kukuchukua nyumbani kwako saa mbili kamili. Kutakuwa na kikao hotelini kwetu, Feisal kaona unafaa kuwa Msemaji mkuu"
Sikuwa na sababu ya kukataa, nimekuwa semaji la mtaa wa Igogo B kwenye kesi mbalimbali sishindwi kuwa main speaker kwenye kikao cha Wapishi wote kwenye hoteli ya Burj Al.
Nilimpatia Akaunti yangu kisha nikamsihi anisaidie kuondoka mahali hapa. Sikuwa tayari kufanyiwa fujo na Sokwe
Secretary Lui ni mtu mstaarabu sana kama angekuwa ni Mwanamke basi ningesema yeye ni Mama mjengo kwenye nyumba hii na Bodyguard Spark angekuwa ni Shangazi sababu ya muonekano wake wa kijeuri lakini huyu Feisal angekuwa ni Mwanamke mwenye kisirani cha mimba.
Ile tunakaribia kufika getini, tulisubirishwa kwanza. Bodyguard Spark alikuja kwa kukimbia
"Feisal anauliza unaitwa nani" Spark aliongea
"Naitwa Amina...." Niliongea
Spark alishika simu akarudisha mrejesho, sijui ilikuaje lakini alinipatia simu ni zungumze.
Nilichukua simu nikaweka sikioni mwangu.
"Amina...." Feisal aliniita
Sauti yake ilikuwa imetulia sana kama wale Watangazaji habari wa Kimataifa.
"Abeee...." Niliitika
"Nimefurahi kulifahamu jina lako Amina....uwe na siku njema" Feisal aliongea kisha akakata simu
Bodyguard Spark aliichukua simu yake, mie na Secretary Lui tuliendelea na safari ile nataka kufunguliwa geti, nililetewa simu tena na Spark
"Amina...." Feisal aliita
"Abeee ....." Niliitika, cha ajabu upande wa pili ulikaa kimya
Nilitaka kumrudishia simu Spark lakini aligoma alinisisitiza niendelee kuweka simu sikioni.
Dakika kama 20 hivi zilitembea bila Feisal kuongea.
"Amina...." Aliniita tena
"Abeee...." Niliitika
"Nitafurahi kama kesho utafika hotelini kwangu" Feisal aliongea kisha akakata simu.
Sikuwa tayari kupatiwa simu tena, kitendo cha Mlinzi tu kunifungulia geti niliondoka kwa kukimbia......
"Amina simama....." Niligeuka nyuma nikamshudia Bodyguard Spark akija kwa kukimbia huku mkononi akiwa ameshika simu
Itaendelea 💥
05
Nilisimama kujua ni kitu gani nataka kuambiwa
"Amina..." Feisal aliita
"Amina Mimi hapa niambie hicho kitu ulicho shindwa kuongea nikiwa nyumbani kwako...." Niliongea
"Tofauti nakupika ni kitu gani kingine unaweza kufanya kwa usahihi mkubwa..." Feisal aliuliza
"Tafuta muda kwa ajili yangu tutazungumza kuhusu hili...." Niliongea nikataka kurudisha simu
Bodyguard Spark alinipa ishara ya kujibu swali nililoulizwa na si kukwepa
"Nipo vizuri sana katika swala zima la kutatua migogoro, ukija mtaani kwetu nafahamika kama hakimu asiye na cheti. Pia nipo vizuri sana katika swala zima la sita kwa sita. Ikitokea nimekuonyesha ni lazima utanitafuta usiku na mchana. Kitumbua changu hakina tofauti na madawa ya kulevya" Niliongea
Feisal aliachia kicheko kikubwa, inaonekana maneno yangu yalimfurahisha sana.
"Sawa, uwe na siku njema...." Aliongea kisha akakata simu
"Sitarajii unifuate tena... nitakapo tega mgongo sitageuka nyuma" Nilimuambia Body guard Spark.
956
18:08
29.07.2025
Hili jitu sijui lina kichaa au nini lilinibusu shavuni
"Ahsante kwa kumfanya CEO wangu achangamke namna hii..." Spark aliongea kisha akaondoka
Niliondoka pia, furaha yangu iliongezeka maradufu baada ya ujumbe wa shilingi milioni 75 kuingia kwenye simu yangu kutoka Burj Al hoteli.
Nilifika nyumbani kwangu nikiwa na furaha kubwa kupita maelezo, nilishangaa baada ya kukuta Sponsa wangu akikusanya vitu vyake alivyowahi kuninulia.
Sikutaka kuumia moyo, tena kwa uzuri kabisa nilimuitia bajaji imsaidie kubeba.
"Nenda tu, hata kama usingeniacha leo kesho ningekuacha. Nataka niwe kwenye mahusiano yanayoeleweka kuanzia sasa hivyo pita kule na Mimi nipite kule" Niliongea
Hili Sponsa ni jeuri sana, liliondoka bila kuniuliza chochote.
Niliachia sonyo kwa sababu kila gemu Mimi ndio nilikuwa mfungaji mwanzo mwisho sioni hasara kumpoteza
Sikutaka kupumzika hata kidogo, niliingia ndani nikabadili nguo zangu. Nilihitaji kwenda saluni kutengeneza nywele yangu.
Tangu nizaliwe sijawahi kuingia katika hoteli ya Burj Al.
Sikuona shida kutumia laki mbili kutengenezwa tu kichwani.
Mimi ni mjuzi wa kupangilia nguo, nilitafuta pamba zinazoendana na mandhari ya Hoteli. Si kila nguo inafaa kila mahali. Ili nionekane wa kipekee nilihitaji kufikiria vazi litakalo nifanya wa kishua.
Muda ulikimbia aisee, kulivyo pambazuka asubuhi tu Secretary Lui akiwa na gari la Burj Al hoteli alifika kunichukua.
Nilimshuhudia akiachia tabasamu bila shaka nilikuwa nimependeza kwa kiwango kikubwa.
Ingawa hakuongea chochote, kwa pamoja tulipanda gari.
Nilijikuta ni kitetemeka hasa nikifikiria eti leo naingia katika hoteli ya Burj Al.
"Relax, hii hoteli haina tofauti na migahawa midogo ya huko nje" Secretary Lui alinitia moyo
Nilijikuta nikicheka kwa sababu alikuwa ananitia moyo kimtindo.
Kwa pamoja tuliingia kwenye hotel ya Burj Al baada ya kufika.
Watu wote walinigeukia, pengine ni kwa sababu nimependeza sana au ni kwa sababu nimeongozana na Secretary Lui.
Sina kawaida ya kushangaa mtu mwenye jinsia kama yangu lakini Mwanamke aliyekuwa ana zungumza na Feisal alikuwa ni mrembo mfano wa katuni ya kishua.
"Huyo ni Mwanasheria wa Feisal, jina lake anaitwa Carolina. Amekaa sana uzunguni si mtu wa kupenda kuongea sana hivyo jitahidi kumpuuzia usioneshe shobo sana" Secretary Lui aliongea
"Oh Amina...." Feisal aliita kwa sauti kubwa baada ya kuniona.
Watu wote walinigeukia, nilijikuta nikishtuka.... macho ya watu yanatisha aisee
"Mimi hapa Feisal..." Niliongea kwa sauti kubwa pia, si kwa sababu nilikuwa najiamini hapana, sikuwa tayari kudondoka kwa sababu ya macho ya watu
Feisal alipiga hatua mpaka akanifikia sehemu niliyokuwa. Nilishangaa tu kanikumbatia.
Macho yangu yalikutana na ya Carolina, alinionesha tabasamu pana kana kwamba sisi ni marafiki.
Nilijikuta ni kimkodolea macho kwa namna alivyokuwa anavutia, uzuri wake ulipitiliza kiasi nilifumba macho.
"Amina...." Sauti ya Feisal ilinishtua ndio ni kafumbua macho.
"Amina jina lako zuri sana, si ajabu CEO wetu ana changanyikiwa...." Carolina aliongea
"Hahahaaaaa...." Feisal aliachia kicheko kikubwa huku akinigonga gonga begani. Watu wote walianza kucheka, inaonekana ni sheria CEO akicheka na Wafanyakazi wake ni lazima wacheke. Nilianza kucheka pia
💥FULL STORY WASAP👇👇
https://whatsapp.com/channel/0029VaoIWsl2v1Iu0ZtPgo2I
1291
18:08
29.07.2025
close
Specials
BETTING AND GAMBLING

Channels
13
214K
lock_outline
CPM
lock_outline$$ 1 097.88
$$ 988.11
-10%
Reviews channel
keyboard_arrow_down
- Added: Newest first
- Added: Oldest first
- Rating: High to low
- Rating: Low to high
5.0
1 reviews over 6 months
Excellent (100%) In the last 6 months
c
**ffeenold@******.io
On the service since June 2022
21.05.202520:36
5
Everything is fine. Thank you!
Show more
New items
Channel statistics
Rating
22.6
Rating reviews
5.0
Сhannel Rating
3
Subscribers:
19.9K
APV
lock_outline
ER
3.1%
Posts per day:
0.0
CPM
lock_outlineSelected
0
channels for:$0.00
Subscribers:
0
Views:
lock_outline
Add to CartBuy for:$0.00
Комментарий